SHOGA, NDOA USIICHEZEE MDAKO
![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBtLWgc8vF9S5jQdd2y*R3P3L5cdu3DbCaWtqMmB8GxaiUJqW6S*iIz19zT3h20vmMsJ3k5htuyfxqbfXVbotlLz/go4mariasharapova016.jpg?width=650)
Najua umenisubiri kwa hamu kubwa bi shosti, ni mimi yuleyule mtambo wa kurekebisha tabia nimeingia kama upepo wa kimbunga. Kwa vile nia ya kona hii ni kutibu si kubembeleza watu wala kuangalia sura zao. Unajua kuna baadhi ya wanawake wanatia kichefuchefu kufanya utani katika ndoa na kuzifanya ndoa za siku hizi zipoteze maana na kushindwa kutofautisha yupi kaolewa na yupi kahaba. Nimebahatika kuhudhuria kicheni pati nyingi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt7JDFik1OyptkoWWHdAR1Rj0HXJsgCy*91vpAW6FVpuZiqOjMlcF5pSu8cMS7Ok0hfwLRr2UKoqLAgV8QdLToDG/62.jpg)
SHOGA, IACHE NDOA YA MWANAO, HAIKUHUSU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdbWnou1USV8fRfN4g1x0i1l4Aaedde4RF56KZMPt8D031*oLLkJLIJj3g23ihKYB31ApsY4qEXvZHsgIxoeswTU/MAAJABU7.jpg?width=650)
WANAWAKE WA-IRAN WAFUNGISHWA NDOA NA IMAM SHOGA SWEDEN
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFn*2M4PbPCnBrgLsNuHmZVq3lri5iOkqAxDI6qJpODlZxOhmQvduaSLNKo785MPspvpEti1NMiaFfhOd7WWFHrw/julianadidone3.jpg)
SHOGA; MAMA YAKO ASIKUINGILIE KWENYE NDOA YAKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwLUbkrW853sKPvKM1sUD4ERoZoqMrs2aEw*PbSErEDFd6SCtUEi5yWcTkjBwffoKzCKdEtgUwKPUus-DOyYl4He/EveTorreswwedivas31020883642722.jpg?width=650)
SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Bao na mdako kufundishia hesabu
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwepo na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshashuhudia magomvi makubwa misibani lakini pia tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali za marehemu ambaye familia yake ni ya watoto wanatokana na mama tofauti. Kutokana na hayo kuna umuhimu mkubwa wa...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s72-c/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
"Muumbaji wa ndoa ni Mungu peke yake............Hakuna mwalimu wa ndoa hapa duniani" - Tumaini Kilangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s640/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OM1nQVXWg4E/VYQmjvclSjI/AAAAAAAHhfM/l8eTk9FtXSo/s72-c/1.jpg)
SHERIA YA NDOA YAONGEZA NDOA NA MIMBA ZA UTOTONI