Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa amruhusu Padri Mosha kuoa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekubali kumuondolea sakramenti ya upadri, Raymond Mosha wa Jimbo Katoliki la Moshi ikiwa ni miaka 20 tangu padri huyo aombe kuachana na daraja hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AMRUHUSU PADRI WA JIMBO LA MOSHI KUOA

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis. KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekubali kumuondolea sakramenti ya upadri, Padri Raymond Mosha wa Jimbo Katoliki la Moshi ikiwa ni miaka 20 tangu padri huyo aombe kujiondoa kwenye daraja hilo. Barua ya uamuzi wa Papa Francis ilisomwa Jumapili ya juzi katika parokia na vigango vyote vya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi wakati wa ibada za Jumapili zilifanyika...

 

10 years ago

Michuzi

Papa Francis amruhuru Padri Kuoa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekubali kumuondolea sakramenti ya upadri, Padri Raymond Mosha wa Jimbo la Katoliki la Moshi ikiwa ni miaka 20 tangu padri huyo aombe kujiondoa kwenye daraja hilo. 
Barua ya uamuzi wa Papa Francis ilisomwa jumapili ya juzi katika parokia na vigango vyote vya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi wakati wa ibada za jumapili zilifanyika katika makanisa ya jimbo hilo. 
Miongoni mwa parokia ambazo barua hiyo ilisomwa ni Parokia ya Karanga ambako Paroko...

 

10 years ago

StarTV

Padri Nicholaus Segeja ateuliwa mshauri wa Papa.

Na Jacob Marcus,

Mwanza.

Baba Mtakatifu Francis amemteua Padri Nicholaus Segeja kutoka Tanzania kuwa miongoni mwa wajumbe wa tume yake ya kimataifa ya kumshauri masuala ya kiimani kwa kipindi cha miaka mitano.

 

Padri Segeja ambaye ni mhadhiri wa chuo kikuu cha kanisa katoliki cha Afrika Mashariki kilichopo Nairobi Kenya amepata uteuzi huo akiwa amebobea katika elimu ya kanisa inayohusu uchungaji wa kanisa katoliki.

 

Akizungumzia uteuzi huo ambao ni wa kwanza katika ukanda wa Afrika...

 

11 years ago

GPL

Manji amruhusu mzee Akilimali kuzungumza

Ibrahimu Mussa na Khadija Mngwai
KATIBU wa Baraza la Wazee wa Yanga, mzee Ibrahimu Akilimali, ameibuka na kusema kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuph Manji aliuziwa ‘mbuzi kwenye gunia’, ndiyo maana akamzuia kuzungumza na waandishi wa habari. Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji(kulia) na Katibu wa Baraza la Wazee wa Yanga, mzee Ibrahimu Akilimali (kushoto). Hivi karibuni Manji alimzuia mzee huyo kuzungumza na...

 

10 years ago

Africanjam.Com

ROMAN ABRAMOVICH AMRUHUSU PETR CECH KUTIMKIA ARSENAL


Ijumaa iliyopita, Sky Sports walidai kwamba Cech angesaini Emirates siku hiyo, lakini haikutokea.Mashabiki wa Arsenal wamechoka kusikia tetesi inayotangaza kwamba watamsajili golikipa wa Chelsea, Petr Cech, lakini siku ya kufanya hivyo haijulikani.Kwa wiki kadhaa, taarifa zimekuwa zikitoka kuwa Cech anaweza kusaini leo, lakini hiyo leo haifiki.
Hii inazua wasiwasi kama kweli Cech atajiunga na Arsenal majira haya ya kiangazi kwa dau la paundi milioni 11.Hata hivyo, Jose Mourinho hapendi kuona...

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanachama Yanga wavamia kwa Mosha

BAADA ya mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC kupeleka kilio Jangwani kwa kuwanasa wachezaji wawili wa Yanga, wanachama wa klabu hiyo wamevamia nyumbani kwa aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti, Davis...

 

9 years ago

GPL

DAVIS MOSHA: NITAIBADILISHA MOSHI MJINI

Mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi mjini, Davis Mosha akiongea na wananchi (hawapo pichani). Wananchi wakiendelea kumsikiliza Mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani