Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BALOZI SEIF AWATAKA CCM KUTOKUKISALITI CHAMA

 Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kichama Balozi Seif Ali Iddi akikabidhi Vitambulisho Maalum kwa Ajili ya Mabalozi wa Mashina yaliyomo ndani ya Wilaya ya Kahama wakati wa Mkutano wa Ndani wa Viongozi wa Kamati za Siasa.Baadhi ya Viongozi wa Kamati ya Siasa wa Majimbo yaliyomo ndani ya Wilaya ya Kahama wakifuatilia Hotuba ya Mlezi wao Balozi Seif Ali Iddi kwenye Mkutano wa Ndani wa Chama hicho.Picha na – OMPR – ZNZ.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

CHAMA CHA CCM KINAKABILIWA NA KAZI KUBWA YA KUHAKIKISHA KINASHIDA UCHAGUZI WA MWAKA HUU-BALOZI SEIF ALI IDDI.

Mke wa Mbunge wa Kitope Mama Asha Suleiman Iddi akiwanasihi wazazi kuendelea kuwaonyesha njia watoto wao wakati akizungumza kwenye mkutano wa ccm wa Matawi ya Kumbaurembo na Cairo katika Kijiji cha Kiwengwa ndani ya Jimbo la Kitope.Kulia ya Mama Asha ni Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akimjuilia Hali Muwasisi wa ASP na Muanzilishi wa CCM Bibi Fatma Suleriman Sio Katika Kijiji cha Kiwengwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif Iddi awataka viongozi wa dini kuhubiri amani

581

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiingia ndani ya Ukumbi wa Masai Laugwa Wilaya ya Bagamoyo kuzindua Tamasha la Kuliombea Taifa Amani lililoandaliwa na Kanisa la Restoration { Restoration Bible Church }.Kulia kwa Balozi Seif ni Makamu Askofu Mkuu wa Restoration Bible Church Tanzania Askofu Sedrick Ndonde na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya  Bagamoyo Nd. Ahmed Kipozi.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Viongozi wa Kidini wanapaswa kuwa...

 

5 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF AWATAKA WATUMISHI KUZINGATIA UTII WAKATI WA KAZI

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewaasa Watumishi wachanga na wale wanaoendelea na Majukumu  yao kwa sasa katika Taasisi za Umma na zile Binafsi kuzingatia kwa kina suala la Utii kwenye utekelezaji wa Kazi za kuhudumia Jamii mahali popote pale.
Alisema Utii ndio dhana nzito, sahihi na inayobeba ngao kubwa kwa Mtumishi ye yote na matokeo yake hujikuta akipata fursa nyingi zinazomuwezesha kuheshimika sambamba na kupanda daraja katika maeneo yake ya Kazi.
Balozi Seif Ali...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AWATAKA WAZAZI KUWAPOKEA WATOTO WAO WALIOACHANA NA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA

Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akisalimiana na mmoja kati ya Vijana sita walioamua kuachana na matumizi ya Dawa za Kulevya katika Kijiji cha Fujano hapo katika Viunga vya vya Skuli ya Fujoni. Kati kati yao ni Mwakilishi wa Umoja wa kusaidia mapambano dhidi ya matumizi ya Dawa za kulevya na Pombe Tanzania Bwana Abdulrahman Mohammed Abdulla. Mwakilishi wa Umoja wa kusaidia mapambano dhidi ya matumizi ya Dawa za kulevya na Pombe Tanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF IDD AWATAKA WANANCHI KUWAUNGA MKONO VIONGOZI WENYE KULETA MAENDELEO

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi msaada wa Vipaza sauti Amiri  wa Jumuiya ya Sherehe za Siku Kuu ya Iddi Matemwe Ustaadhi Kundi Choum Haji kutekeleza ahadi aliyoip[a Jumuiya hiyo wakati wa sherehe za siku kuu ya Iddi el Hajj iliyopita. (Picha na OPMR)Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman  Iddi akimkabidhi  mchango wa Shilingi 400,000/-  kwa kila kikundi miongoni mwa  vikundi 14 vya Ushirika wa Akina Mama vilivyomo ndani ya  Wilaya ya...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KWA AMANI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU BAADAYE MWAKA HUU

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanbzibar Balozi Seif akijibu maswali aliyoulizwa na Wanahabari wa Shirika la Magazeti ya Serikali la Zanzibar leo Hafsa Golo aliyepo Kati kati na Tatu Makame wa kwanza kushoto. Ripota wa Shirika la Utangazaji Tanzania {TBC } Marine Hassan akiporomosha maswali kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati wa mahojiano yao kuhusu maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Picha na – OMPR – ZNZ.
                                 ...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMA KUHAKIKISHA CHAMA KINABAKI IMARA


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wana CCM wa Tawi la Kijito Upele jimbo la Fuoni.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wana CCM wa tawi la Tungujani.
 
 Wana CCM wa Jimbo la Kiembesamaki wakionyesha ujumbe wa kuunga mkono Katiba iliyopendekezwa.

 Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM (Zanzibar) Shaka Hamdu Shaka akihutubia wakazi wa Jimbo la Dimani kwenye uwanja wa Magereza Tomondo.

 Balozi Ali Karume akihutubia wakazi wa jimbo la Dimani ambapo aliwaambia Katiba...

 

11 years ago

Michuzi

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ahitimisha Mkutano wa 12 wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani jijini Arusha

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Mahakama ya Kimataifa Jaji Sanji Mmasenono Monageng Raia wa Jamuhuri ya Botswana akifurahia Tuzo Maalum aliyokabidhiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani Jaji Eusebia Munuo kushoto yake kwenye Tafrija ya Wajumbe wa Mkutano huo iliyofanyika Mkoani Arusha.Pembeni yao kulia ni Mkurugenzi  Mkuu wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani      { IAWJ } anayefanya kazi zake  Makuu ya Chama hicho Mjini Washington Marekani Jaji J. Winship.  Jaji Mkuu wa...

 

11 years ago

GPL

MAKAMU WA RAIS WA PILI WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALLI IDDI AHITIMISHA MKUTANO WA 12 WA CHAMA CHA MAJAJI WANAWAKE DUNIANI JIJINI ARUSHA

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Mahakama ya Kimataifa Jaji Sanji Mmasenono Monageng Raia wa Jamuhuri ya Botswana akifurahia Tuzo Maalum aliyokabidhiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani Jaji Eusebia Munuo kushoto yake kwenye Tafrija ya Wajumbe wa Mkutano huo iliyofanyika Mkoani Arusha.Pembeni yao kulia ni Mkurugenzi  Mkuu wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani    
Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Mohamed...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani