PAPA FRANCIS AMRUHUSU PADRI WA JIMBO LA MOSHI KUOA
![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzeDTM8JGar9keMOiQ8XWLPv1Cgrwlub62tUI-r0rM0yGPo79NP-N1JGzndaEYB4YryG4j6reWCel1W8SkK9zGql/popefrancis.jpg)
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis. KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekubali kumuondolea sakramenti ya upadri, Padri Raymond Mosha wa Jimbo Katoliki la Moshi ikiwa ni miaka 20 tangu padri huyo aombe kujiondoa kwenye daraja hilo. Barua ya uamuzi wa Papa Francis ilisomwa Jumapili ya juzi katika parokia na vigango vyote vya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi wakati wa ibada za Jumapili zilifanyika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Papa amruhusu Padri Mosha kuoa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZHLjcrNkSLE/U_MguTwh3II/AAAAAAAGAsQ/AlboTAcXGO0/s72-c/papa.jpg)
Papa Francis amruhuru Padri Kuoa
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZHLjcrNkSLE/U_MguTwh3II/AAAAAAAGAsQ/AlboTAcXGO0/s1600/papa.jpg)
Barua ya uamuzi wa Papa Francis ilisomwa jumapili ya juzi katika parokia na vigango vyote vya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi wakati wa ibada za jumapili zilifanyika katika makanisa ya jimbo hilo.
Miongoni mwa parokia ambazo barua hiyo ilisomwa ni Parokia ya Karanga ambako Paroko...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9b9MQ9l_JvY/VlcTdAwuRuI/AAAAAAAIIgM/p1kjNK-O2-8/s72-c/6.jpg)
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora Mhashama Paulo Ruzoka Kuongoza ujumbe wa Tanzania kumuona Papa Francis Uganda
![](http://1.bp.blogspot.com/-9b9MQ9l_JvY/VlcTdAwuRuI/AAAAAAAIIgM/p1kjNK-O2-8/s640/6.jpg)
Na Joseph Ishengoma, MAELEZOAskofu Mkuu wa jimbo kuu la Tabora Mhashamu Paulo Ruzoka (pichani) kesho (tarehe 27.11.2015) anatarajia kuongoza ujumbe wa Tanzania kwenye ziara ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Francis nchini Uganda.Baba Mtakatifu Francis anatarajia kuwasili nchini Uganda kesho kwa ziara ya siku mbili akitokea Kenya kabla ya kuelekea Afrika ya Kati.Hii ni ziara ya kwanza kwa kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani kutembelea Bara la Afrika tangu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
10 years ago
StarTV30 Dec
Padri Nicholaus Segeja ateuliwa mshauri wa Papa.
Na Jacob Marcus,
Mwanza.
Baba Mtakatifu Francis amemteua Padri Nicholaus Segeja kutoka Tanzania kuwa miongoni mwa wajumbe wa tume yake ya kimataifa ya kumshauri masuala ya kiimani kwa kipindi cha miaka mitano.
Padri Segeja ambaye ni mhadhiri wa chuo kikuu cha kanisa katoliki cha Afrika Mashariki kilichopo Nairobi Kenya amepata uteuzi huo akiwa amebobea katika elimu ya kanisa inayohusu uchungaji wa kanisa katoliki.
Akizungumzia uteuzi huo ambao ni wa kwanza katika ukanda wa Afrika...
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Obama kukutana na Papa Francis
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Papa Francis azungumzia familia
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Papa Francis na uongozi wa kipekee