Padri Nicholaus Segeja ateuliwa mshauri wa Papa.
Na Jacob Marcus,
Mwanza.
Baba Mtakatifu Francis amemteua Padri Nicholaus Segeja kutoka Tanzania kuwa miongoni mwa wajumbe wa tume yake ya kimataifa ya kumshauri masuala ya kiimani kwa kipindi cha miaka mitano.
Padri Segeja ambaye ni mhadhiri wa chuo kikuu cha kanisa katoliki cha Afrika Mashariki kilichopo Nairobi Kenya amepata uteuzi huo akiwa amebobea katika elimu ya kanisa inayohusu uchungaji wa kanisa katoliki.
Akizungumzia uteuzi huo ambao ni wa kwanza katika ukanda wa Afrika...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZHLjcrNkSLE/U_MguTwh3II/AAAAAAAGAsQ/AlboTAcXGO0/s72-c/papa.jpg)
Papa Francis amruhuru Padri Kuoa
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZHLjcrNkSLE/U_MguTwh3II/AAAAAAAGAsQ/AlboTAcXGO0/s1600/papa.jpg)
Barua ya uamuzi wa Papa Francis ilisomwa jumapili ya juzi katika parokia na vigango vyote vya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi wakati wa ibada za jumapili zilifanyika katika makanisa ya jimbo hilo.
Miongoni mwa parokia ambazo barua hiyo ilisomwa ni Parokia ya Karanga ambako Paroko...
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Papa amruhusu Padri Mosha kuoa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzeDTM8JGar9keMOiQ8XWLPv1Cgrwlub62tUI-r0rM0yGPo79NP-N1JGzndaEYB4YryG4j6reWCel1W8SkK9zGql/popefrancis.jpg)
PAPA FRANCIS AMRUHUSU PADRI WA JIMBO LA MOSHI KUOA
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Mshauri wa Dk Shein afariki
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mshauri wa WHO aonya kuhusu Ebola
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Mshauri wa Nkurunziza anusurika shambulio
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Ukiolewa, kuwa mshauri wa mumeo!
Asalam Alaikum, Bwana Yesu asifiwe, bila shaka wasomaji wangu wa safu hii ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa kwa hilo nashukuru Mungu.
Leo nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanawake wengi ambao wapo kwenye ndoa na hii imekuwa kama fasheni kwa ndoa nyingi jambo linalokera na wala halipendezi kwa ndugu ama jamii.
Wanawake wengi tunashindwa kuwashauri waume zetu jinsi ya kutumia pesa, tunaendekeza starehe na sehemu ambazo si za kutusaidia hapo baadaye.
Wiki...