BALOZI WA SWETZERLAND AMTEMBELEA RAIS WA ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-atrNkceTVxg/ViTOO9aUe4I/AAAAAAAIA6M/s4eOUaS1f1g/s72-c/DSC_3857.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Switzerland katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi.Florence Tinguely Mattli wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Switzerland katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi.Florence Tinguely Mattli wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.[Picha na ikulu.]
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dTMzCX6zXvI/VYqU2e4nUmI/AAAAAAAHjV8/o04HMMxE2Tk/s72-c/621.jpeg)
MAKAMU WA RAIS WA ZANZIBAR AMTEMBELEA MWANZILISHI WA CCM ZANZABAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-dTMzCX6zXvI/VYqU2e4nUmI/AAAAAAAHjV8/o04HMMxE2Tk/s640/621.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AG6KX62P3Pk/VYqU2Qit3tI/AAAAAAAHjWA/QIujuKs4zWU/s640/622.jpeg)
9 years ago
MichuziBALOZI SEIF ALI IDDI AMTEMBELEA RAIS MAGUFULI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU MH PINDA AMTEMBELEA NA KUMJULIA HALI RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR, SALMIN AMOUR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NnUBy-NgMNE/U9f0yk3ppEI/AAAAAAAF7sI/Rvkjb4nXufY/s72-c/unnamed+(30).jpg)
Balozi adadi amtembelea balozi mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga
![](http://4.bp.blogspot.com/-NnUBy-NgMNE/U9f0yk3ppEI/AAAAAAAF7sI/Rvkjb4nXufY/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0NyNayzgPmE/U9f0yr9BfcI/AAAAAAAF7sE/FS6MmdaVyOk/s1600/unnamed+(31).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6lhUS6SgJiI/XmD1_eSTwLI/AAAAAAALhNs/6uznIcNLYZEvDB6w6IGOdNzmQcs1us25gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC7911AAA-768x439.jpg)
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA BALOZI WA NIGERIA IKULU JIJINI ZANZIBAR, LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iTXU2Kqn-b8/VSU9_g0opMI/AAAAAAAHPn4/AyQTJFv4_vg/s72-c/386.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akutana na Balozi Mdogo Mpya wa India Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-iTXU2Kqn-b8/VSU9_g0opMI/AAAAAAAHPn4/AyQTJFv4_vg/s1600/386.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yz3OGcx2EFo/VSU9_juIwXI/AAAAAAAHPoA/Wl13glrTZJo/s1600/405.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_wqZdkqljvY/VSU9_3frNtI/AAAAAAAHPn8/0AsQVhoJb84/s1600/413.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jj1yN567dMM/VSU-AtxAscI/AAAAAAAHPoM/MGgu2JkVK64/s1600/417.jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif asimamisha ujenzi wa nyumba ya ghorofa mjini Unguja, Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-0nuV9SbdKiE/VmlorIz03FI/AAAAAAABqQ0/DFgD6fOieeA/s640/IMG_9802.jpg)
Balozi Seif akipokea malalamiko ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakimshutumu Mmiliki wa Kiwanja cha jengo la Ghorofa Bwana Anuari Abdulla anayejenga pamoja na eneo la wazi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z0emXn-nKP8/VmloqRi39GI/AAAAAAABqQs/DyEiHs_q1pc/s640/IMG_9805.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja cha nyumba ya Ghorofa kinacholalamikiwa na Wakaazi wa Mtaa huo kwamba kimevamia pia eneo la wazi linalotumika kwa shughuli za Kijamii.
![](http://3.bp.blogspot.com/-0oT66RidQow/VmlorIgM87I/AAAAAAABqQw/TcMtR1tGsmc/s640/IMG_9808.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ey1aJLw5_tk/VmlovowkR_I/AAAAAAABqRE/vcjf3f24OLg/s640/IMG_9812.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-arNSaVzHaek/Vmlo1OkrwsI/AAAAAAABqRU/tNe2AoFEegc/s640/IMG_9818.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja...