Banana Zorro, Mzungu Kichaa kunogesha Tamasha la ‘The Beat’ leo
NA MWANDISHI WETU
TAMASHA la ‘The Beat’ lenye lengo la kukutanisha wasanii na wadau mbalimbali wa muziki ndani na nje ya nchi linatarajiwa kufanyika leo katika ukumbi wa Paparazzi Bistro Club – Slipway, jijini Dar es Salaam.
Katika tamasha hilo jipya baadhi ya wasanii watakaolinogesha ni pamoja na mkali wa Bongo Fleva, Mzungu Kichaa, mkali wa nyimbo za asili, Samweli Hokororo, Ifa Band na mwanamuziki Banana Zorro, ambao watatumia bendi kupiga muziki wa moja kwa moja.
Wasanii wote...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Mzungu Kichaa na Rico Single kuwachizisha wazanzibar tamasha la ZIFF 2014 usiku wa leo
Music Coordinator wa ZIFF, Edward Lusala akiwatambulisha wasanii watakaotumbuiza usiku wa leo kwenye tamasha la 17 la ZIFF 2014 ndani ya viunga vya Mambo Club – Ngome Kongwe visiwani Zanzibar wakati wa mkutano na waandishi wa habari. Katikati ni msanii wa muziki nchini almaarufu kama Mzungu Kichaa na Kulia ni Msanii Grace Matata.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Mzungu Kichaa akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Doubletree by...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_00871.jpg)
MZUNGU KICHAA NA RICO SINGLE KUWACHIZISHA WAZANZIBAR TAMASHA LA ZIFF 2014 USIKU WA LEO
10 years ago
GPLMZUNGU KICHAA ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qS0taX2MQO0/default.jpg)
9 years ago
Bongo529 Dec
Music: Banana Zorro – Kaseme Tena
![Ba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ba-300x194.jpg)
Mwamuziki mgongwe na mmliki wa Band ya B Band Banana Zorro ametoa wimbo mpya unaitwa “Kaseme Tena”. Producer Tsuki
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo510 Dec
Banana Zorro: Bongo Flava imefika penyewe
![Banana](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Banana-300x194.jpg)
Msanii mkongwe na mwanzilishi wa The B-Band, Banana Zorro amefurahishwa na hatua za wasanii wa Tanzania kukimbilia nchi za nje ili kufanya video ambazo zitaleta ushindani katika muziki.
Mwimbaji huyo ambaye ameachia wimbo mpya ‘Kaseme Tena’ hivi karibuni, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EATV kuwa, kuna wakati waongozaji wa video wa ndani walikuwa wanatengeneza video zinazofanana hali ambayo ilikuwa haileti ushindani.
“Sasa hivi muziki umeshatanuka, soko limekuwa wazi na nafasi...
10 years ago
Bongo529 Aug
TID na Banana Zorro (The Expendables) kuja na ngoma ya pamoja
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/M5tQeuSwyow/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzWfV6K7b-E--88izGsccqSfegR-mWVCd4pYK4HXr3vs-vkVNurjAddbdsLscI9LjZgaWN*WqcBFbkdb18vmSDrz/1.jpg?width=650)
CHAZ BABA, CHRISTIAN BELLA, BANANA ZORRO, FAGASON WALAMBA TUZO UPYA