CHAZ BABA, CHRISTIAN BELLA, BANANA ZORRO, FAGASON WALAMBA TUZO UPYA
![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzWfV6K7b-E--88izGsccqSfegR-mWVCd4pYK4HXr3vs-vkVNurjAddbdsLscI9LjZgaWN*WqcBFbkdb18vmSDrz/1.jpg?width=650)
Mke mtarajiwa wa Mkurugenzi wa Kampuni ya First Entertainment aitwaye Pauline Daniel (kushoto) akimkabidhi tuzo ya heshima kiongozi wa Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba,’ kwenye hafla fupi iliyofanyika usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa Kwetu Pazuri Tabata jiji Dar es Salaam. Rais wa Bendi ya Malaika, Christian Bella (kulia) akipokea tuzo yake ya heshima kutoka kwa mwakilishi...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKb27P3JwiHOLE0PU-xrc7lTy4NJdQros2HRDf6ffqp8Mk9W*zq5lUbvl2JxN7cTGqLWdJ2tTCKxSnNWe5gqhc9qfOAzv3Ps/BELA.jpg)
CHRISTIAN BELLA ADAI HATOI WIMBO MPYA ILI APATE TUZO
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Christian Bella: Kukosa tuzo kutanifanya nitoe muziki mzuri zaidi
NA RHOBI CHACHA
MWANAMUZIKI wa Bolingo, Christian Bella, ameweka wazi kwamba kukosa kwake tuzo hata moja kutampa nguvu ya kuandaa kazi nzuri zaidi ya alizozitoa kwa mwaka jana.
Bella aliongeza kwamba, anajiamini muziki anaofanya unapendwa na wengi, kukosa tuzo hakutamrudisha nyuma bali kutamfanya aongeze nguvu zaidi ya kufanya muziki mzuri.
“Unajua mimi siku zote najijua kama nafanya kazi nzuri na mashabiki wananikubali, ila kukosa tuzo hakunivunji moyo, yaani ni sawa na kunizidishia akili...
9 years ago
Bongo529 Dec
Music: Banana Zorro – Kaseme Tena
![Ba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ba-300x194.jpg)
Mwamuziki mgongwe na mmliki wa Band ya B Band Banana Zorro ametoa wimbo mpya unaitwa “Kaseme Tena”. Producer Tsuki
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo510 Dec
Banana Zorro: Bongo Flava imefika penyewe
![Banana](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Banana-300x194.jpg)
Msanii mkongwe na mwanzilishi wa The B-Band, Banana Zorro amefurahishwa na hatua za wasanii wa Tanzania kukimbilia nchi za nje ili kufanya video ambazo zitaleta ushindani katika muziki.
Mwimbaji huyo ambaye ameachia wimbo mpya ‘Kaseme Tena’ hivi karibuni, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EATV kuwa, kuna wakati waongozaji wa video wa ndani walikuwa wanatengeneza video zinazofanana hali ambayo ilikuwa haileti ushindani.
“Sasa hivi muziki umeshatanuka, soko limekuwa wazi na nafasi...
10 years ago
Bongo529 Aug
TID na Banana Zorro (The Expendables) kuja na ngoma ya pamoja
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Banana Zorro, Mzungu Kichaa kunogesha Tamasha la ‘The Beat’ leo
NA MWANDISHI WETU
TAMASHA la ‘The Beat’ lenye lengo la kukutanisha wasanii na wadau mbalimbali wa muziki ndani na nje ya nchi linatarajiwa kufanyika leo katika ukumbi wa Paparazzi Bistro Club – Slipway, jijini Dar es Salaam.
Katika tamasha hilo jipya baadhi ya wasanii watakaolinogesha ni pamoja na mkali wa Bongo Fleva, Mzungu Kichaa, mkali wa nyimbo za asili, Samweli Hokororo, Ifa Band na mwanamuziki Banana Zorro, ambao watatumia bendi kupiga muziki wa moja kwa moja.
Wasanii wote...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/M5tQeuSwyow/default.jpg)
9 years ago
Bongo515 Dec
Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’
![12301240_431794427022691_698500110_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301240_431794427022691_698500110_n-300x194.jpg)
Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.
Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.
“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.
“Itakuwa inasaidia vijana wenye...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Kama ulimiss muziki wa Banana Zorro kwenye ubora wake, anakupa hii mpya..- ‘Kaseme Tena’ (+Audio)
December 29 2015 jina la mkali wa zouk, r&b pamoja na pop Tanzania, Banana Zahir Zorro ameona kabla hatujagusa mwaka 2016 nae arudina kitu masikioni mwetu. Imenifikia hii ngoma inaitwa ‘Kaseme Tena‘, ya kumalizia mwaka 2015 kutoka kwa Banana Zorro jamaa ambaye anamiliki pia B Band. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]
The post Kama ulimiss muziki wa Banana Zorro kwenye ubora wake, anakupa hii mpya..- ‘Kaseme Tena’ (+Audio) appeared first on...