LOWASSA AANDAA MKAKATI MZITO!
![](http://api.ning.com:80/files/RU-BxEuC-r4hXr0*-FyIVhmFHiZcxyS6N4zUD51Ws73Nqq7igcMf3YDM2Ut5duCT*HONOIP6jMDWKl9b25B90b5WeE-BWvbY/Lowassa.jpg?width=650)
Na Waandishi Wetu MAPYA! Kuna madai kwamba, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kwa Chama cha Demkrasia na Maendeleo (Chadema) akiungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa (pichani) na viongozi wa chama hicho, wapo kwenye mkakati mzito wa kuvuna wanachama wengi kwa ajili ya uchaguzi ujao, Uwazi limeambiwa. Aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kwa Chama cha Demkrasia na Maendeleo (Chadema). Kwa mujibu wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Mkakati mzito Zanzibar 2015
![mtanzania](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/mtanzania-140814.jpg)
mtanzania
NA MWANDISHI WETU, PEMBA
CHAMA cha Wananchi (CUF) kipo hatarini kupoteza nguvu yake visiwani Zanzibar, kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni mkakati hasi unaosukwa dhidi ya chama hicho kuelekea mwaka 2015, MTANZANIA linaripoti.
Mkakati huo wenye harufu ya kutaka kuua upinzani visiwani humo, unaratibiwa na kusimamiwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).
Unadaiwa kutaka kupunguza majimbo matatu ya uchaguzi kisiwani Pemba kutoka 18 ya sasa hadi 15 na kuongeza mengine nane kisiwani...
9 years ago
Vijimambo9 years ago
Vijimambo11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Mkakati wa kumzima Lowassa CCM wavuja
MKAKATI wa kuzima ndoto za Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa asigombee urais mwaka 2015 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), umevuja, Tanzania Daima Jumatano limedokezwa. Kwa mujibu wa kielelezo cha waraka...
10 years ago
BBCSwahili09 May
Cameron aandaa serikali mpya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLadTBOqiKPXs7ix*MEjy9TlEniCuLBdCntMw3AIbcaqf3oE1zBNfyaoBbuvVs1kjMMTJyCbC6mBzdlbbktgSB5Ip/Fumaniza.jpg?width=650)
MKE AANDAA FUMANIZI, LADUNDA USIKU
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Chesco Kilemile aandaa Tamasha la Upendo
MSANII wa nyimbo za Injili, Chesco Kilemile, ambaye ni mlemavu wa miguu, ameandaa Tamasha la Upendo linalotarajiwa kufanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Tabata jijini...
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Kerr aandaa silaha zote kuiua Yanga
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NxAN4TbIITk/U8aNzhDx-aI/AAAAAAAF2zQ/EPMODuCOl1Q/s72-c/MMGN8022.jpg)
RAIS WA TFF AANDAA FUTARI KWA WADAU
![](http://2.bp.blogspot.com/-NxAN4TbIITk/U8aNzhDx-aI/AAAAAAAF2zQ/EPMODuCOl1Q/s1600/MMGN8022.jpg)
Shughuli hiyo itafanyika Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Dar es Salaam ambapo waalikwa wataanza kuwasili saa 11.30 jioni.
Waalikwa katika futari hiyo wametoka katika makundi mbalimbali. Makundi hayo ni wadhamini, klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza za Dar es Salaam ambazo zitawakilishwa na watu wawili wawili.
Viongozi wa zamani wa TFF, Said El...