Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Van Gaal asisitiza hataki kusajili tena

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amebainisha kuwa hahitaji kukiongezea nguvu kikosi chake katika safu ya ushambuliaji baada ya timu yake kulazimishwa suluhu na Newcastle juzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Van Gaal asisitiza hataki kusajilio tena

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amebainisha kuwa hahitaji kukiongezea nguvu kikosi chake katika safu ya ushambuliaji baada ya timu yake kulazimishwa suluhu na Newcastle juzi.

 

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA HATAKI TENA MWANAUME

Stori:  Gladness Mallya
SIKU chache baada ya uchumba wake kuvunjika, msanii wa filamu Bongo, Rose Ndauka amefunguka na kusema kuwa kwa sasa haitaji tena mwanaume kwani anajikita zaidi katika kufanya kazi. Msanii wa filamu Bongo, Rose Ndauka. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Rose alisema katika maisha yake ya uchumba alijifunza mambo mengi na anamshukuru Mungu amempa zawadi ya mtoto hivyo anafanya kazi kwa bidii ili...

 

11 years ago

BBCSwahili

VAN GAAL : FIFA IMETUONEA

Mkufunzi wa Uholanzi Louis va Gaal ameikashifu ratiba ya mechi za mkondo wa pili akisema inapendelea mataifa mengine

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho amsifu Van Gaal

Mkufunzi wa timu ya Manchester Louis van Gaal amesisitiza kuwa hakuchukuwa jukumu kubwa la kumboresha Mourinho

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amekiri kwamba klabu hiyo inakabiliwa na mechi ngumu itakapokutana na Worlfsburg.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatufikirii ubingwa:Van gaal

meneja wa Manchester United Louis van Gaal amegoma kujitumbukiza katika mbio za ubingwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Van Gaal; Kopo la maji uwanjani ?

Kocha wa Uholanzi amesema wachezaji watakunywa maji katikati ya mechi dhidi ya Mexico Fifa ipende isipende .

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tunataka kushinda ligi

Manchester United bado ina matumaini ya kushinda ligi ya Uingereza msimu huu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Henry na Carragher wamshangaa Van Gaal

thierry-henry-jamie-carragher-di

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry na mwenzake wa Liverpool, Jamie Carragher ambao kwa sasa ni wachambuzi wa soka katika kituo cha michezo, Sky Sports wamemshangaa kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal kwa jinsi anavyomtumia mchezaji wake, Antony Martial.

Wakiwa katika kipindi cha michezo katika kituo hicho wakati wakimzungumzia Martial kwenye mchezo wa wikiendi iliyopita ambapo Manchester United ilipoteza mchezo huo mbele ya Norwich kwa kipigo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani