ROSE NDAUKA: SITAZAA TENA NJE YA NDOA
![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa5JIM1Nl7H-99Jo5MfuDSgHXkyJ5ZNEsKDqwKjKdW1bMdRoXSMDVVd*1JeGD-oFEc-OKpxQnXsli*Rw8wc2yALv/5.jpg?width=650)
Stori: Laurent Samatta DIVA wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka amefunguka kuwa alikosea kuzaa nje ya ndoa, na sasa hana mpango huo tena. Rose alisema suala la ujauzito wakati mwingine linaweza kumjia mtu bila kupenda lakini kwa sasa atajitahidi kuona anazaa akiwa ndani ya ndoa. Diva wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka. “Lolote linaweza kutokea lakini kiukweli kwa sasa nitakuwa makini kidogo na ninamuomba Mungu anisaidie...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Sep
Rose Ndauka na Chiwaman waachana, ndoto za ndoa zayeyuka, Rose athibitisha
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLKKYB5KbmzSkYi3A-BHnGWQoHvJMpeitKJzm28sapNdVB848IsPBjaB7vuXv4Q2PIrm96x2AhVlCH88W-vNw-Z/rose.jpg)
ROSE NDAUKA AZIDI KULILIA NDOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CrRqGVp-a7bEc3a6revE69TxfF8V6ONM7-VoI098y2TWtjfSPKhNixVIsCg*kXDOw9d5R02UBAFLswuhKsH7De*/ndauka.jpg?width=650)
NDOA YA ROSE NDAUKA SIKU ZAHESABIKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMOGOwCVdJPFCq42uP62fgmZv4UVnldtXVwgaTP-seSKOdaZw7KMFAleFPbvlunXtE9vnDAtLKcV-Svz48*LWbCQ/rose.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA: SIFAGILII WANAUME TENA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT1ipFtm1XxsohPAxOFXnZpdDrXjcy6-3SyfSa2QLOiJtqO2cELSYjwqPfdHw0FROoaAtTnTdLbLjTsUgbIT*lVI/rose.jpg)
ROSE NDAUKA HATAKI TENA MWANAUME
10 years ago
Bongo Movies06 Dec
MH!! ROSE NDAUKA Kachumbiwa Tena?!!!!! Cheki Alichotupia Instagram
Msanii wa Bongo movie, Rose Ndauka ambae mama wa mtoto mmoja hivi majuzi aliwashtua followers wake kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM baada ya kutupia picha ya mkono wake ukiwa umevishwa pete ya uchumba kidoleni na kuandika alama ya za mshangao (!!!) na badaye kuweka tena picha ya mkebe wa pete pamoja na mkono ukiwa unapete kidoleni na kuandika (Mmmmmmmh#!)
Kitendo hiki kiliwafanya followers wengi kuachia comment za kumpongeza na LIKES za kutosha lakini hadi sasa Rose Ndauka...
10 years ago
Bongo Movies12 Dec
Rose Ndauka na Richie:Pamoja Tena!!! Kaa Mkao wa Kula
Ikiwa ni siku chache tu zimebakia tuuage mwaka 2014 na tuukaribishe mwaka wa 2015 Mungu akipenda. Waigizaji Rose Ndauka na Single Mtambalike ‘Richie ‘ waneonekana wakiwa "Location" wakitengeneza filamu mpya ambayo kwa mujibu wa Rose ndauka kazi hiyo inafanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment na kuongozwa na Richie ambae ni mkurugenzi wa kampuni hiyo.
Rose ndauka akionekana mwenye furaha akiwa na Richie alitupia picha mtandaoni na kuandika kwa kifupi zaidi kuwa watu wakae mkao wa...
10 years ago
Bongo Movies28 Apr
Majibu ya Mwigizaji Rose Ndauka Baada ya Kuhusishwa na Matatizo ya Ndoa ya Shetta
Baada ya kuenea kwa taarifa kuwa ndoa ya msanii wa bongo fleva, Shetta imevunjika baada ya taarifa kumfikia mke wake kuwa msanii huyo anamahusiano na staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Ndauka.
Akijibu shutuma hizo, Rose Ndauka alijibu haya alipoulizwa na Soudy Brown wa Clouds FM kwenye kipindi cha XXL.
“Kwanza kitu ambacho ningependa kumuambia asipende kusikiliza watu.. la pili kitu chochote ambacho kinahusiana na mahusiano sio vizuri kupeleka kwenye public… hata ingekuwa ni ukweli...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q31iKwkRDgw1-pD-w7Vbiv4GpWlK9pWQhXvCwW803*Gbi1zjjccmOUOunnkOuZIo6QBmgTRRgvVv6SJVBlc0fVe/kabula.jpg?width=650)
JINI SIZAI TENA NJE YA NDOA