Balozi Seif akabidhi michango yake wa Wabunge wa Singida
![](http://3.bp.blogspot.com/-G8V17mBFcMM/VBNe3uSV2oI/AAAAAAAGjWY/vUUDDsGu5vs/s72-c/2561.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewapongeza Wabunge na Viongozi wa Mkoa wa Singida kwa kazi kubwa wanazoendelea kuzifanya za kusimamia miradi ya Kiuchumi na ustawi wa Jamii ya wananchi wa Mkoa huo.
Amesema usimamizi huo umeufanya Mkoa huo kuongezeka harakati za maendeleo jambo ambalo wananchi walio wengi wameonyesha muelekeo mkubwa wa kujitegemea kimaisha.
Balozi Seif alisema hayo wakati wa hafla fupi ya kukabidhi michango na kupunguza ahadi alizozitoa wakati wa ziara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6Bro0FzpZTo/VNRvbVs_lYI/AAAAAAAHCK4/eEIkI2JXE-w/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
BALOZI SEIF IDD ATIMIZA AHADI YAKE KWA CCM MKOA WA SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6Bro0FzpZTo/VNRvbVs_lYI/AAAAAAAHCK4/eEIkI2JXE-w/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eu94W6pfQVI/VNRvbvmpvjI/AAAAAAAHCK8/1smLFKIgqEY/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--vw_6Z8eLQM/VPScT-y3aCI/AAAAAAABm00/7lry7Ut99Nc/s72-c/635.jpg)
Balozi Seif akabidhi vifaa vya ujenzi jimboni
![](http://4.bp.blogspot.com/--vw_6Z8eLQM/VPScT-y3aCI/AAAAAAABm00/7lry7Ut99Nc/s640/635.jpg)
Kulia ya Balozi Seif ni Mwenyekiti wa CCM wa Tawi la CCM la Kwa Gube Ndugu Salum Ali Mzee.
![](http://1.bp.blogspot.com/-x64rXtDT9A4/VPScUmtlSaI/AAAAAAABm04/DH60lq_NG-g/s640/650.jpg)
Kushoto yake ni Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi, Mwenyekiti wa Tawi la CCM Kwa Gube Nd. Sal;im Ali Mzee na kulia ya Balozi Seif ni...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bqeELOv9dyk/U5xOaOuTUKI/AAAAAAAFqo8/mxzZ2qXZSdI/s72-c/unnamed.jpg)
Balozi Seif akabidhi kadi kwa wanachama wapya 15 wa CCM Mkoa wa Magharibi,Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-bqeELOv9dyk/U5xOaOuTUKI/AAAAAAAFqo8/mxzZ2qXZSdI/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YCnQBA2VxJM/U5xOYp9FVgI/AAAAAAAFqo4/TLP3SsP0o9M/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
Balozi Seif Idd apania kukuza michezo jimboni, akabidhi vifaa kwa timu 60 za soka
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Seti za Jezi na Mipira Mmoja wa Viongozi wa timu 60 zilizomo ndani ya Jimbo la Kitope hapo Kijiji cha Kipandoni Upenja Wilaya ya Kaskazini “B”. Kati kati yao ni Mke wa Balozi Seif Mama Asha Suleiman Iddi.
Kocha na Kepteni wa Timu ya Soka ya Kipandoni Star Jeilan Omar Jeilan akipokea mchango wa shilingi 500,000/- kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi kwa ajili ya kununulia Posi na Nyafu kwa ajili ya Kwinja chao...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ymc_gsNo6EQ/VLfBVYiXWFI/AAAAAAAG9ic/eH1SBqf9_7I/s72-c/622.jpg)
Balozi Seif Iddi akabidhi mabomba 250 ya kusambazia huduma za maji safi Wilaya ya Kaskazini “ B “
Alisema Viongozi na hata Serikali Kuu huhamasika na kushawishika zaidi kusaidia hata uwezeshaji na hata vifaa kwenye miradi ya Jamii baada ya kuona nguvu za Wananchi zimeanza au kuiendelezwa katika kujikomboa na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gwv7DOpnk0k/VhVS4zrZPeI/AAAAAAAAamA/VtK-RZCqceY/s72-c/Flaviana%2BNyerere%2Bbegi1.jpg)
BALOZI WA PSPF MWANAMITINDO WA KIMATAIFA FLAVIANA MATATA AKABIDHI MABEGI NA MADAFTARI KWA SHULE ZA MSINGI DODOMA NA SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-gwv7DOpnk0k/VhVS4zrZPeI/AAAAAAAAamA/VtK-RZCqceY/s640/Flaviana%2BNyerere%2Bbegi1.jpg)
NA K-VIS MEDIA, DODOMA NA SINGIDABALOZI wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, ametoa wito kwa wanafunzi wa shule za msingi Chididimo iliyoko Manispaa ya mji wa Dodoma na ile ya...
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Balozi wa PSPF Mwanamitindo wa Kimataifa Flaviana Matata akabidhi mabegi na madaftari kwa shule za Msingi Dodoma na Singida
![](http://2.bp.blogspot.com/-gwv7DOpnk0k/VhVS4zrZPeI/AAAAAAAAamA/VtK-RZCqceY/s640/Flaviana%2BNyerere%2Bbegi1.jpg)
Balozi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, akikabidhi begi kwa mwanafunzi wa Shule ya Msingi, Nyerere iliyoko Manispaa ya Singida, Oktoba 7, 2015. PSPF kupitia Sera yake ya kusaidia jamii imetoa msaada wa mabegi na madaftari kwa shule hiyo na ile ya Chididimo iliyoko nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma
NA K-VIS MEDIA, DODOMA NA SINGIDA BALOZI wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, ametoa wito kwa wanafunzi wa shule za msingi Chididimo iliyoko Manispaa ya mji wa Dodoma...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-E1b2eR-VtG4/VYwrNxmWWvI/AAAAAAABy_Y/rDImF608UGI/s72-c/647.jpg)
BALOZI SEIF AKABIDHI SHILINGI MILIONI NNE KWA AJILI YA UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO WA TIMU YA FUJONI BOYS
![](http://4.bp.blogspot.com/-E1b2eR-VtG4/VYwrNxmWWvI/AAAAAAABy_Y/rDImF608UGI/s640/647.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kRorrV_54Ps/VYwrOAuPhNI/AAAAAAABy_c/YseC-D_zN3w/s640/648.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hIO5YmEwr6o/VYwrOOHGbxI/AAAAAAABy_k/2f-nCHBZUnY/s640/658.jpg)
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi...
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mama Balozi Seif Idd na Khadija Kopa kupamba Miss Singida 2014
Muandaaji wa shindano la Miss Singida 2014 Anti Bora Lemmy, akizungumza na wadhamnini mbalimbali mkoani singida wakati akiwatambulisha Mamiss kwa waandishi wa habari.
Na Hillary Shoo, Singida.
MKE wa Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, mama Assi Balozi seif Idd anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika shindano la kumsaka Miss Redds Singida 2014.
Akizungumza na waandisi wa habari muandaaji wa shindano hilo mkoani Singida, Bora Lemmy alisema mbali na mama Assi , pia...