AUNT: WEMA ANAFAA KUWA MKE
![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mivRXkeln2W6IRQ8Gy6LJDnyRh4Ngq09mMusDyx8GRS7bqRgfia*zFYzdv-5SmdZNAPIcHnJLqGNa19b-nKPxNe/antiwema.jpg)
Stori: Imelda Mtema FAGIO! Mkali wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amemmwagia sifa shosti yake Wema Sepetu na kudai anafaa kuwa mke kama alivyo yeye. Mkali wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel akiwa na shosti wake Wema Sepetu. Akimmwagia sifa mbele ya kinasa sauti chetu, Aunt alisema Wema anajua mapenzi ya dhati, anajali, mcheshi na anajua maisha tofauti na watu wengi wanavyofikiria.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0thz3bpEX0uPa1psmcjJFuDD4bjeN1Wc6PAKhkoJx1acSlgJv1FsBnivcLRYmcRLckqa9KBEMicUZmUUlhOaDlmK/ALIKIBA.jpg?width=650)
ALI KIBA: LULU ANAFAA KUWA MKE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovBd1prpKBG5zNsGGshOWODPWB8ZZA7VRW-wINc3Afr4QMmAi52GH-jw6uCVibiQ1X-xn*ClTMcpCyTgPopPR2mr/10couplebythebeachmain.jpg?width=650)
MAMBO MA-5 YA KUMTESTI MPENZI KAMA ANAFAA KUWA MKE!
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Slaa: Magufuli anafaa kuwa rais
Na Khamis Mkotya, Dar
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa, amempigia debe mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akisema kuwa anafaa kuwa rais wa awamu ya tano.
Dk. Slaa amedhihirisha hisia zake hizo juzi usiku wakati akihojiwa katika kipindi maalumu kilichoandaliwa na kurushwa na Kituo cha Televisheni cha Star TV.
Dk. Slaa ambaye alizungumzia masuala mbalimbali, alisema anamuunga mkono Dk. Magufuli kwa kuwa ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3KDwQMeV6Co*qHbNpB0CLklwFEbmFztUHE5ik*xESCxnPnJRQlWTfbFyGpR2fLdnfrsZOHcnGdGfLqhji1fRZ-V/a.jpg)
MNYWAJI WA POMBE ANAFAA KUWA MUMEO?
10 years ago
Mtanzania03 Oct
Samia anafaa kuwa mgombea mwenza — Pinda
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amempigia ‘debe’ Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samia Suluhu Hassan, kuwa ni mwanamke shupavu anayeweza kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015.
Akizungumza bungeni mjini Dodoma jana wakati wa kutoa shukrani, Pinda alisema Samia amepewa sifa kubwa kutokana na kazi nzuri aliyofanya ya kuliongoza Bunge hilo kwa uadilifu.
“Makamu mwenyekiti leo umepewa sifa kubwa, nimeambiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3v6LzW0UOPSx92DfQ0ScrpqMsIVoFBStF0khHgPv3e9PGnIkS2T8a0uf5yQdeV8IGpaoIUWc2HCHgj69fxmg*lD/r.jpg)
LOWASSA ANAFAA AU HAFAI KUWA RAIS 2015?
9 years ago
Habarileo13 Oct
Pinda: Magufuli anafaa kuwa rais, mchagueni
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CC-CCM) ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho (NEC), Mizengo Pinda amewaomba wananchi wamchague John Magufuli kwa kuwa ndiye anayefaa.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3KqWkMlNGoM/default.jpg)
DOGO JEMBE AHOJI NANI ANAFAA KUWA RAIS
Mara baada ya kuzongwa na waandishi wa habari waliomuuliza anachukuliaje maoni ya wananchi kuhusu nia yake ya kuutaka urais amelazimika kuitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo...
9 years ago
Bongo523 Oct
Kocha wa Man United, Louis Van Gaal anaamini Chris Smalling anafaa kuwa nahodha