Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MDAU MOSES MWANGENDE ALA NONDO BEIJINING-CHINA

Mtumishi wa Dar es salaam Institute of Technology(DIT),Bw.Moses  Mwangende Leo asubuhi ya Juni 24 apataDigrii ya pili (masters of software Engineering) katika chuo  cha Beijing Institute of Technology-China.Mtumishi wa Dar es salaam Institute of Technology (DIT),Bw. Moses  Mwangende nimesalimiana  na Prof.Liu  ni mmoja wa  wafanya kazi  wa  schools of software Engineering.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MDAU ANGELA AKILIMALI NA WENZAKE WALA NONDO YA MAWASILIANO YA UMMA

Kaimu Mgukurugeni wa Uhuru FM, Angela Akilimali (katikati) akiwa na wahitimu wenzake wa Shahada ya Mawasiliano ya uma ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) katika mahafali yaliyofanyika hivi katibuni mkoani Kibaha mkoani Pwani.  Kushoto ni Hemed Mbaraka na Mganwa Nzota.  Wanahabari wa morogoro nao walikula nondo zao katika mahafali hayo.  Angela Akilimali akiwa na mumewe Hassan Hemedi Chamshama baada ya kumkabidhi shada la maua wakati akimpongeza.  Toka kushoto ni Idda Mushi wa...

 

10 years ago

Michuzi

mdau saidi mkwawa atetea utafiti wake, ala nondozzzz...kiulainiiiii....

Mdau  Mhandisi Saidi Mkwawa wa wakala wa ukaguzi Madini Tanzania (TMAA) akiwa anatetea utafiti wake ili apate nondozz ya Master of Engineering Science (Metallurgy) katika Chuo kikuu cha curtin university, campus ya  Western Australia School of Mine hivi karibuni. Utetezi ulipita kwa mafanikio Mdau Mhandisi Mkwawa wa wakala wa ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) akitoa neno  la shukrani kwa wafadhili kwa niaba ya wenzake mara baada ya kutunikiwa nondozzzz ya Master of Engineering Science...

 

10 years ago

Michuzi

mdau Dotto Haruna ala nondozzz ya "Cardiopulmonary Respiratory Care" mjini Baltimore, Maryland, USA

 Sensei Rumadha Fundi akiwa na binamu yake Bw. Dotto Haruna aliyekula nondozzz ya "Cardiopulmonary Respiratory Care"  mjini Baltimore, Maryland, USA. Hongera sana Dotto!! Mdau Dotto na  mai waifu wake bi Magge na watoto wao.Mdau Dotto akiwa na wala nondozzz wenzie

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Ismail Bibangamba ala nondozzz katika Mahafali ya Spring 2014 Commencement (Bowie State University)

Katika Mahafali ya Spring 2014 Commencement (Bowie State University) akiwemo mTanzania anayeishi hapa mjini Maryland,  Ismail Bibangamba, ameweza kutimiza ndoto yake ya kufaulu nondo zzz ya Master of Business Administration siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani Comcast Center, College Park Maryland Nchini Marekani. Ismail John Bibangamba akipita picha ya kumbukumbu  baada ya kuchukua nondozzz yake ya Master of Business Administration, siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani ya Mjengo wa Comcast...

 

10 years ago

GPL

JIDE ALA BATA CHINA!

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
GOOD time! Ndivyo unavyoweza kusema ambapo wakati habari ya mjini ikiwa ni kuhusiana na nyumba yake kupigwa mnada, staa wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au ‘Jide’ yupo bize jijini Hong Kong, China akila bata, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo. Staa wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au ‘Jide’. Mwishoni mwa wiki...

 

10 years ago

BBC

'Cheat Moses should be ashamed'

Swansea boss Garry Monk says Nigeria's Victor Moses should be "ashamed of himself" for his role in helping Stoke win a penalty.

 

10 years ago

BBC

Stoke 'angry' at criticism of Moses

Stoke chairman Peter Coates says BBC pundit John Hartson's criticism of Potters winger Victor Moses is "unacceptable".

 

10 years ago

BBC

Injured Moses faces eight weeks out

Stoke City's on-loan striker Victor Moses faces eight weeks out with a thigh injury, assistant manager Mark Bowen says.

 

10 years ago

BBC

Moses 'may play part for Chelsea'

Nigeria forward Victor Moses could be given a chance at Chelsea after returning from his loan deal at Stoke, says Potters boss Mark Hughes.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani