Sitta: Siasa basi,aamua kuwa mwandishi wa vitabu na mshauri
Kwa mara ya kwanza tangu Kamati Kuu ya CCM ilipomuengua kwenye kinyang’anyiro cha uspika, Samuel Sita ambaye alikuwa Spika wa Bunge la Tisa, jana ameweka bayana mustakabali wake; ameamua kustaafu siasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
MWANDISHI WA HABARI NA MTUNZI WA VITABU AMEAGA DUNIA

Prof Walibora aligongwa na gari katika barabara ya Landhies, jijini Nairobi Ijumaa na mwili wake umekuwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Taifa ya Kenyatta (KNH).
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Nation, Walibora hakuonekana tangu Ijumaa na familia yake ilikuwa ikimtafuta kwa siku kadhaa kabla ya kubaini kwamba alikuwa amegongwa na gari.
Walibora ni mmoja wa watunzi mashuhuri wa...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Ukiolewa, kuwa mshauri wa mumeo!
Asalam Alaikum, Bwana Yesu asifiwe, bila shaka wasomaji wangu wa safu hii ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa kwa hilo nashukuru Mungu.
Leo nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanawake wengi ambao wapo kwenye ndoa na hii imekuwa kama fasheni kwa ndoa nyingi jambo linalokera na wala halipendezi kwa ndugu ama jamii.
Wanawake wengi tunashindwa kuwashauri waume zetu jinsi ya kutumia pesa, tunaendekeza starehe na sehemu ambazo si za kutusaidia hapo baadaye.
Wiki...
10 years ago
VijimamboMWANDISHI WA VITABU YASIN KAPUYA AKUTANA NA RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI WASHINGTON, DC
11 years ago
Michuzi
mjue James Hadley Chase, mwandishi wa riwaya za kusisimua aliyefanya wengi wapende kusoma vitabu

5 years ago
BBCSwahili19 May
Uchaguzi wa Burundi: Nkurunziza tayari kuwa 'mshauri wa ngazi ya juu'
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
JK amteua Thadeo Mwenempazi kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Sheria
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Thadeo Marko Mwenempazi kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Sheria.
Uteuzi wa Ndugu Mwenempazi umeanza tokea Jumatatu ya Agosti 24, mwaka huu, 2015.
Taarifa iliyotolewa leo, Ijumaa, Septemba 4, 2015 mjini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue imesema kuwa kabla ya uteuzi wake, Ndugu Mwenempazi alikuwa Wakili...
11 years ago
Mwananchi21 Sep
Maswali manne kwa Samuel Sitta na vyama vya siasa
5 years ago
Michuzi
Jamii yatakiwa Kuwa na Utamaduni wa Kusoma Vitabu ili kuongeza Maarifa.

Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt.Emmanuel Temu akizungumza kwa niaba ya Mhe Dkt. Harrison Mwakyembe Waziri wa Wizara hiyo katika hafla ya uzinduzi wa Kitabu kinachoitwa “Rais Magufuli na Serikali yake walivyobomoa Hekalu na kulijenga upya”kilichoandikwa na Mw.Projestus Vedasto Kabagambe uliofanyika jana Jijini Dodoma.

10 years ago
Bongo518 Sep
Zaiid adai alifanya cover ya Trap Queen kudhihirisha kuwa si mwandishi wa nyimbo ngumu tu (Video)