Manji amvaa mzee Akilimali
![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtrIu*L0toH2Y3OppyWCMYyPW1ythmw5u7wo1dF6M4F2TvlYqlDoH2qp7n7DCn1eFkyGFviE4D0qGH9WgdYOe9PM/manji.jpg?width=650)
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji. Na Nicodemus Jonas MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, jana alimjia juu Katibu wa Baraza la Wazee wa klabu hiyo, mzee Ibrahim Akilimali, akimtaka kuacha kujifanya msemaji wa Yanga. Manji alimbwatukia mzee huyo hadharani katika Mkutano Mkuu wa Yanga uliohudhuriwa na zaidi ya wanachama 400 kwenye Ukumbi wa Karume, PTA Sabasaba jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti huyo ambaye alionekana kuchachamaa,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhkLAWMug-hNC7dUlPUV5hM0GLrqYcOc4m0Lour9bhj1oGWch6Uc9aDR7GFdNpNE1o5eyvLCGkpWb2Os2wOP8pha/maji.jpg?width=650)
Manji amruhusu mzee Akilimali kuzungumza
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Akilimali apinga kutulizwa
10 years ago
MichuziMDAU ANGELA AKILIMALI NA WENZAKE WALA NONDO YA MAWASILIANO YA UMMA
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
GEMMA AKILIMALI: Mwalimu anayefanya makubwa kwa taifa bila kujiweka mbele
LEO katika safu yetu ya Mwanamama tunawaletea Mwalimu Gemma Akilimali. Mama huyu alizaliwa Januari 27, mwaka 1950. Ni mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu, mwalimu, msomi, mwanafamilia, muumini imara wa...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Rais Kikwete aungana na waombolezaji kwenye Msiba wa marehemu Mzee Said Ngamba “Mzee Small” Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amejumuika na waombolezaji mbali mbali kwenye Msiba wa msanii maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Rais wa Chama cha Filamu nchini,Simon Mwakifwamba na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YitgcuW3sUk/VLoUy8ndR0I/AAAAAAAG97w/EUqGzNoEQjI/s72-c/IMG_1950.jpg)
DKT. SHEIN AONGOZA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MUASISI WA CCM MZEE MAKAME MZEE SULEWIMAN,UNGUJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YitgcuW3sUk/VLoUy8ndR0I/AAAAAAAG97w/EUqGzNoEQjI/s1600/IMG_1950.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 May
JB amkabidhi Mzee Majuto tuzo ya ‘Shikamoo Mzee’
MSANII wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameamua kumkabidhi mkongwe wa tasnia hiyo, Mzee Majuto tuzo ya ZIFF aliyoshinda mwaka huu kupitia filamu yake ya ‘Shikamoo Mzee’ kama heshima...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Mongela amvaa JK
WAKATI tuzo ya kuuenzi Muungano iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa Jaji Joseph Warioba ikiibua maswali, Rais mstaafu wa Bunge la Afrika, Gertrude Mongela, amekosoa upendeleo uliofanywa na Rais Jakaya...