Bao la mkongwe Lampard laua mchezaji wa Simba, Uganda
Mchezaji wa Simba FC inayoshiriki Ligi Kuu Uganda, Fahad Musana amefariki dunia ghafla wakati akiwa kwenye banda la video kushuhudia mechi ya Ligi Kuu England kati ya Manchester City na Chelsea juzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Mchezaji mkongwe Mario Coluna afariki
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Mchezaji afariki akisherehekea bao
10 years ago
BBCSwahili11 May
Mchezaji kugharamia hasara ya bao lake
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Shabiki mkongwe wa Simba amuomba MO kuendeleza mpango wake wa kuinunua Simba
Pichani ni Mohammed Dewji alipokuwa mgeni rasmi wa tamasha la Simba Day, akisalimiana na mmoja wa wadau kwenye jukwaa kuu. Kulia ni Nyange Kaburu. (Picha na Maktaba yetu).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mmoja wa mashabiki wa wakongwe wa klabu ya Simba, Stanbul Mponda amemuomba Bilionea namba moja nchini, Mohammed Dewji ‘MO’ kuendeleza mipango yake ya kuinunua Simba ili aweze kufanya uwekezaji kama alivyokuwa amepanga awali.
Mponda ameyasema hayo ikiwa ni siku chache zimepita za tarehe ya mwisho...
10 years ago
Bongo521 Oct
Mchezaji afariki akisherehekea bao kwa kuruka sarakasi
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s72-c/IMG_3712.jpg)
Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s1600/IMG_3712.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iRYbrDUfPqk/Uwn-Gn-TwHI/AAAAAAAFPFE/eMIQriaeepY/s1600/IMG_3714.jpg)
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.
10 years ago
MichuziMchezo wa Kirafiki Kati ya Simba na Polisi Usiku Huu Uwanja wa Amaan Simba Ikiwa mbele kwa bao 2--0
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Azam yazipiga bao Simba, Yanga
10 years ago
Vijimambo31 Dec
BAO LA TAMBWE LA ZUA TAFRANI SIMBA HUKO
![](http://api.ning.com/files/f3Cpy2Teci2r5KLD7JMoV9Tg7xDfXliePGIfJChC6JL310cEi*yjyjXP6OUAj-r5dnRJZeQa6N*fXNh2m9HxcBrITVjvje97/AmissTambwe2.jpg?width=650)
Na Wilbert MolandiBAO la dakika ya saba lililofungwa na mshambuliaji raia wa Burundi, Amissi Tambwe, limezua tafrani kwa mashabiki na viongozi wa klabu ya Simba.Mrundi huyo alifunga bao hilo katika mchezo wa nane wa Ligi Kuu Bara, dhidi ya Azam FC, uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ukiwa ni mchezo wake wa kwanza kuitumikia timu hiyo.
Tafrani kubwa iliibuka uwanjani hapo, mara baada ya Tambwe...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10