Rose Ndauka ataja sifa za mwanaume anayependa kuwa naye
Msanii wa filamu za Bongo, Rose Ndauka amesema kuwa yeye si mwanamke anayependa wanaume wenye uwezo mkubwa kama tuhuma dhidi yake zinavyoeleza. Mwigizaji huyo mrembo amevitaja vigezo vya mwanaume anayeweza kuwa naye hata kama hana uwezo wa kipesa. “Mimi napenda mwanaume anayejielewa, mwenye upendo na mchapakazi, ikitokea ana fedha itakuwa imetokea lakini si mwanamke ninayependa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT1ipFtm1XxsohPAxOFXnZpdDrXjcy6-3SyfSa2QLOiJtqO2cELSYjwqPfdHw0FROoaAtTnTdLbLjTsUgbIT*lVI/rose.jpg)
ROSE NDAUKA HATAKI TENA MWANAUME
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFW1nQiVBqeqIfsEMNplVRlo2h0UkL3ilNVRNGTG7OSly8LiZXYYc1cq5sTVKQgUKB0i66-jOdxGORLowkxW0wdf/10.jpg)
SIFA 6 ZA MWANAUME ANAYESTAHILI KUWA MUMEO!
10 years ago
Habarileo26 Dec
Ataja sifa za mtu anayefaa kuwa rais ajaye
WAKATI nchi ikikaribia kuingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania kuwa waangalifu katika kuchagua viongozi wenye sifa na uwezo wa kulifikisha mbali taifa la Tanzania.
9 years ago
Bongo524 Nov
Rose Ndauka ajibu tetesi za kuwa na uhusiano na Shetta
![11208267_1018831591463131_2026634416_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11208267_1018831591463131_2026634416_n-300x194.jpg)
Baada ya kuenea tetesi kuwa mke wa Shetta ‘Neila Yusuf’ anadai talaka kwa mume wake kutokana na Rose Ndauka kuingilia ndoa yao, Ndauka amevunja ukimya.
Akiongea kwenye kipindi cha Mkasi, Ndauka alikanusha kuwahi kuwa na uhusiano na rapper huyo.
“Kuna siku nilikuwa kwa Diamond, Mama Kayla alikuwepo, kwahiyo akawa amenifuata kunisalimia, Dareen akawa ananiambia umemuona ‘mama Kayla?’ Nikamwambia yupo wapi? akaniambia ndio huyu hapa! Nikawa nacheka nikamwambia ‘mambo’, nikamwambia nasikia...
9 years ago
Bongo525 Nov
Naj: Sipendi mwanaume anayependa soka
![11420891_169700666713917_852980019_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11420891_169700666713917_852980019_n-300x194.jpg)
Kama wewe ni mwanaume na ni shabiki wa ligi ya England, ligi kuu ya Tanzania au zingine jipange kwasababu umepoteza kigezo cha kumfanya Naj akuite mpenzi wake.
Muimbaji huyo wa ‘Don’t Let Me Go’ hapendi mwanaume anayependa soka.
“Sasa hivi siwezi kumdate a guy who likes football,” Naj alisema kwenye kipindi cha Chill na Sky.
“Sio type yangu cause they are so much into other guys in shorts running around for 90 minutes kicking balls halafu mwisho wa siku wanafunga magoli mawili,”...
10 years ago
Bongo522 Sep
Diamond au Alikiba? Mr Blue aeleza yupi anayependa kufanya naye ngoma
10 years ago
Bongo530 Sep
Rose Ndauka na Chiwaman waachana, ndoto za ndoa zayeyuka, Rose athibitisha
10 years ago
GPLALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXWCnZwJbagtubDdkinWv3CRvDcWuiLwaWXXblHwIEyhypfSoWmUeNKs9CrU*RPc4PpdY*K9NyaCpp*uMVBaxS2p/wema.jpg?width=650)
WEMA AMTAJA MWANAUME ATAKAYEZAA NAYE