BALOZI WA NIGERIA NCHINI ATEMBELEA MAHAKAMA YA AFRIKA KUAGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OolOcdw96u0/VXssYdZQijI/AAAAAAAHfE8/rmuH9Rs-5WI/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
Jaji wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCPHR)Gerald Niyungeko(kushoto)akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Nigeria nchini Tanzania,Dk. Ishaya Majanbu aliyefika katika Mahakama hiyo jijini Arusha kuaga baada ya kumaliza muda wake wa Ubalozi nchini.
aji wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCPHR)Gerald Niyungeko(katikati)akimkabidhi zawadi mgeni wake Balozi wa Nigeria nchini Tanzania,Dk. Ishaya Majanbu aliyefika katika Mahakama hiyo jijini Arusha kuaga uongozi wa Mahakama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBALOZI WA RWANDA NCHINI MAREKANI MHE. MATHILDA MUKANTABANA ATEMBELEA AFISI ZA UMOJA WA AFRIKA WASHINGTON, DC.
Mhe Balozi wa Rwanda Profesa Mathilda Mukantabana akiwa katika pich ya pamoja na Balozi wa AU Mhe. Amina Salum Ali alipotembelea ofisi za Umoja wa Afrika uliopo Washington, DC nchini Marekani .Balozi Profesa Mathilda anachukua uongozi wa mikutano wa mabalozi wa Afrika katika kipindi cha mwezi April hadi July 2015 akiwakilisha kanda ya Afrika Mashariki.
11 years ago
Dewji Blog13 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki kuaga mwili wa marehemu Flossie Chidyaonga Balozi wa Malawi nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Balozi Frossie Chiyaonga, wakati wa shughuli za kuaga mwili wa marehemu zilizofanyika kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo Mei 12, 2014. Mwili huo unatarajia kusafirishwa kuelekea Malawi kwa maziko. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-whfL0W27Lic/U3DHOOlgEOI/AAAAAAAFhHE/sUmyKr5b76g/s72-c/unnamed+(25).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU FROSSIE CHIYAONGA BALOZI WA MALAWI NCHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-whfL0W27Lic/U3DHOOlgEOI/AAAAAAAFhHE/sUmyKr5b76g/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PBHMRLQpLqg/U3DHOA5OtWI/AAAAAAAFhGM/xAYc2Qz-tyQ/s1600/unnamed+(26).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GDS1-z-oCVk/U7aeMH_tMHI/AAAAAAAFu6M/vwC8vvr_39o/s72-c/image001.jpg)
BALOZI WA COMORO NCHINI ATEMBELEA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
Dkt. Mohammed amesema kuna Wacomoro wengi ambao wanapata huduma za tiba Hospitalini hapa hivyo ameona kuna haja na umuhimu wa pekee kuwa na uhusiano wa kiutendaji rasmi ili Watalaam kutoka Komoro waje kujifunza na kupata uzoefu wa utoaji huduma za...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6biNI8Aghps/VBLmdv3zg9I/AAAAAAAGjPA/htkKIPRxQJA/s72-c/D92A0120.jpg)
Rais Kikwete aagana na Balozi wa Ufaransa,amuaga pia Jaji wa Mahakama ya Afrika
![](http://1.bp.blogspot.com/-6biNI8Aghps/VBLmdv3zg9I/AAAAAAAGjPA/htkKIPRxQJA/s1600/D92A0120.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dWSwZTAUa2o/VBLmgOw_3gI/AAAAAAAGjPM/mW1boaS0aX0/s1600/D92A0133.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2mSmjxCzc5E/VBLmfnIRKHI/AAAAAAAGjPI/y8-DL3PXjVg/s1600/D92A0175.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bMr-5ifq6QY/Uvi6LeCaypI/AAAAAAAFMIA/uBgkIbiiTDQ/s72-c/unnamed+(73).jpg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAYSIA ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO
Pamoja na mambo mengine waliozungumza, viongozi hao waliongelea diplomasia ya uchumi, maendeleo ya uchumi wa Tanzania na Malaysia kwa ujumla.
Dkt. Mlima aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, mwanzoni mwa mwezi Desemba mwaka jana kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kuala...
10 years ago
VijimamboBALOZI MPYA WA MALAWI NCHINI MAREKANI ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Balozi wa Tanzania nchini Ubeligiji, Mh. Kamala atembelea banda PPF Katika maonyesho ya Sabasaba
Meneja Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni, Lulu Mengele (kushoto) akimkaribisha Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji, Mh Dodorius Kamala (kulia) wakati alipotembelea banda la PPF kwenye maonyesho ya Sabasaba yaliyomalizika jana.
Afisa Mafao wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Hellen Mollel akitoa maelezo kwa Balozi wa Tanzania nchini Ubeligiji, Mh Kamala juu ya wanachama wanavyonufaika na mafao wakati wanapostaafu kazini, Wa kwanza Kushoto ni Meneja Uhusiano na Masoko, Lulu Mengele.
Afisa...
11 years ago
GPLMARK CHILDRESS BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI