BALOZI SEIF AHUDHURIA MAULIDI YA KUZALIWA MTUME (SAW) KISIWANI PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gZ2Z8kYmIvg/VLwJrmhW2lI/AAAAAAABiTo/o446I2MBAgA/s72-c/0917.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia na kutoa nasaha zake kwa Waumini wa Dini ya Kiislam waliohudhuria maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad yalioandaliwa na Taasisi ya Samael Academy yaliofanyika katika Msikiti wa Gombani Chakechake Kisiwani Pemba.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia na kutoa nasaha zake kwa Waumini wa Dini ya Kiislam waliohudhuria maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad yalioandaliwa na Taasisi ya Samael...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO6w*ENwd4x91SnlN8iX8DtN4nDM06yymumtp-GE6csQU*krHz6kx3xMGFTPAGeXvscoIq7KTx1-glFtyvPzUQi5/2MAULID2.jpg)
MAULIDI YA KUZALIWA BWANA MTUME (S.A.W.) ZANZIBAR
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE SHEREHE YA MAULID YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) HUKO WETE-PEMBA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bJHP41Z-Cfk/U8ucafcYP-I/AAAAAAAF3-g/Ytigh_D0HxY/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAALIM SEIF AENDELEA NA ZIARA YAKE KISIWANI PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bJHP41Z-Cfk/U8ucafcYP-I/AAAAAAAF3-g/Ytigh_D0HxY/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HBDW2BoXQtg/U8ucacksJtI/AAAAAAAF3-s/d95f9kT9t1Q/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_2Vg8XS7lYU/U8ucaf_O-eI/AAAAAAAF3-k/BfqXC3X3cz4/s1600/unnamed+(3).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZLWkp7iqi0w/VewRCwA1npI/AAAAAAABG7M/yd4CjTn99kw/s72-c/Aaa.jpg)
MAALIM SEIF SHARIF HAMAD AZINDUA KAMATI ZA USHINDI ZA WANAWAKE KISIWANI PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZLWkp7iqi0w/VewRCwA1npI/AAAAAAABG7M/yd4CjTn99kw/s640/Aaa.jpg)
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wajumbe wa Kamati za Ushindi za Wanawake wa CUF kutoka Wilaya nne za Pemba huko skuli ya Fidel Castro.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ze4jKryF0-s/VewRDBXr3qI/AAAAAAABG7U/74GAvt47nIU/s640/Aa1.jpg)
Wajumbe wa Kamatui za Ushindi za Wanawake kisiwani Pemba wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama hicho, Mhe. Maalim Seif Sharif Hanmad mara baada ya kuzindua kamati hizo huko skuli ya Fidel Castro mkoa wa Kuisni Pemba.
Na. OMKR Zanzibar
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad leo amezindua Kamati za Ushindi za...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S-1ntrMy5n4/Vnx4voULXdI/AAAAAAAIOc0/5dhM45BpP-I/s72-c/DSC_6655%2B-%2BCopy.jpg)
SHEREHE YA MAULIDI MAKUU YA MTUME MUHAMMAD(S.A.W) ILIVYOFANA VISIWANI ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-S-1ntrMy5n4/Vnx4voULXdI/AAAAAAAIOc0/5dhM45BpP-I/s640/DSC_6655%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_IJku-WYv0w/Vnx4wpRgYJI/AAAAAAAIOdM/7Da0AurVAAE/s640/DSC_6665.jpg)
11 years ago
Michuzi14 Feb
TAMCO INAWAKARIBISHA KWENYE MAULIDI YA MTUME MUHAMMAD DMV- JUMAPILI HII
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/RjGfwgk-C7xGF9OD4HPUiJAK4X9rbRLF1ztk6OEKp_51x10lXJM-Vd9xO1e6buoOUvJ5icd2IjbmGsDR8o7jfPKYqR8=s0-d-e1-ft#http://www.tamcousa.org/images/logo%20copy.jpg)
Jumuiya ya Waislamu wa DMV (TAMCO) inapenda kuwakaribisha wote kwenye sherehe za MAULID . Sherehe za Maulid zitafanyika siku ya Jumapili Hii tarehe 16 Februari 2014. Claridge Local Park 11901 Claridge Rd, Wheaton-Glenmont, MD 20902. 3:00 PM - 8:00PM WOTE MNAKARIBISHWA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ctji6OGamAY/VMP0r03ZDyI/AAAAAAACyaw/_tn7PfJOKX0/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU KUMI KISIWANI UNGUJA,KESHO KUWASILI KISIWANI PEMBA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ctji6OGamAY/VMP0r03ZDyI/AAAAAAACyaw/_tn7PfJOKX0/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GjL_wqY7lAA/VMP0l6gdbhI/AAAAAAACyao/FIXQQLLlgt0/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-75ydcxwb_AI/VMP00NUjv_I/AAAAAAACya4/wVVMpGASCI4/s1600/7.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dpELVkUYMVU/U4BRfIyW6NI/AAAAAAAFktM/uIQM9xk7bcY/s72-c/unnamed+(10).jpg)
MUALIKO WA MAULIDI YA KUKUMBUKA MAZAZI YA MTUME MUHAMMAD REHMA ZA MWENYEZI MUNGU ZIMSHUKIE JUU YAKE NA AMANI
Ungozi wa Madrasatul Amini ya Marhum Sheikh Nassor Amran Iliopo kwa Ali Maua A Chini ya Uongozi na Usimamizi wa Mudiru Alhaj Sheikh Mohammad Nassor Unapenda Kukualika na Kuwakaribisha Wadau wote na Wapenzi Wa Mtume Muhammmad Rehma za Mwenyezi Mungu zimshukie Juu yake Shughuli hii Itafanyika hapa MADRASANI KWETU KWA RATIBA IFUATAYO SIKU YA IJUMAA TAREHE 30 / 5 / 2014 Kuanzia Saa 4 Asubuhi Maonyesho ya Wanafunzi na Baada ya Swala ya ISHAAI MAULIDI YA JUMUIA ,...
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Balozi Seif Iddi ahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya Zambia
Mtoto wa Kizambia Anna Samwel Munata akimkabidhi ua Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ikiwa ishara ya makaribisho kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa eneth Kaunda alipohudhuria kuapishwa kwa Rais Mpya wa Nchi hiyo Bwana Edgar Chagwa Lungu.Kulia ni Waziri wa Kazi na huduma za Kijamii wa Serikali ya Jamuhuri ya Zambia Bwana Fackson Shamenda.
Balozi Seif akisalimiana na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania waliopo Lusaka Zanzbia kwenye uwanja wa ndege wa Keneth Kaunda...