Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manji amruhusu mzee Akilimali kuzungumza

Ibrahimu Mussa na Khadija Mngwai
KATIBU wa Baraza la Wazee wa Yanga, mzee Ibrahimu Akilimali, ameibuka na kusema kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuph Manji aliuziwa ‘mbuzi kwenye gunia’, ndiyo maana akamzuia kuzungumza na waandishi wa habari. Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji(kulia) na Katibu wa Baraza la Wazee wa Yanga, mzee Ibrahimu Akilimali (kushoto). Hivi karibuni Manji alimzuia mzee huyo kuzungumza na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Manji amvaa mzee Akilimali

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji. Na Nicodemus Jonas
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, jana alimjia juu Katibu wa Baraza la Wazee wa klabu hiyo, mzee Ibrahim Akilimali, akimtaka kuacha kujifanya msemaji wa Yanga. Manji alimbwatukia mzee huyo hadharani katika Mkutano Mkuu wa Yanga uliohudhuriwa na zaidi ya wanachama 400 kwenye Ukumbi wa Karume, PTA Sabasaba jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti huyo ambaye alionekana kuchachamaa,...

 

10 years ago

Mwananchi

Papa amruhusu Padri Mosha kuoa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekubali kumuondolea sakramenti ya upadri, Raymond Mosha wa Jimbo Katoliki la Moshi ikiwa ni miaka 20 tangu padri huyo aombe kuachana na daraja hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Akilimali apinga kutulizwa

Siku moja baada ya kufungwa mdomo kuzungumzia masuala ya klabu, Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga Ibrahim, Akilimali maarufu ‘Abromovich’ amesema hatasita kuongea iwapo kuna jambo litamkera.

 

10 years ago

Africanjam.Com

ROMAN ABRAMOVICH AMRUHUSU PETR CECH KUTIMKIA ARSENAL


Ijumaa iliyopita, Sky Sports walidai kwamba Cech angesaini Emirates siku hiyo, lakini haikutokea.Mashabiki wa Arsenal wamechoka kusikia tetesi inayotangaza kwamba watamsajili golikipa wa Chelsea, Petr Cech, lakini siku ya kufanya hivyo haijulikani.Kwa wiki kadhaa, taarifa zimekuwa zikitoka kuwa Cech anaweza kusaini leo, lakini hiyo leo haifiki.
Hii inazua wasiwasi kama kweli Cech atajiunga na Arsenal majira haya ya kiangazi kwa dau la paundi milioni 11.Hata hivyo, Jose Mourinho hapendi kuona...

 

10 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AMRUHUSU PADRI WA JIMBO LA MOSHI KUOA

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis. KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekubali kumuondolea sakramenti ya upadri, Padri Raymond Mosha wa Jimbo Katoliki la Moshi ikiwa ni miaka 20 tangu padri huyo aombe kujiondoa kwenye daraja hilo. Barua ya uamuzi wa Papa Francis ilisomwa Jumapili ya juzi katika parokia na vigango vyote vya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi wakati wa ibada za Jumapili zilifanyika...

 

10 years ago

Michuzi

MDAU ANGELA AKILIMALI NA WENZAKE WALA NONDO YA MAWASILIANO YA UMMA

Kaimu Mgukurugeni wa Uhuru FM, Angela Akilimali (katikati) akiwa na wahitimu wenzake wa Shahada ya Mawasiliano ya uma ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) katika mahafali yaliyofanyika hivi katibuni mkoani Kibaha mkoani Pwani.  Kushoto ni Hemed Mbaraka na Mganwa Nzota.  Wanahabari wa morogoro nao walikula nondo zao katika mahafali hayo.  Angela Akilimali akiwa na mumewe Hassan Hemedi Chamshama baada ya kumkabidhi shada la maua wakati akimpongeza.  Toka kushoto ni Idda Mushi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

GEMMA AKILIMALI: Mwalimu anayefanya makubwa kwa taifa bila kujiweka mbele

LEO katika safu yetu ya Mwanamama tunawaletea Mwalimu Gemma Akilimali. Mama huyu alizaliwa Januari 27, mwaka 1950. Ni mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu, mwalimu, msomi, mwanafamilia, muumini imara wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aungana na waombolezaji kwenye Msiba wa marehemu Mzee Said Ngamba “Mzee Small” Jijini Dar

16

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014.

17

_1

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amejumuika na waombolezaji mbali mbali kwenye Msiba wa msanii maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Rais wa Chama cha Filamu nchini,Simon Mwakifwamba na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani