MNYWAJI WA POMBE ANAFAA KUWA MUMEO?
NI matumaini yangu wasomaji wa safu hii mko vizuri na mpo tayari kupokea mada mpya ambayo nimewaandalia. Namshukuru Mungu kwa kunipa afya, tuweze kujadili kwa pamoja mada iliyopo mezani. Mada inajieleza hapo juu, kutokana na visa na uzoefu mbalimbali waliopitia, wanawake wamekuwa na mtazamo tofauti juu ya wanaume ambao wanatumia kilevi.Wapo wanaoamini kwamba mwanaume ambaye anatumia kilevi hafai kuwa mume lakini wapo wengine...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLAUNT: WEMA ANAFAA KUWA MKE
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Slaa: Magufuli anafaa kuwa rais
Na Khamis Mkotya, Dar
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa, amempigia debe mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akisema kuwa anafaa kuwa rais wa awamu ya tano.
Dk. Slaa amedhihirisha hisia zake hizo juzi usiku wakati akihojiwa katika kipindi maalumu kilichoandaliwa na kurushwa na Kituo cha Televisheni cha Star TV.
Dk. Slaa ambaye alizungumzia masuala mbalimbali, alisema anamuunga mkono Dk. Magufuli kwa kuwa ni...
11 years ago
GPLALI KIBA: LULU ANAFAA KUWA MKE
9 years ago
Habarileo13 Oct
Pinda: Magufuli anafaa kuwa rais, mchagueni
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CC-CCM) ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho (NEC), Mizengo Pinda amewaomba wananchi wamchague John Magufuli kwa kuwa ndiye anayefaa.
10 years ago
GPLLOWASSA ANAFAA AU HAFAI KUWA RAIS 2015?
10 years ago
Mtanzania03 Oct
Samia anafaa kuwa mgombea mwenza — Pinda
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amempigia ‘debe’ Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samia Suluhu Hassan, kuwa ni mwanamke shupavu anayeweza kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015.
Akizungumza bungeni mjini Dodoma jana wakati wa kutoa shukrani, Pinda alisema Samia amepewa sifa kubwa kutokana na kazi nzuri aliyofanya ya kuliongoza Bunge hilo kwa uadilifu.
“Makamu mwenyekiti leo umepewa sifa kubwa, nimeambiwa...
10 years ago
MichuziDOGO JEMBE AHOJI NANI ANAFAA KUWA RAIS
Mara baada ya kuzongwa na waandishi wa habari waliomuuliza anachukuliaje maoni ya wananchi kuhusu nia yake ya kuutaka urais amelazimika kuitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo...
9 years ago
GPLMAMBO MA-5 YA KUMTESTI MPENZI KAMA ANAFAA KUWA MKE!
9 years ago
Bongo523 Oct
Kocha wa Man United, Louis Van Gaal anaamini Chris Smalling anafaa kuwa nahodha