MAULIDI YA KUZALIWA BWANA MTUME (S.A.W.) ZANZIBAR
![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO6w*ENwd4x91SnlN8iX8DtN4nDM06yymumtp-GE6csQU*krHz6kx3xMGFTPAGeXvscoIq7KTx1-glFtyvPzUQi5/2MAULID2.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Sheikh Sherali Champsi Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Maulidi ya kuzaliwa Bwana Mtume (S.A.W.) katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja palipofanyika Maulid hayo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa na Viongozi wengine (kutoka kushoto) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-gZ2Z8kYmIvg/VLwJrmhW2lI/AAAAAAABiTo/o446I2MBAgA/s72-c/0917.jpg)
BALOZI SEIF AHUDHURIA MAULIDI YA KUZALIWA MTUME (SAW) KISIWANI PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gZ2Z8kYmIvg/VLwJrmhW2lI/AAAAAAABiTo/o446I2MBAgA/s640/0917.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HyHmaeIDesc/VLwJtfPKO9I/AAAAAAABiTw/wOOJcLChZSM/s640/0915.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S-1ntrMy5n4/Vnx4voULXdI/AAAAAAAIOc0/5dhM45BpP-I/s72-c/DSC_6655%2B-%2BCopy.jpg)
SHEREHE YA MAULIDI MAKUU YA MTUME MUHAMMAD(S.A.W) ILIVYOFANA VISIWANI ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-S-1ntrMy5n4/Vnx4voULXdI/AAAAAAAIOc0/5dhM45BpP-I/s640/DSC_6655%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_IJku-WYv0w/Vnx4wpRgYJI/AAAAAAAIOdM/7Da0AurVAAE/s640/DSC_6665.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-r38GzDN2x1M/VKk2WsU73yI/AAAAAAAG7MM/jTrNZJaZMkU/s72-c/IMG_9273.jpg)
SHEREHE ZA MAULID YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD S.A.W. ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-r38GzDN2x1M/VKk2WsU73yI/AAAAAAAG7MM/jTrNZJaZMkU/s1600/IMG_9273.jpg)
11 years ago
Michuzi14 Feb
TAMCO INAWAKARIBISHA KWENYE MAULIDI YA MTUME MUHAMMAD DMV- JUMAPILI HII
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/RjGfwgk-C7xGF9OD4HPUiJAK4X9rbRLF1ztk6OEKp_51x10lXJM-Vd9xO1e6buoOUvJ5icd2IjbmGsDR8o7jfPKYqR8=s0-d-e1-ft#http://www.tamcousa.org/images/logo%20copy.jpg)
Jumuiya ya Waislamu wa DMV (TAMCO) inapenda kuwakaribisha wote kwenye sherehe za MAULID . Sherehe za Maulid zitafanyika siku ya Jumapili Hii tarehe 16 Februari 2014. Claridge Local Park 11901 Claridge Rd, Wheaton-Glenmont, MD 20902. 3:00 PM - 8:00PM WOTE MNAKARIBISHWA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dpELVkUYMVU/U4BRfIyW6NI/AAAAAAAFktM/uIQM9xk7bcY/s72-c/unnamed+(10).jpg)
MUALIKO WA MAULIDI YA KUKUMBUKA MAZAZI YA MTUME MUHAMMAD REHMA ZA MWENYEZI MUNGU ZIMSHUKIE JUU YAKE NA AMANI
Ungozi wa Madrasatul Amini ya Marhum Sheikh Nassor Amran Iliopo kwa Ali Maua A Chini ya Uongozi na Usimamizi wa Mudiru Alhaj Sheikh Mohammad Nassor Unapenda Kukualika na Kuwakaribisha Wadau wote na Wapenzi Wa Mtume Muhammmad Rehma za Mwenyezi Mungu zimshukie Juu yake Shughuli hii Itafanyika hapa MADRASANI KWETU KWA RATIBA IFUATAYO SIKU YA IJUMAA TAREHE 30 / 5 / 2014 Kuanzia Saa 4 Asubuhi Maonyesho ya Wanafunzi na Baada ya Swala ya ISHAAI MAULIDI YA JUMUIA ,...
10 years ago
VijimamboPITA PITA YA VIJIMAMBO MITAA YA KARIAKOO, MAANDALIZI YA MAULIDI YA MTUME (SAW)
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE SHEREHE YA MAULID YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) HUKO WETE-PEMBA
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.
Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.