Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTABIRI MZITO TENA!

Hamida Hassan na Gladness Mallya
HUKU makovu ya maumivu ya kuondokewa mfululizo na mastaa wanne wa filamu za Kibongo katika kipindi cha mwezi mmoja yakiwa hayajapona nabii naye ameibuka na kuweka wazi utabiri wake mzito kuhusu wasanii nchini hivyo kuwa sanjari na Maalim Hassan Yahya Hussein. Maalim Hassan Yahya Hussein akiwa kwenye ofisi za Global Publishers. Hata hivyo, kabla ya kusonga mbele, tujikumbushe kwamba mastaa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mwanamitindo Millen Magese Alazwa Tena Hospitalini, Atoa Ujumbe Mzito Akiwa Katika Maumivu Makali

Mwanamitindo Maarufu Millen Magese Amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa kitandani kwa mara nyingine tena akipata matibabu kuhusu ugonjwa unaomsumbua na kuandika ujumbe huu wa kusikitisha:"
I didn't want to Post any pic this time because Iam exhausted ....but posting this pic today is just to insist ...Endometriosis is real. I truly don't wish to see any young girl/woman go through this pain . It's not just your period pain , it's more than that. May this remind women from all over...

 

9 years ago

Habarileo

Mwisho wa utabiri

RAIS John Magufuli leo anatarajiwa kukata mzizi wa fitina wakati jina la mteule wake kwa nafasi ya Waziri Mkuu litakaposomwa bungeni na Spika wa Bunge, Job Ndugai na kisha kuthibitishwa kwa kura na wabunge.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utabiri wa mwaka 2014

UFUATAO ni utabiri wa Shehe, Maalim, Nguli, Ustaadh, Alhaj, Dk., Profesa Mpayukaji Msemahovyo mjukuu wa Msemakweli wa Waambie Waelewe katika kile ambacho wataalamu wa nyota huita al khabar mutawatir. Kwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Je, Sumaye kutimiza utabiri wa Nyerere?

KATIKA la Raia Mwema, toleo namba 376, Oktoba mwaka 2014, Mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kija

Kitila Mkumbo

 

11 years ago

Habarileo

TMA yatetea utabiri wake

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema asilimia 87 ya utabiri wa hali ya hewa, uliotolewa mwaka jana, ulikuwa sahihi. Aidha, imeeleza kuwa ili kuweza kuwafikia watu zaidi mamlaka hiyo, inatarajia kuanzia kituo cha Redio, ambacho kitatoa utabiri pekee.

 

10 years ago

Mwananchi

Ushindi wa Dk Magufuli ni matokeo ya utabiri wa PCM

Kwa wanaopenda kusoma vitabu au kuangalia sinema za documentary hapana shaka watakumbuka kitabu au sinema ya mambo ya utabiri, inayoitwa ‘The man who saw tomorrow’, mwandishi wake ni mtabiri wa Ufaransa Michel de Notredame au kwa jina maarufu alijulikana kama Nostradamus. Huyu alitabiri mambo mengi ambayo yametokea katika dunia ya sasa.

 

10 years ago

Habarileo

‘Wananchi zingatieni utabiri hali ya hewa’

Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Agnes KijaziMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wananchi kuzingatia utabiri wa hali ya hewa, unaotolewa kila siku ili kuchukua tahadhari na kuweza kuepuka maafa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maofisa ugani watakiwa kutumia utabiri

MAOFISA ugani nchini wametakiwa kufuatilia utabiri unaotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kuwaelimisha wakulima ili waweze kufahamu aina ya mazao yanayopaswa kulimwa kwa wakati unaofaa. Ushauri...

 

9 years ago

Michuzi

TMA yatangaza Utabiri wa msimu wa vuli

Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt. Agnes Kijazi akitoa utabiri wa msimu kwa miezi ya Septemba hadi Desemba 2015 kwa wanahabari.kushoto kwa Dkt, Kijazi ni mkurugenzi wa huduma za utabiri, Dkt. Hamza Kabelwa.---------------------------------------------------------------------------------------------------Kutokana na mwelekeo wa mifumo ya hali ya hewa iliyopo na inayotarajiwa, mvua za vuli zinatarajiwa kuwa kama ifuatavyo:(i)     Mvua za vuli (kwa maeneo yanayopata misimu miwili ya mvua)
Msimu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani