Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MDAU ANGELA AKILIMALI NA WENZAKE WALA NONDO YA MAWASILIANO YA UMMA

Kaimu Mgukurugeni wa Uhuru FM, Angela Akilimali (katikati) akiwa na wahitimu wenzake wa Shahada ya Mawasiliano ya uma ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) katika mahafali yaliyofanyika hivi katibuni mkoani Kibaha mkoani Pwani.  Kushoto ni Hemed Mbaraka na Mganwa Nzota.  Wanahabari wa morogoro nao walikula nondo zao katika mahafali hayo.  Angela Akilimali akiwa na mumewe Hassan Hemedi Chamshama baada ya kumkabidhi shada la maua wakati akimpongeza.  Toka kushoto ni Idda Mushi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MDAU MOSES MWANGENDE ALA NONDO BEIJINING-CHINA

Mtumishi wa Dar es salaam Institute of Technology(DIT),Bw.Moses  Mwangende Leo asubuhi ya Juni 24 apataDigrii ya pili (masters of software Engineering) katika chuo  cha Beijing Institute of Technology-China.Mtumishi wa Dar es salaam Institute of Technology (DIT),Bw. Moses  Mwangende nimesalimiana  na Prof.Liu  ni mmoja wa  wafanya kazi  wa  schools of software Engineering.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mrema ahoji wala fedha za umma kulindwa

MBUNGE wa Vunjo Agustino Mrema ameitaka serikali itoe majibu ni nani anawalinda mchwa wala fedha za umma mkoani Kilimanjaro. Mrema alitoa kauli hiyo juzi wakati akichangia hotuba ya Makadirio ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

DK HAMZA KONDO: Mtanzania kwa kwanza kutunukiwa PhD ya mawasiliano ya umma nchini

CHUO Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimekuwa chuo cha kwanza Tanzania tangu nchi ipate uhuru kutunuku shahada ya uzamivu ya mawasiliano ya umma (PhD in Mass Communication) kati ya vyuo...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Chris Bee f/ G Sacha & Silvia – Wala Wala

Tazama video ya mtangazaji wa redio ambaye pia ni muimbaji wa jijini Mbeya, Chris Bee ya wimbo wake ‘Wala Wala’ aliowashirikisha G Sacha na Silvia.

 

11 years ago

Mwananchi

Akilimali apinga kutulizwa

Siku moja baada ya kufungwa mdomo kuzungumzia masuala ya klabu, Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga Ibrahim, Akilimali maarufu ‘Abromovich’ amesema hatasita kuongea iwapo kuna jambo litamkera.

 

11 years ago

GPL

Manji amvaa mzee Akilimali

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji. Na Nicodemus Jonas
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, jana alimjia juu Katibu wa Baraza la Wazee wa klabu hiyo, mzee Ibrahim Akilimali, akimtaka kuacha kujifanya msemaji wa Yanga. Manji alimbwatukia mzee huyo hadharani katika Mkutano Mkuu wa Yanga uliohudhuriwa na zaidi ya wanachama 400 kwenye Ukumbi wa Karume, PTA Sabasaba jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti huyo ambaye alionekana kuchachamaa,...

 

11 years ago

GPL

Manji amruhusu mzee Akilimali kuzungumza

Ibrahimu Mussa na Khadija Mngwai
KATIBU wa Baraza la Wazee wa Yanga, mzee Ibrahimu Akilimali, ameibuka na kusema kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuph Manji aliuziwa ‘mbuzi kwenye gunia’, ndiyo maana akamzuia kuzungumza na waandishi wa habari. Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji(kulia) na Katibu wa Baraza la Wazee wa Yanga, mzee Ibrahimu Akilimali (kushoto). Hivi karibuni Manji alimzuia mzee huyo kuzungumza na...

 

10 years ago

GPL

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (Universal Communications Service Access Fund – UCSAF) Eng Peter Ulanga (Katikati) akiwa na Waziri wa Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka Ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  Prof. John Nkoma, CEO wa TTCL Dr. Kamugisha Kazaura wakiweka sahihi mikataba ya mabilioni kupelekea… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

GEMMA AKILIMALI: Mwalimu anayefanya makubwa kwa taifa bila kujiweka mbele

LEO katika safu yetu ya Mwanamama tunawaletea Mwalimu Gemma Akilimali. Mama huyu alizaliwa Januari 27, mwaka 1950. Ni mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu, mwalimu, msomi, mwanafamilia, muumini imara wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani