Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TID na Banana Zorro (The Expendables) kuja na ngoma ya pamoja

Mwana FA na AY wakiwa pamoja wanajiita ‘Gladiators’ na sasa Banana Zorro na TID Mnyama kwa pamoja wameamua kujiita ‘The Expendables’. Wasanii hao wakongwe wamesema wanatarajia kuachia ngoma yao ya pamoja hivi karibuni. “With my broda last nyt @tidmnyama THE EXPENDABLES vigogo… duet coming.anytime STUNTS AGENTS,” ameandika Banana kwenye picha aliyoweka Instagram akiwa na TID.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Tid na Q Chillah wamaliza tofauti zao, waahidi kuja na album ya pamoja

Habari njema kwa mashabiki wa muziki Tanzania ni kuwa hatimaye wanamuziki nguli wa Bongo fleva, Aboubakar Shaaban Katwila a.k.a Q-Chillah na Khalid Mohamed a.k.a Tid Mnyama wamemaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda mrefu. Tid na Q Chief walipokuwa kwenye kipindi cha XXL Wasanii hao ambao waliwahi kufanya kazi pamoja katika Top Band ya Tid kabla […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Banana Zorro – Kaseme Tena

Ba

Mwamuziki mgongwe na mmliki wa Band ya B Band Banana Zorro ametoa wimbo mpya unaitwa “Kaseme Tena”. Producer Tsuki

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Banana Zorro: Bongo Flava imefika penyewe

Banana

Msanii mkongwe na mwanzilishi wa The B-Band, Banana Zorro amefurahishwa na hatua za wasanii wa Tanzania kukimbilia nchi za nje ili kufanya video ambazo zitaleta ushindani katika muziki.

Banana

Mwimbaji huyo ambaye ameachia wimbo mpya ‘Kaseme Tena’ hivi karibuni, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EATV kuwa, kuna wakati waongozaji wa video wa ndani walikuwa wanatengeneza video zinazofanana hali ambayo ilikuwa haileti ushindani.

“Sasa hivi muziki umeshatanuka, soko limekuwa wazi na nafasi...

 

9 years ago

Mtanzania

Banana Zorro, Mzungu Kichaa kunogesha Tamasha la ‘The Beat’ leo

Banana ZorroNA MWANDISHI WETU

TAMASHA la ‘The Beat’ lenye lengo la kukutanisha wasanii na wadau mbalimbali wa muziki ndani na nje ya nchi linatarajiwa kufanyika leo katika ukumbi wa Paparazzi Bistro Club – Slipway, jijini Dar es Salaam.

Katika tamasha hilo jipya baadhi ya wasanii watakaolinogesha ni pamoja na mkali wa Bongo Fleva,  Mzungu Kichaa, mkali wa nyimbo za asili, Samweli Hokororo, Ifa Band na mwanamuziki Banana Zorro, ambao watatumia bendi kupiga muziki wa moja kwa moja.

Wasanii wote...

 

11 years ago

GPL

CHAZ BABA, CHRISTIAN BELLA, BANANA ZORRO, FAGASON WALAMBA TUZO UPYA

Mke mtarajiwa wa Mkurugenzi wa Kampuni ya First Entertainment  aitwaye Pauline Daniel (kushoto)  akimkabidhi tuzo ya heshima kiongozi wa Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba,’ kwenye hafla fupi iliyofanyika  usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa Kwetu  Pazuri Tabata jiji Dar es Salaam. Rais wa Bendi ya Malaika, Christian Bella (kulia)  akipokea tuzo yake ya heshima kutoka kwa mwakilishi...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama ulimiss muziki wa Banana Zorro kwenye ubora wake, anakupa hii mpya..- ‘Kaseme Tena’ (+Audio)

December 29 2015 jina la mkali wa zouk, r&b pamoja na pop Tanzania, Banana Zahir Zorro ameona kabla hatujagusa mwaka 2016 nae arudina kitu masikioni mwetu. Imenifikia hii ngoma inaitwa ‘Kaseme Tena‘, ya kumalizia mwaka 2015 kutoka kwa Banana Zorro jamaa ambaye anamiliki pia B Band. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]

The post Kama ulimiss muziki wa Banana Zorro kwenye ubora wake, anakupa hii mpya..- ‘Kaseme Tena’ (+Audio) appeared first on...

 

10 years ago

CloudsFM

Q-Chillah,TID wataka kutwangana kisa,ngoma mpya ya Ali Kiba

Mastaa wa Bongo Fleva,Q-Chillah na TID mwishoni mwa wiki hii walitaka kutwangana walipokutana katika Klabu moja usiku.Kwa mujibu wa Q-Chillah akizungumza kwenye Uheard na Soudy Brown alisema kuwa alikwenda kwenye klabu hiyo kuangalia shoo iliyokuwa ikifanyika kwenye lakini baadaye aliamua kutoka nje kucheza ‘pool table’ ndipo alipomuona TID.

‘’Nilimuona jamaa(TID) akiniangalia na baadaye alinifuata akaniambia kuwa anataka kuongea na mimi nikamwambia ile siye sehemu yake atafute muda mwingine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani