Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bao na mdako kufundishia hesabu

Bao na mdako ni michezo maarufu Tanzania. Ni michezo inayopendwa katika jamii nyingi hasa watoto.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

PPF YAIBUKA KIDEDE KATIKA UTUNZAJI BORA WA HESABU ZAKE, YATWAA TUZO YA WA HESABU UPANDE WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII


Na K-Vis Media/Khalfan Said.MFUKO wa Pensheni wa PPF, umeibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya uwasilishaji bora wa hesabu zake katika kipindi cha mwaka 2014.
Katika hafla ya kutoa tuzo kwa taasisi za serikali na za watu binafsi, Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu, NBAA, imetoa tuzo hizo kwa makampuni na taasisi mbalimbali nchini, ambapo kwa upande wa kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, PPF ndiyo iliibuka ya kwanza ambapo Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko huo, Bw. Martin Mmari kwa niaba ya...

 

10 years ago

GPL

SHOGA, NDOA USIICHEZEE MDAKO

Najua umenisubiri kwa hamu kubwa bi shosti, ni mimi yuleyule mtambo wa kurekebisha tabia nimeingia kama upepo wa kimbunga.  Kwa vile nia ya kona hii ni kutibu si kubembeleza watu wala kuangalia sura zao. Unajua kuna baadhi ya wanawake wanatia kichefuchefu kufanya utani katika ndoa na kuzifanya ndoa za siku hizi zipoteze maana na kushindwa kutofautisha yupi kaolewa na yupi kahaba. Nimebahatika kuhudhuria kicheni pati nyingi...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAJADILI HESABU ZA MWAKA WA FEDHA WA 31 DESEMBA, 2012 BAADA YA RIPOTI YA CAG, KWA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Zitto Kabwe akiongoza kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili hesabu za mwaka wa fedha wa 31 Desemba, 2013 kwa Shirika la Bima la Taifa (NIC) baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG).
Mbunge wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Ismail Rage akichangia mada wakati wa kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya...

 

10 years ago

Michuzi

Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.

 Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.

Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.

Taarifa za Kamati...

 

10 years ago

Mwananchi

Lugha ya kufundishia shuleni inavyowachanganya wanafunzi

Mjadala wa lugha ipi inapaswa kutumia kufundishia katika ngazi mbalimbali za elimu nchini, umeendelea kusumbua vichwa vya watu wengi, wakiwamo wasomi na wadau wa elimu

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kutoa tabuleti ya kufundishia sekondari

SERIKALI inakusudia kutoa tabuleti ya kufundishia masomo mbalimbali kwa wanafunzi na walimu wa shule za sekondari nchini, kama njia ya kukabili changamoto kwenye sekta ya elimu kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT). Ili kufanikisha mpango huo, Serikali inakusudia kuingia ushirikiano na taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Opportunity Education Trust ya Marekani.

 

10 years ago

Habarileo

Kapuya apinga Kiswahili kutumika kufundishia

Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma KapuyaSERIKALI imehadharishwa kutowatenga Watanzania na ulimwengu kwa kutekeleza sehemu ya Sera ya Elimu, inayotaka Kiswahili kiwe lugha ya kufundishia kutoka shule ya awali mpaka chuo kikuu.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ijibu fumbo la lugha ya kufundishia nchini

>Je, lugha ipi itumike kufundishia elimu ya msingi?  Hili ni swali ambalo kwa muda mrefu limekuwa likiibua mijadala katika duru za kisomi na ndani ya jamii kwa jumla.

 

11 years ago

Mwananchi

MUHAS: Tunatumia maiti 25 kwa mwaka kufundishia

Wakati sakata la kuokotwa kwa viungo vya binadamu likiendelea kutikisa nchi, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), kimesema kuwa hutumia maiti 25 kwa kuwafundishia wanafunzi kila mwaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani