Balozi Seif afanya usafi kwenye uzunduzi wa sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akishiriki na Wananchi, Vikundi ya vya usafi wa mazingira pamoja na Vikosi vya Ulinzi kwenye usafi wa mazingira hapo Kwahani Uwanja wa Farasi ikiwa ni kuanza rasmi kwa maadhimisho ya sherehe za kutimia Miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
Balozi Seif akimkabidhi vifaa vya usafi wa mazingira Mwenyekiti wa Kikundi cha Usafi wa Mazingira cha Kilimani { Kilimani City } Nd. Khamis Shaali Chum { mwenye T. Shirt Nyeupe }vilivyotolewa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
Dkt. Shein afanya Uzinduzi wa Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira Kitaifa


9 years ago
Michuzi
sherehe za kutimia miaka 52 ya Mapinduzi Zanzibar zaanza rasmi kwa usafi wa mazingira
9 years ago
Michuzi
Balozi Seif Ali Iddi atoa Taarifa rasmi ya Maadhimisho ya Sherehe za Mikaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar
10 years ago
GPL
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALLY IDD AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA CBE
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd ahudhuria sherehe za miaka 50 ya CBE


10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd ahudhuria sherehe za miaka 50 ya CBE leo
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akipata maelezo kutoka kwa Bi. Esther Kibua, mwanafunzi wa mwaka wa 3 wa chuo cha Elimu ya Biashara CBE...
9 years ago
Michuzi
Uzinduzi wa Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira Kitaifa


10 years ago
Vijimambo
BALOZI DORA MSECHU ASHIRIKI KWENYE SHEREHE YA MIAKA 10 YA JUMUIYA YA WATANZANIA JIMBO LA FYN, DENMARK


Sherehe hiyo iliandaliwa na Jumuiya ya Watanzania Jimbo la Fyn kwa kushirikiana na...
9 years ago
Global Publishers03 Jan
Dkt. Shein azindua Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizoa taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa Sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akibeba taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa...