Papa amruhusu Padri Mosha kuoa
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekubali kumuondolea sakramenti ya upadri, Raymond Mosha wa Jimbo Katoliki la Moshi ikiwa ni miaka 20 tangu padri huyo aombe kuachana na daraja hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzeDTM8JGar9keMOiQ8XWLPv1Cgrwlub62tUI-r0rM0yGPo79NP-N1JGzndaEYB4YryG4j6reWCel1W8SkK9zGql/popefrancis.jpg)
PAPA FRANCIS AMRUHUSU PADRI WA JIMBO LA MOSHI KUOA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZHLjcrNkSLE/U_MguTwh3II/AAAAAAAGAsQ/AlboTAcXGO0/s72-c/papa.jpg)
Papa Francis amruhuru Padri Kuoa
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZHLjcrNkSLE/U_MguTwh3II/AAAAAAAGAsQ/AlboTAcXGO0/s1600/papa.jpg)
Barua ya uamuzi wa Papa Francis ilisomwa jumapili ya juzi katika parokia na vigango vyote vya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi wakati wa ibada za jumapili zilifanyika katika makanisa ya jimbo hilo.
Miongoni mwa parokia ambazo barua hiyo ilisomwa ni Parokia ya Karanga ambako Paroko...
10 years ago
StarTV30 Dec
Padri Nicholaus Segeja ateuliwa mshauri wa Papa.
Na Jacob Marcus,
Mwanza.
Baba Mtakatifu Francis amemteua Padri Nicholaus Segeja kutoka Tanzania kuwa miongoni mwa wajumbe wa tume yake ya kimataifa ya kumshauri masuala ya kiimani kwa kipindi cha miaka mitano.
Padri Segeja ambaye ni mhadhiri wa chuo kikuu cha kanisa katoliki cha Afrika Mashariki kilichopo Nairobi Kenya amepata uteuzi huo akiwa amebobea katika elimu ya kanisa inayohusu uchungaji wa kanisa katoliki.
Akizungumzia uteuzi huo ambao ni wa kwanza katika ukanda wa Afrika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhkLAWMug-hNC7dUlPUV5hM0GLrqYcOc4m0Lour9bhj1oGWch6Uc9aDR7GFdNpNE1o5eyvLCGkpWb2Os2wOP8pha/maji.jpg?width=650)
Manji amruhusu mzee Akilimali kuzungumza
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-SekNICT8b4A/VZAj0sNtiLI/AAAAAAAACTU/7MVWdHUptSg/s72-c/Petr-Cech-Arsenal.jpg)
ROMAN ABRAMOVICH AMRUHUSU PETR CECH KUTIMKIA ARSENAL
![](http://1.bp.blogspot.com/-SekNICT8b4A/VZAj0sNtiLI/AAAAAAAACTU/7MVWdHUptSg/s400/Petr-Cech-Arsenal.jpg)
Ijumaa iliyopita, Sky Sports walidai kwamba Cech angesaini Emirates siku hiyo, lakini haikutokea.Mashabiki wa Arsenal wamechoka kusikia tetesi inayotangaza kwamba watamsajili golikipa wa Chelsea, Petr Cech, lakini siku ya kufanya hivyo haijulikani.Kwa wiki kadhaa, taarifa zimekuwa zikitoka kuwa Cech anaweza kusaini leo, lakini hiyo leo haifiki.
Hii inazua wasiwasi kama kweli Cech atajiunga na Arsenal majira haya ya kiangazi kwa dau la paundi milioni 11.Hata hivyo, Jose Mourinho hapendi kuona...
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Wanachama Yanga wavamia kwa Mosha
BAADA ya mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC kupeleka kilio Jangwani kwa kuwanasa wachezaji wawili wa Yanga, wanachama wa klabu hiyo wamevamia nyumbani kwa aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti, Davis...
9 years ago
GPLDAVIS MOSHA: NITAIBADILISHA MOSHI MJINI