Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Seif Ali Idd akutana na Mkurugenzi wa Kampuni inayojihusisha na mafunzo ya ufundi ya European Erun ya Nchini Uingereza

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Kampuni inayojihusisha na mafunzo ya ufundi ya European Erun ya Nchini Uingereza Bwana Ramesh Kumar mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika ndani ya Ukumbi wa Msekwa Mjini Dodoma. Kati kati yao ni Waziri wa Ardhi, Makazi, Maji na Nishati Zanzibar Mh. Ramadhan Abdulla Shaaban. Afisa Miradi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar { ZSSF } Nd.Khalifa Muumin akimpatia ufafanuzi Makamu wa Pili wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Idd akutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Tigo

Kampuni ya Mitandao ya simu za Mkononi ya Tigo imejitolea kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwenye sekta ya uwekezaji katika masuala ya mitandao ya mawasiliano sambamba na kusaidia huduma za Kijamii kwa wananchi wa Visiwa vya Unguja na Pemba.
Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo yenye Makao Makuu yake Mjini Stokholmes Nchini Sweeden Bwana Arthur Basting alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Idd akutana na Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA }

Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA } imejipanga kuwa kiunganishi kizuri cha wanataaluma wa Korea ya Kusini na wale wa Kitanzania kwa lengo la kudumisha uhusiano uliopo kati ya nchi mbili hizo.
Rais wa KOIKA aliyekuwa kinara wa Ujumbe wa Viongozi Wanne wa Jumuiya hiyo Ndugu Steven Katemba alieleza hayo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Nd. Steven...

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF ALI IDD AKUTANA NA WANA CCM WA NUNGWI

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi Balozi Seif Ali Iddi amewathibitishia Wana CCM, Wananchi na Jamii kwamba ataendelea kufuatilia matatizo na changa moto zinazowakabili wananchi popote pale akiwa kama mtendaji Mkuu wa Serikali.
Alisema Wanasiasa wasifikirie kwamba anapokwenda majimboni hasa katika maeneo yanayoongozwa na Upinzani wakadhani ya kuwa anakwenda kuvuruga siasa za vyama vyengine vya upinzani.
Balozi Seif alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake

Kampuni ya Ms Shimoja  yenye Makao Makuu yake katika Jimbo la Michigan  Nchini Marekani iko mbioni kutaka kuanzisha kituo cha Matangazo ya Televisheni Mjini Dar es salaam Nchini Tanzania kitakachotoa huduma ndani ya Ukanda wa Afrika Mashariki.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi akutana na makada wa CCM nchini China

Makamu wa pili wa rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mh. Balozi Seif Ali Iddi (wa tano kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya makada wa CCM-China wakati alipokutana nao.Makamu wa pili wa rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mh. Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Katibu Mkuu wa Tawi la CCM-China Bw. Olivo Mtunge wakati alipokutana nao kwa mazungumzo ikiwa ni pamoja na kufungua tawi jipya la Chama hicho,nchini...

 

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA PILI WA RAIS BALOZI SEIF ALI IDD AONYA WATOA RUSHWA

Na Mwandishi wetu Shinyanga
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd amewaonya baadhi ya wanachama wa chama cha Mapinduzi wanaotaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kupitia chama hicho kujiepusha na matumizi ya fedha katika kutafuta nafasi za uongozi kwani kufanya hivyo ni kukiuka katiba ya Chama hicho.
Aidha Barozi Seif Ali Idd ameonya kuwa kuna baadhi ya watu wenye nia ya kugombea uongozi lakini badala ya kwenda wenyewe wanatuma watu wengine kutoa rushwa kwa niaba...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF IDD APOKEA MSAADA WA KOMPYUTA KUTOKA KAMPUNI YA ZTE

Ofisa wa Tawi la Kampuni ya Kimataifa ya Mtandao wa Mawasiliano ya Kisasa ya ZTE hapa Zanzibar yenye Makao Makuu yake Nchini  Jamhuri ya Watu wa China Bibi Coco Wang akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kabla ya kumkabidhi msaada wa Kompyuta 10 kwa ajili ya wanafunzi wa Skuli zilizomo ndani ya Jimbo lake.
.................................................
Kampuni ya Kimataifa ya Mtandao wa Mawasiliano ya Kisasa ya ZTE yenye Makao Makuu yake Nchini  Jamhuri...

 

11 years ago

Dewji Blog

Magari zaidi ya tani mbili yazuiwe Mji Mkongwe — Balozi Ali Seif Idd

226

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akijumuika pamoja na baadhi ya wananchi kuangalia athari iliyojichomoza kwenye nyumba ya Bwana Salim Ahmed Salim baada ya ukuta na dari yake kuanguka  saa sita usiku juzi mkabala na Skuli ya Sekondari ya Tumekuja Mtaa wa Vuga Mjini Zanzibar.

227

Sehemu ya mbele ya Nyumba ya Bwana Salim Ahmed Salim iliyoporomoka  Mtaa wa Vuga mkabala na Skuli ya Sekondari ya Tumekuja.Hata hivyo hakuna mtu aliyejeruhiwa kutokana na athari hiyo.

228

 Athari ya...

 

11 years ago

Michuzi

Uongozi na wachezaji wa Timu ya Soka ya African Coast wamuomba radhi Balozi Seif Ali Idd

Uongozi na wachezaji wa Timu ya Soka ya African Coast ya Kijiji cha Upenja umemuomba radhi Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi kufuatia uamuzi wa Timu hiyo kuruhusu kufanyika kwa Mkutano wa Hadhara wa Chama cha Upinzani uliozaa kashfa na matusi dhidi ya mbunge huyo.
Wachezaji hao waliomba radhi hiyo Mbele ya Mbunge huyo hapo katika Ukumbi wa Tawi la CCM la Kijiji cha Upenja kilichomo ndani ya Jimbo la Kitope Wilaya ya Kaskazini “B “ mkutano uliohudhuriwa pia na Wazee na baadhi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani