TUNZO ZA WAMAMUZIKI BORA 2015 ZANZIBAR
Wasanii wa Smart Zanzibar wakitowa burudani siku ya kukabidhui Tunzo kwa Wasanii Bora Zanzibar iuliofanyika katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar.
Mwenyekiti wa Kampuni ya Zanzibar Media Corporation MhE Mohammed Seif Khatib akiwa na Mgeni Rasmin Mhe Dk Mwinyihaji Makame wakifuatilia hafla hoyo ya Utowaji wa Tunzo ya Wanamuziki Bora Zanzibar katika ukumbi wa Salama Bwawani.
Mwenyekiti wa ZMC Mhe Mohammed Seif Khatib alizungumza wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi Tunzo kwa Wanamuziki Bora...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
Dk. Kamani apewa tunzo ya utendaji bora Afrika
Na Mwandishi Wetu
NYOTA ya Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani, imeendelea kung’ara kutokana na kuonyesha utendaji bora katika kusimamia sekta ya mifugo nchini.
Kwa hali hiyo, Dk. Kamani, ambaye pia ni mbunge wa Busega, amepewa Tunzo ya Utawala Bora katika kipengele cha Watendakazi Bora Serikalini barani Afrika.
Tunzo hizo ziliandaliwa na Kampuni ya CEO Titans Building Nations ya Afrika Kusini, ambayo imejikita katika kutambua watu na viongozi wanaofanya kazi kwa...
9 years ago
Michuzi21 Dec
TSHABALALA AKABIDHIWA TUNZO YA MCHEZAJI BORA WA MWEZI
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fsimbasports.co.tz%2Ffile%2F2015%2F12%2FDSCF1094-768x403.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
MSHINDI wa mwezi wa Oktoba, 2015 ni Mohamed Hussein Tshabalala ambapo amepata kura nyingi zaidi zilizopigwa na mashabiki na wapenzi wa Simba na soka wa Tanzania kwa ujumla kupitia simu za mkononi ambao pia wamejiunga na huduma ya Simba News.
Akikabidhiwa tunzo pamoja na pesa taslim Tsh 500,000/= na Mwanachama na Shabiki wa Simba Mbunge wa...
9 years ago
MichuziSIMBA SPORT CLUB YAANZISHA TUNZO YA MCHEZAJI BORA WA MWEZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-asM6A54Ytt0/VgWlojgNzAI/AAAAAAAAIHs/3Gby14fWa34/s640/DAKA%2BRATIBA%2B-02_2.png)
10 years ago
Michuzi13 Nov
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AKABIDHI TUNZO KWA WASANII BORA
![](https://2.bp.blogspot.com/-2IfW0eZiW9w/VGSwOclQTCI/AAAAAAAGw9I/xvUKBE7O3ic/s640/unnamed%2B(8).jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-Byt8rIbwLnk/VGSwO9ivGfI/AAAAAAAGw9U/TdyO5n6gfVk/s640/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m8_7P9qWSQk/VPFjHmDlawI/AAAAAAAHGbg/lG3ff_aN4zw/s72-c/unnamed.jpg)
TUZO ZA WASANII BORA WA MUZIKI WA ZANZIBAR MWAKA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8_7P9qWSQk/VPFjHmDlawI/AAAAAAAHGbg/lG3ff_aN4zw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-snHdalURuNk/VPFjCg8JaTI/AAAAAAAHGaY/g4Y3NYL8u7I/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KgUMH0I5cGI/VPFjEPnCOWI/AAAAAAAHGas/dZIVjUoQAw0/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-zlO6SXPAKVo/VI1NKLWxn9I/AAAAAAAG3HM/Syxb-DTFSSs/s1600/unnamed%2B%2833%29.jpg?width=650)
TUNZO KWA WANAMICHEZO BORA WA MWAKA MICHEZO MBALI MBALI ZATOLEWA
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AKABIDHI TUNZO YA RAIS YA MZALISHAJI BORA MWAKA 2014
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-36zzI4l95OY/Xt-wnq7bDiI/AAAAAAALtN4/ISlLUZPAAqgq04klaCOvzlvMVOhC8iJwwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC2669AAA-768x426.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA IKULU ZANZIBAR LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-36zzI4l95OY/Xt-wnq7bDiI/AAAAAAALtN4/ISlLUZPAAqgq04klaCOvzlvMVOhC8iJwwCLcBGAsYHQ/s640/DSC2669AAA-768x426.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC2669AAA-1-1024x568.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania ukiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo (kulia kwa Rais) Jaji Mstaaf. Mathew Paua Mhina, walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, hafla hiyo imefanyika leo 9/6/2020 katika...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Karibu Zanzibar Fashion Festival 2015 ilivyofana Visiwani Zanzibar
Mmoja wa waanzilishi wa Karibu Zanzibar Fashion, Joseph Alban (mwenye suti nyeusi) akiongea machache kwa niaba ya wenzake wakati wa kuhitimisha tukio hilo usiku wa jana…(Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com)
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Zanzibar) Usiku wa Julai 20 ulikuwa ni wa kipekee kwa viunga vya Unguja Kisiwani Zanzibar kutokana na tukio moja tu la kipekee la onesho la mavazi lijulikanalo kama KARIBU ZANZIBAR FASHION FESTIVAL 2015 lililoteka umati wa wadau wa fani hiyo na...