JINI SIZAI TENA NJE YA NDOA
![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q31iKwkRDgw1-pD-w7Vbiv4GpWlK9pWQhXvCwW803*Gbi1zjjccmOUOunnkOuZIo6QBmgTRRgvVv6SJVBlc0fVe/kabula.jpg?width=650)
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kuwa hayupo tayari kuzaa tena nje ya ndoa mpaka atakapoolewa. Msanii wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’. Akistorisha na paparazi wetu, Jini Kabula alisema hawezi kurudia tena jambo hilo kwani anaogopa kuchanganya damu kwa vile baadaye watoto wanaweza kuja kugombana na kukosa maelewano hivyo anamuomba Mungu atimize ahadi ya kuolewa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzXnk8J7J8XwG-axvNjmO43hYw9XscceZaJNpmJaFFlm5wyzAzRJUVZHIW1fCGWORSqoVIwndpZ37hD*HcQpLTru/kabula.jpg)
JINI KABULA AKOMA KUZAA NJE YA NDOA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa5JIM1Nl7H-99Jo5MfuDSgHXkyJ5ZNEsKDqwKjKdW1bMdRoXSMDVVd*1JeGD-oFEc-OKpxQnXsli*Rw8wc2yALv/5.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA: SITAZAA TENA NJE YA NDOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW4xRLaFbcguw7-FkKF59wpn*H-7HMyVhW5NARrcndZdxwFfZClObKmjl-QYxwq*K8BK3kh1mL7iELqP30SPE-27/JINIKABULA.jpg?width=650)
JINI KABULA: NAMSUBIRI BUSHOKE TUFUNGE NDOA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwepo na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshashuhudia magomvi makubwa misibani lakini pia tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali za marehemu ambaye familia yake ni ya watoto wanatokana na mama tofauti. Kutokana na hayo kuna umuhimu mkubwa wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-CPc1ecL0OYcTjYOwBgXhZ69uWaIS42wyohB-VmkWItCadhwZcIhlXqNB70AmkfREk3P83*GVTy0cmPPHnPjpF1/dida.jpg)
DIDA NDOA TENA!
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Wastara ndoa tena!
Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma.
Na Waandishi Wetu
BAHATI ILIYOJE! Baada ya hivi karibuni mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kutimiza miaka mitatu kaburini, staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kwamba anatarajia kuolewa tena kwani ameshapata chaguo sahihi.
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko nyumbani kwao Tabata Barakuda jijini Dar, Wastara alisema wakati wa msiba wa mumewe aliweka nadhiri kwamba ataolewa baada ya miaka mitatu hivyo kwa sasa yuko tayari kuingia kwenye ndoa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jKMzIjeSyiVoFU*kIN988QrMmglKKIocC4GiuVc56tqK0OA-2fbBFgkxE7rP2k1FIrMyMHDfcUclBpgjblA4RKS/bella.jpg)
BELA: SITAKI TENA NDOA
10 years ago
Bongo Movies22 Feb
Jack: Sitaki Tena Ndoa!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ ameamua kufunguka na kuweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa tena hii ni baada ya kupewa talaka na aliyekuwa mumewe, Gadna Dibibi.
Jack alisema, kwa muda aliodumu kwenye ndoa ameshaona raha na karaha yake hivyo suala la kuolewa tena sasa hivi halipo akilini mwake.
“Katika ndoa lazima kuwe na mabaya na mazuri, hata hivyo siwezi kusema ndoa ni chungu hapana, ila mimi kwa sasa hivi nimeona nipumzike kwanza sitaki tena ndoa labda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfANdexowJDVrh6T2uoW7LIvIkuZQNshYIKWikEt6qVTnlz1FxNQKF1ns46jPHX1UAjO2U21oPc0QqW9q03liwU1/Davina.jpg)
NIKIACHIKA, NDOA TENA BASI- DAVINA