ROSE NDAUKA HATAKI TENA MWANAUME
![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT1ipFtm1XxsohPAxOFXnZpdDrXjcy6-3SyfSa2QLOiJtqO2cELSYjwqPfdHw0FROoaAtTnTdLbLjTsUgbIT*lVI/rose.jpg)
Stori:Â Gladness Mallya SIKU chache baada ya uchumba wake kuvunjika, msanii wa filamu Bongo, Rose Ndauka amefunguka na kusema kuwa kwa sasa haitaji tena mwanaume kwani anajikita zaidi katika kufanya kazi. Msanii wa filamu Bongo, Rose Ndauka. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Rose alisema katika maisha yake ya uchumba alijifunza mambo mengi na anamshukuru Mungu amempa zawadi ya mtoto hivyo anafanya kazi kwa bidii ili...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Oct
Rose Ndauka ataja sifa za mwanaume anayependa kuwa naye
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMOGOwCVdJPFCq42uP62fgmZv4UVnldtXVwgaTP-seSKOdaZw7KMFAleFPbvlunXtE9vnDAtLKcV-Svz48*LWbCQ/rose.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA: SIFAGILII WANAUME TENA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa5JIM1Nl7H-99Jo5MfuDSgHXkyJ5ZNEsKDqwKjKdW1bMdRoXSMDVVd*1JeGD-oFEc-OKpxQnXsli*Rw8wc2yALv/5.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA: SITAZAA TENA NJE YA NDOA
10 years ago
Bongo Movies06 Dec
MH!! ROSE NDAUKA Kachumbiwa Tena?!!!!! Cheki Alichotupia Instagram
Msanii wa Bongo movie, Rose Ndauka ambae mama wa mtoto mmoja hivi majuzi aliwashtua followers wake kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM baada ya kutupia picha ya mkono wake ukiwa umevishwa pete ya uchumba kidoleni na kuandika alama ya za mshangao (!!!) na badaye kuweka tena picha ya mkebe wa pete pamoja na mkono ukiwa unapete kidoleni na kuandika (Mmmmmmmh#!)
Kitendo hiki kiliwafanya followers wengi kuachia comment za kumpongeza na LIKES za kutosha lakini hadi sasa Rose Ndauka...
10 years ago
Bongo Movies12 Dec
Rose Ndauka na Richie:Pamoja Tena!!! Kaa Mkao wa Kula
Ikiwa ni siku chache tu zimebakia tuuage mwaka 2014 na tuukaribishe mwaka wa 2015 Mungu akipenda. Waigizaji Rose Ndauka na Single Mtambalike ‘Richie ‘ waneonekana wakiwa "Location" wakitengeneza filamu mpya ambayo kwa mujibu wa Rose ndauka kazi hiyo inafanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment na kuongozwa na Richie ambae ni mkurugenzi wa kampuni hiyo.
Rose ndauka akionekana mwenye furaha akiwa na Richie alitupia picha mtandaoni na kuandika kwa kifupi zaidi kuwa watu wakae mkao wa...
10 years ago
Bongo530 Sep
Rose Ndauka na Chiwaman waachana, ndoto za ndoa zayeyuka, Rose athibitisha
10 years ago
GPLALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Van Gaal asisitiza hataki kusajilio tena
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Van Gaal asisitiza hataki kusajili tena