Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkakati mzito Zanzibar 2015

mtanzania

mtanzania

NA MWANDISHI WETU, PEMBA

CHAMA cha Wananchi (CUF) kipo hatarini kupoteza nguvu yake visiwani Zanzibar, kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni mkakati hasi unaosukwa dhidi ya chama hicho kuelekea mwaka 2015, MTANZANIA linaripoti.

Mkakati huo wenye harufu ya kutaka kuua upinzani visiwani humo, unaratibiwa na kusimamiwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).

Unadaiwa kutaka kupunguza majimbo matatu ya uchaguzi kisiwani Pemba kutoka 18 ya sasa hadi 15 na kuongeza mengine nane kisiwani...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

LOWASSA AANDAA MKAKATI MZITO!

Na Waandishi Wetu
MAPYA! Kuna madai kwamba, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kwa Chama cha Demkrasia na Maendeleo (Chadema) akiungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa (pichani) na viongozi wa chama hicho, wapo kwenye mkakati mzito wa kuvuna wanachama wengi kwa ajili ya uchaguzi ujao, Uwazi limeambiwa. Aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kwa Chama cha Demkrasia na Maendeleo (Chadema). Kwa mujibu wa...

 

10 years ago

Michuzi

WARSHA YA UTAARISHAJI MKAKATI ITIFAKI YA SOKO LA PAMOJA LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFANYIKA ZANZIBAR

 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za uzalishaji Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Abdullah Makame akimkaribisha mgeni rasmi Katibu Mkuu Afisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Zanzibar Salum Maulid Salum (kati kati) kufungua warsha ya utaarishaji mkakati Itifaki ya soko la pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki. Wakwanza (kushoto) Makamu wa Rais wa Chamber of Commerce Zanzibar Ali Aboud Mzee. Katibu Mkuu Afisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Zanzibar Salum...

 

10 years ago

GPL

WARSHA YA UTAYARISHAJI MKAKATI ITIFAKI YA SOKO LA PAMOJA LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFANYIKA ZANZIBAR

 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za uzalishaji Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Abdullah Makame akimkaribisha mgeni rasmi Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Zanzibar Salum Maulid Salum (kati kati) kufungua warsha ya utayarishaji mkakati Itifaki ya soko la
pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki. Wakwanza (kushoto) Makamu wa Rais wa Chamber of Commerce Zanzibar Ali Aboud Mzee....

 

10 years ago

Dewji Blog

Karibu Zanzibar Fashion Festival 2015 ilivyofana Visiwani Zanzibar

DSC_0633Mmoja wa waanzilishi wa Karibu Zanzibar Fashion, Joseph Alban (mwenye suti nyeusi) akiongea machache kwa niaba ya wenzake wakati wa kuhitimisha tukio hilo usiku wa jana…(Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com)

Na Andrew Chale, modewjiblog 

(Zanzibar) Usiku wa Julai 20 ulikuwa ni wa kipekee kwa  viunga vya Unguja Kisiwani Zanzibar   kutokana na tukio moja tu la kipekee la onesho la mavazi  lijulikanalo kama KARIBU ZANZIBAR FASHION FESTIVAL 2015 lililoteka umati wa wadau wa fani hiyo na...

 

10 years ago

Michuzi

SHINING START TO ZIFF 2015 IN ZANZIBAR

The 18th annual Zanzibar International Film Festival got off to a star-studded start with an evening of magical and memorable entertainment.  The evening played host to two South African icons, the legendary singer Dorothy Masuka (pictured) and the beloved star of Sarafina, Leleti Khumalo. Masuka had the crowd enraptured with her acapella performance that included a tribute to the late Nelson Mandela on the occasion of his birthday, Mandela Day. The day’s festivities started earlier with the...

 

10 years ago

Vijimambo

TUNZO ZA WAMAMUZIKI BORA 2015 ZANZIBAR

Wasanii wa Smart Zanzibar wakitowa burudani siku ya kukabidhui Tunzo kwa Wasanii Bora Zanzibar iuliofanyika katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar.Mwenyekiti wa Kampuni ya Zanzibar Media Corporation MhE Mohammed Seif Khatib akiwa na Mgeni Rasmin Mhe Dk Mwinyihaji Makame wakifuatilia hafla hoyo ya Utowaji wa Tunzo ya Wanamuziki Bora Zanzibar katika ukumbi wa Salama Bwawani.Mwenyekiti wa ZMC Mhe Mohammed Seif Khatib alizungumza wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi Tunzo kwa Wanamuziki Bora...

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Ni nani atawatosa wasakatonge 2015?

>Ifikapo mwaka 2015 hamasa za kisiasa kwa upande wa Zanzibar zitakuwa katika kiwango cha juu huku ikitegemewa kutokea kwa mabadiliko ya uamuzi miongoni mwa wapigakura, hususan vijana ambao wengi wao wamezaliwa baada ya Mapinduzi ya mwaka 1964.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

VIDEO — MDAHALO WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR 20/09/2015

The post VIDEO – MDAHALO WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR 20/09/2015 appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani