Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezaji kugharamia hasara ya bao lake

Mchezaji kandanda ameahidi kulipia hasara iliyosababishwa na shabiki wake alipofunga bao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji afariki akisherehekea bao

Mchezaji wa soka nchini India, Peter Biaksangzuala amefariki kutokana na majeraha aliyoyapata baada ya kuiga pindu akisherehekea bao

 

10 years ago

Mwananchi

Bao la mkongwe Lampard laua mchezaji wa Simba, Uganda

Mchezaji wa Simba FC inayoshiriki Ligi Kuu Uganda, Fahad Musana amefariki dunia ghafla wakati akiwa kwenye banda la video kushuhudia mechi ya Ligi Kuu England kati ya Manchester City na Chelsea juzi.

 

10 years ago

Bongo5

Mchezaji afariki akisherehekea bao kwa kuruka sarakasi

Mchezaji wa soka nchini India, Peter Biaksangzuala amefariki kutokana na majeraha aliyoyapata baada ya kuanguka vibaya uwanjani akisherehekea goli alilofunga. Mchezaji huyo alikuwa na umri wa miaka 23 na alijeruhi uti wake wa mgongo baada ya kuanguka uwanjani akisherehekea bao lake la kusawazisha kw atimu yake Bethlehem Vengthlang FC dhidi ya Chanmari West FC. Biaksangzuala […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Tundu Lissu ahofia ‘bao la mkono’ katika jimbo lake la Singida Mashariki, ataka sheria zifuatwe

DSC01807

Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea ubunge jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu akizungumza kwenye moja ya mikutano yake ya kampeni.(Picha na Gasper Andrew).

DSC01778

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKATI siku zikiwa zimesalia siku moja tu kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, mgombea ubunge wa jimbo la Singida mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu  Antiphas Mughwai Lissu, ameonyesha hofu  kubwa kwamba uchaguzi huo hautakuwa huru na wa  haki, kwa madai kuwa Jeshi la Polisi limeandaliwa kuhakikisha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wenger athibitisha kusajili mchezaji ndani ya siku 10 zijazo, jina la mchezaji anayesajiliwa lipo hapa

Arsene 22

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal wanatarajia kufanya usajili mpya katika kikosi chao ndani ya siku 10, kocha Arsene Wenger (pichani) kathibitisha.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Newcastle ambao Arsenal iliibuka na ushindi wa goli 1 kwa bila, Wenger alisema anategemea kusajili mchezaji mpya ndani ya siku 10 zinazokuja.

“Ninatumai ndani ya siku 10 zijazo tunaweza kufanya jambo,” Wenger aliwaambia waandishi...

 

9 years ago

Michuzi

MCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

Elias Maguli Mchezaji wa timu ya Stand United, amekabidhiwa hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni 1/= na wadhamni wakuu wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(Vodacom Tanzania) kwa kuibuka mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa Ligi hiyo.
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.Ofisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania,Ibrahim Kaude(kushoto)akimkabidhi Mchezaji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kodi ya kugharamia AU yaanzishwa

Mkutano wa siku mbili wa viongozi wa nchi za Umoja wa Afrika, umependekeza kuanzisha kodi ili kugharimia shirika hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yatakiwa kugharamia ukusanyaji takwimu

ASASI inayoshughulika na Mambo ya Takwimu (OSSO) imeonya kuwa kitendo cha Serikali kutegemea fedha za wahisani kuwezesha ukusanyaji wa takwimu za ndani ya nchi ni hatari kwa taifa, kwani kunawapa fursa wahisani hao kujua mipango yote ya nchi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Watumia milioni 400/- kugharamia miradi ya kijamii

DSC00274

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua kituo cha kisasa cha polisi kata ya Mang’onyi wilaya ya Ikungi kilichojengwa na kampuni ya utafiti na uchimbaji madini ya Shanta kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni 244 milioni.

DSC00272

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa kijiji cha Mang’onyi wilaya ya Ikungi kama sehemu ya uzinduzi wa mradi wa maji uliogharamiwa na kampuni ya utafiti na uchimbaji madini ya Shanta kwa gharama ya zaidi ya shilingi 126.8...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani