Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BALOZI SEIF ALLI IDD: NIAIBU KUONA KIJIJI CHA MITAMBUUNI KUKOSE HUDUMA YA SKULI

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Wananchi na wana CCM wa Kijiji cha Mitambuuni alipofika kuwasailia akiwa katika ziara ya Kisiwa cha Pemba. Balozi Seif akisalimiana na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wa Kijiji cha Mitambuuni Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, kulia yake ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba Mzee Mberwa Hamad Mberwa na kushoto yake ni Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM ya Mkoa huo Omar Khamis Othman.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAKAMU WA RAIS WA PILI WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALLI IDDI AHITIMISHA MKUTANO WA 12 WA CHAMA CHA MAJAJI WANAWAKE DUNIANI JIJINI ARUSHA

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Mahakama ya Kimataifa Jaji Sanji Mmasenono Monageng Raia wa Jamuhuri ya Botswana akifurahia Tuzo Maalum aliyokabidhiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani Jaji Eusebia Munuo kushoto yake kwenye Tafrija ya Wajumbe wa Mkutano huo iliyofanyika Mkoani Arusha.Pembeni yao kulia ni Mkurugenzi  Mkuu wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani    
Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Mohamed...

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AZINDUA MASKANI YA VIJANA WALOHAMIA CCM KUTOKA CUF HUKO MITAMBUUNI, MTAMBWE

MJUMBE wa kamati kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akisalimiana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa kaskazini Pemba, mara baada ya kuwasili katika kijiji cha Mitambuuni Mtambwe Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.) MJUMBE wa kamati kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Sief Ali Iddi, akisikiliza maelezo ya mwenyekiti wa Maskani ya Vumilia Mitambuuni Mtambwe waliohama CUF na kujiunga na CCM.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MJUMBE wa kamati kuu ya CCM...

 

10 years ago

Michuzi

balozi seif azinduwa msikiti wa Kijiji cha Tasani Makunduchi

Wanazuoni, Masheikh na wazee wote nchini wana wajibu mkubwa wa kuisaidia Serikali Kuu katika jitihada zake za kukuza elimu, kujenga jamii iliyo bora, kulinda amani pamoja na kukataza maovu vikiwemo vitendo vya unyanyasaji na udhalilishaji wa kijinsia. Kauli hiyo imetolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Al – hajj Dr. Ali Mohamed Shein wakati akiufunguwa msikiti wa Kijiji cha Tasani Makunduchi unaokadiriwa kusaliwa na waumini wapatao 200 kwa wakati mmoja wa sala. Dr....

 

11 years ago

Michuzi

Balozi seif ali Iddi atembelea Kijiji cha Kilombero

Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar { ZECO } Nd. Hassan Ali Hassan alisema shirika lake linakusudia kutumia rasilmali ilizonazo katika kuhakikisha huduma za umeme zinapatikana kwenye kisima cha maji cha Kijiji cha Kilombero ili kuwaondoshea usumbufu wa huduma za maji safi  kwa Wananchi wa Kijiji hicho. Alisema kazi hiyo itakayoanza wakati wowote kuanzia sasa inatarajiwa kukamilika sambamba na ulazwaji wa mabomba ya maji utakaofanya na wahandisi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar { ZAWA }...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif azungumza na Wananchi wa Kijiji cha Kiomba Mvua, Zanzibar

Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba ahadi alizotoa kwa Wananchi wa Jimbo hilo wakati akiwatumikia ndani ya Kipindi cha Miaka 10 iliyopita atahakikisha kwamba anazikamilisha kabla ya kuanza kwa  kipindi chengine cha Uongozi  baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba mwaka huu.
Alisema yeye bado anaendelea kuwa Kiongozi wa Jimbo hilo kwa vile jukumu la kuwatumikia Wananchi wa Maeneo hayo  uko mikononi mwake na wala hafanyi kampeni kwa mujibu wa kanuni kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi seif atembelea Kijiji cha Mvuleni Kidoti Wilaya ya Kaskazini “A “ Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuwahudumia Wananchi wake katika kuwapatia huduma muhimu na za msingi za Kijamii ikielewa fika kwamba inatekeleza Sera na ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa kauli hiyo hapo katika Kijiji cha Mvuleni Kidoti Wilaya ya Kaskazini “A “ wakati akikabidhi vifaa mbali mbali vya ujenzi kwa ajili ya kuufanyia matengenezo makubwa Msikiti Mkuu wa Ijumaa wa Kijiji hicho. Balozi Seif alikabidhi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif Idd ashiriki harambee chuo cha CBE, afanikisha kukusanya shilingi milioni 540.8

Picha no 1

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ally Idd akikabidhi mchango wake wa shilingi milioni 3 kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Prof. Mathew Luhanga (katikati)  kusaidia uboreshaji wa miundombinu ya chuo hicho jana usiku wakati wa harambee  maalum ya ukusanyaji wa fedha iliyofanyika  Hoteli ya Serena jijini Dar es salam.Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho Prof. Emanuel Mjema.

Picha no 2

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ally Idd akisoma majumuisho...

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AFANYA MKUTANO NA WANA CCM WA KIJIJI CHA KWALE WILAYA YA MICHEWENI

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali
Iddi akisalimiana na Wananchi wa Kijiji cha Kwale Wilaya ya Micheweni wakati alipowasili kuzungumza nao.Balozi Seif akizungumza na Wananchi na Wana
CCM wa Kijiji cha Kwale Wilaya ya Micheweni akitekeleza ahadi aliyotoa kwa Wazee Waasisi wa Kijiji hicho ya kufika kusalimiana nao.

Baadhi ya Wananchi na wana CCM wa Kijiji cha Kwale wakifuatilia Hotuba ya Balozi Seif hayupo pichani alipofika Kjijini hapo kusalimiana nao.Balozi Seif akiwa Mjumbe...

 

9 years ago

Michuzi

Balozi Seif Apiga kura Skuli ya Sekondari ya Kitope

 Mgombea nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa Tiketi ya CCM Jimbo la Mahonda ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa katika foleni ya kusubiri kupiga kura kwenye Kituo chake kiliopo Skuli ya sekondari ya Kitope. Balozi Seif akipiga kura ya Kumchagua Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Bunge ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Kituo chake hapo Skuli ya Sekondari ya Kitope Karani wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar akimuweka alama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani