Manji amruhusu mzee Akilimali kuzungumza
Ibrahimu Mussa na Khadija Mngwai KATIBU wa Baraza la Wazee wa Yanga, mzee Ibrahimu Akilimali, ameibuka na kusema kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuph Manji aliuziwa ‘mbuzi kwenye gunia’, ndiyo maana akamzuia kuzungumza na waandishi wa habari. Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji(kulia) na Katibu wa Baraza la Wazee wa Yanga, mzee Ibrahimu Akilimali (kushoto). Hivi karibuni Manji alimzuia mzee huyo kuzungumza na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLManji amvaa mzee Akilimali
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Papa amruhusu Padri Mosha kuoa
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Akilimali apinga kutulizwa
10 years ago
Africanjam.ComROMAN ABRAMOVICH AMRUHUSU PETR CECH KUTIMKIA ARSENAL
Ijumaa iliyopita, Sky Sports walidai kwamba Cech angesaini Emirates siku hiyo, lakini haikutokea.Mashabiki wa Arsenal wamechoka kusikia tetesi inayotangaza kwamba watamsajili golikipa wa Chelsea, Petr Cech, lakini siku ya kufanya hivyo haijulikani.Kwa wiki kadhaa, taarifa zimekuwa zikitoka kuwa Cech anaweza kusaini leo, lakini hiyo leo haifiki.
Hii inazua wasiwasi kama kweli Cech atajiunga na Arsenal majira haya ya kiangazi kwa dau la paundi milioni 11.Hata hivyo, Jose Mourinho hapendi kuona...
10 years ago
GPLPAPA FRANCIS AMRUHUSU PADRI WA JIMBO LA MOSHI KUOA
10 years ago
MichuziMDAU ANGELA AKILIMALI NA WENZAKE WALA NONDO YA MAWASILIANO YA UMMA
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
GEMMA AKILIMALI: Mwalimu anayefanya makubwa kwa taifa bila kujiweka mbele
LEO katika safu yetu ya Mwanamama tunawaletea Mwalimu Gemma Akilimali. Mama huyu alizaliwa Januari 27, mwaka 1950. Ni mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu, mwalimu, msomi, mwanafamilia, muumini imara wa...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Rais Kikwete aungana na waombolezaji kwenye Msiba wa marehemu Mzee Said Ngamba “Mzee Small” Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amejumuika na waombolezaji mbali mbali kwenye Msiba wa msanii maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Rais wa Chama cha Filamu nchini,Simon Mwakifwamba na...