Mshauri wa Nkurunziza anusurika shambulio
Mshauri wa Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amenusurika shambulio alipokuwa akitoka nyumbani kwake katika eneo la Kajaga, magharibi mwa mji mkuu Bujumbura.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 May
Uchaguzi wa Burundi: Nkurunziza tayari kuwa 'mshauri wa ngazi ya juu'
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Mshauri wa Dk Shein afariki
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mshauri wa WHO aonya kuhusu Ebola
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Ukiolewa, kuwa mshauri wa mumeo!
Asalam Alaikum, Bwana Yesu asifiwe, bila shaka wasomaji wangu wa safu hii ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa kwa hilo nashukuru Mungu.
Leo nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanawake wengi ambao wapo kwenye ndoa na hii imekuwa kama fasheni kwa ndoa nyingi jambo linalokera na wala halipendezi kwa ndugu ama jamii.
Wanawake wengi tunashindwa kuwashauri waume zetu jinsi ya kutumia pesa, tunaendekeza starehe na sehemu ambazo si za kutusaidia hapo baadaye.
Wiki...
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Aliyekuwa mshauri wa D.Cameron afungwa
10 years ago
Habarileo29 Jan
Mshauri wa Rais Zanzibar afariki dunia
ALIYEKUWA Mshauri wa Rais wa Masuala ya Utalii katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Issa Ahmed Othman ambaye alifariki dunia Januari 25 akiwa katika matibabu nchini India, amezikwa juzi katika kijiji cha Kianga nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-5KobweDRb14/VMfkR30ximI/AAAAAAACWYA/ojsGQoIIVYg/s72-c/IMG_3354.jpg)
MAZIKO YA MSHAURI WA RAIS UTALII ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-5KobweDRb14/VMfkR30ximI/AAAAAAACWYA/ojsGQoIIVYg/s640/IMG_3354.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mb1N7m4eZ-0/VMfkUEbBpUI/AAAAAAACWYQ/OPD0vy9YNxM/s640/IMG_3369.jpg)
10 years ago
StarTV30 Dec
Padri Nicholaus Segeja ateuliwa mshauri wa Papa.
Na Jacob Marcus,
Mwanza.
Baba Mtakatifu Francis amemteua Padri Nicholaus Segeja kutoka Tanzania kuwa miongoni mwa wajumbe wa tume yake ya kimataifa ya kumshauri masuala ya kiimani kwa kipindi cha miaka mitano.
Padri Segeja ambaye ni mhadhiri wa chuo kikuu cha kanisa katoliki cha Afrika Mashariki kilichopo Nairobi Kenya amepata uteuzi huo akiwa amebobea katika elimu ya kanisa inayohusu uchungaji wa kanisa katoliki.
Akizungumzia uteuzi huo ambao ni wa kwanza katika ukanda wa Afrika...