BANDA LA TANZANIA LATIKISA MAONESHO YA INDABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YwYRsM3-3bQ/VVHRfIStZbI/AAAAAAAC4S4/sVGOHWwUHgI/s72-c/Photo%2B1.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mh. Radhia Msuya (katikati) katika picha ya pamoja na waoneshaji kutoka taasisi za serikali katika maonesho ya INDABA AFrika Kusini. Wa pili kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania bii Devota Mdachi.
Waoneshaji kutoka tasisi za Serikali katika maonesho ya INDABA Durban Afrika Kusini wakiwa kazini kuitangaza Tanzania.
Na: Geofrey Tengeneza.Banda la Tanzania katika maonesho ya Kimataifa ya INDABA yaliofanyika katika jiji la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA, AZURU KATIKA BANDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA, POLISI, MAGEREZA NA MENGINEYO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-23RlRiZWodk/VVHDIyy87dI/AAAAAAAAdaQ/IWokAxwkGNk/s72-c/Photo%2B1.jpg)
TTB KATIKA MAONESHO YA UTALII INDABA AFRIKA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-23RlRiZWodk/VVHDIyy87dI/AAAAAAAAdaQ/IWokAxwkGNk/s640/Photo%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aQWiybFC4LU/VVHDQxGpeWI/AAAAAAAAdaY/u9qMjhFClWE/s640/Photo%2B2.jpg)
Na Geofrey Tengeneza
Banda la Tanzania katika maonesho ya Kimataifa ya INDABA yaliofanyika katika jiji la Durban...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nN61TXATLVw/VZ0WJVSCSFI/AAAAAAAHnxQ/Ui4MhmB-sKE/s72-c/IMG_20150707_125754.jpg)
BANDA LA TAWLA KATIKA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABASABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nN61TXATLVw/VZ0WJVSCSFI/AAAAAAAHnxQ/Ui4MhmB-sKE/s640/IMG_20150707_125754.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXBsDagkGZ4/VZ0WJFa6AzI/AAAAAAAHnxU/Q4CJzc21eJQ/s640/IMG_20150707_125832.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ShLKUsF6M5U/VZ0WKNRWfCI/AAAAAAAHnxg/ltEyQKf-cPM/s640/IMG_20150707_131321.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v8-oGbvPMUY/VZ0WOU_KfRI/AAAAAAAHnxw/wpznu8aRgI0/s640/IMG_20150707_134206%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VOmIBaGi_b4/U7RcdEvqMTI/AAAAAAAFud0/gkeyyOU0QbI/s72-c/unnamed+(9).jpg)
banda la Wizara ya Fedha.lavutia wengi maonesho ya sabasaba
![](http://3.bp.blogspot.com/-VOmIBaGi_b4/U7RcdEvqMTI/AAAAAAAFud0/gkeyyOU0QbI/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-guetyPz4iWg/U7Rbgh_nPHI/AAAAAAAFudI/bWymlkvExLo/s1600/unnamed+(7).jpg)
11 years ago
Dewji Blog07 Jul
Rais Kikwete atembelea banda la TTCL maonesho ya kimataifa ya biashara
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kwenye banda la TTCL kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba alipotembelea tena jana Julai 6, 2014 baada ya ziara yake ya juzi kutokamilika kutokana na muda.
Baadhi ya wafanyakazi na viongozi wakipiga picha ya pamoja na Rais Jakaya Kikwete nje ya Banda la TTCL kwenye maonesho ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba jana Juai 6, 2014.
Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo juu ya utendaji kazi wa shughuli za mkongo wa taifa wa...
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI atembelea banda la maonesho NHC
Naibu Katibu mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba akiingia katika banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa leo asubuhi kwenye viwanja vya Maonyesho vya Sabasaba (Mwalimu Nyerere) katika maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa.
Naibu Katibu mkuu Tamisemi ,Kagyabukama E.Kiliba akipata maelezo ya namna kituo cha huduma kwa wateja kinavyofanya kazi kutoka kwa Afisa wa kitengo cha Huduma kwa Wateja, Theresia Muhondo katika banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa leo asubuhi...
11 years ago
Michuzi01 Jul
Ankal atembelea banda la PPF kwenye maonesho ya sabasaba leo
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Banda la TAWLA lang’ara maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba
Baadhi ya watu waliohudhuria kwenye banda la chama cha wanasheria wanawake (TAWLA) kwenye maonesho ya kimataifa sabasaba.
Mkurugenzi wa Programu wa TAWLA, Naseku Kisambu akitoa maelezo kwa watu waliohudhuria banda lao kwenye maonesho ya sabasaba jinsi gani Tawla inavyosaidia kisheria.
Afisa habari wa TAWLA Goodness Mrema akitoa maelezo kwa watu waliohudhuria bandani kwao.
Mkurugenzi mtendaji wa TAWLA, Tike Mwambipile akihojiwa na mwandishi wa TBC kwenye maonesho ya kimataifa...
11 years ago
Michuzi03 Jul
Kaimu Katibu Mkuu atembelea Banda la Wizara kwenye Maonesho ya Sabasaba