Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIGOGO MZITO SHOGA!

Stori: Mwandishi wetu WAKATI masuala ya ushoga yakipingwa kwa nguvu zote hapa nchini, skendo ya aina yake imeikumba serikali baada ya siri kuvuja kuwa mmoja wa viongozi kumi wa juu nchini ni shoga. Taric Jumbe akitoa ushuhuda jinsi alivyofanya mapenzi na kigogo huyo. Habari hizo za kushtua na kufedhehesha taifa ambazo zimefanyiwa kazi na dawati la Ijumaa kwa kushirikiana na kitengo cha OFM cha Global, zilitua hivi karibuni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!

Shoga, ni matumaini yangu hali yako ipo poa na unaendelea kusaka ugali wa kula watoto kama kawaida.
Kwa upande wangu namshukuru Mwenyezi Mungu, afya yangu, wanangu na mume wangu ni nzuri kabisa.
Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nawe kuhusu kuyafanyia kazi yote uliyofundishwa na kungwi wako ili umpagawishe mumeo na kumfanya atulie nyumbani, leo nimekuandalia kitu tofauti. Nafanya hivyo ili kuufungua ubongo wako katika suala...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgogoro mzito wa ushuru

Kampuni ya Barrack Printers inayokusanya ushuru wa maegesho katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, imeingia katika mgogoro na baadhi ya madiwani na wamiliki wa magari.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete na ujumbe mzito

Rais Jakaya Kikwete kesho ataambatana na ujumbe mzito wa marais wastaafu wa pande zote za Muungano, wake wa waasisi wa taifa na mawaziri wakuu wastaafu atakapokwenda kuzindua Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

GPL

UTABIRI MZITO TENA!

Hamida Hassan na Gladness Mallya
HUKU makovu ya maumivu ya kuondokewa mfululizo na mastaa wanne wa filamu za Kibongo katika kipindi cha mwezi mmoja yakiwa hayajapona nabii naye ameibuka na kuweka wazi utabiri wake mzito kuhusu wasanii nchini hivyo kuwa sanjari na Maalim Hassan Yahya Hussein. Maalim Hassan Yahya Hussein akiwa kwenye ofisi za Global Publishers. Hata hivyo, kabla ya kusonga mbele, tujikumbushe kwamba mastaa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mkakati mzito Zanzibar 2015

mtanzania

mtanzania

NA MWANDISHI WETU, PEMBA

CHAMA cha Wananchi (CUF) kipo hatarini kupoteza nguvu yake visiwani Zanzibar, kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni mkakati hasi unaosukwa dhidi ya chama hicho kuelekea mwaka 2015, MTANZANIA linaripoti.

Mkakati huo wenye harufu ya kutaka kuua upinzani visiwani humo, unaratibiwa na kusimamiwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).

Unadaiwa kutaka kupunguza majimbo matatu ya uchaguzi kisiwani Pemba kutoka 18 ya sasa hadi 15 na kuongeza mengine nane kisiwani...

 

5 years ago

Michuzi

TRUMP AINYUKA WHO WARAKA MZITO


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
RAIS wa Marekani Donald Trump ameendelea kulituhumu Shirika la afya Duniani (WHO) kwa kushindwa kuwa chombo huru katika kupambana na janga la mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19.) Ambavyo hadi sasa vimesambaa duniani kote na hakuna chanjo wala kinga iliyopatikana hadi sasa.
Kupitia barua aliyoiweka katika ukurasa wake wa mtandao wa Instagram akiielekeza kwa Mkurugenzi wa WHO Dkt. Tedros Adhonom Ghebreyesus Trump ...

 

11 years ago

GPL

MGOGORO MZITO MIRATHI YA KULOLA

Stori: Waandishi Wetu
HALI ni tete! Familia ya aliyekuwa muasisi wa imani ya kilokole nchini na Askofu wa Kanisa la Evangelist Assembles of God Tanzania (EAGT), marehemu Dk. Moses Samuel Kulola (83), inadaiwa kuingia kwenye mgogoro mzito wa usimamizi wa mirathi ya mali alizoziacha kiongozi huyo. Marehemu Dk. Moses Samuel Kulola. CHANZO?
Ilidaiwa kuwa gogoro hilo limekuja baada ya mtu mmoja kuibuka na kudai yeye ndiye…...

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Msiba mzito

Katika simulizi zake hizi za kila Jumapili, Tido Mhando anadokeza baadhi ya matukio ya kusisimua aliyokabiliana nayo kwenye kipindi cha zaidi ya miaka 40 ya utangazaji wa redio.

 

10 years ago

Mwananchi

Gharama za simu mjadala mzito

Wakati Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeziagiza kampuni za simu kutoa maelezo kuhusu mabadiliko ya gharama za vifurushi vya muda wa maongezi, Vodacom Tanzania imeeleza kuwa mabadiliko hayo yanatokana na ongezeko la kodi na hivyo kulazimika “kubadili mazingira ya kibiashara ili kuepuka hasara”.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani