Mchezaji kugharamia hasara ya bao lake
Mchezaji kandanda ameahidi kulipia hasara iliyosababishwa na shabiki wake alipofunga bao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Mchezaji afariki akisherehekea bao
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Bao la mkongwe Lampard laua mchezaji wa Simba, Uganda
10 years ago
Bongo521 Oct
Mchezaji afariki akisherehekea bao kwa kuruka sarakasi
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Tundu Lissu ahofia ‘bao la mkono’ katika jimbo lake la Singida Mashariki, ataka sheria zifuatwe
Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea ubunge jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu akizungumza kwenye moja ya mikutano yake ya kampeni.(Picha na Gasper Andrew).
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKATI siku zikiwa zimesalia siku moja tu kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, mgombea ubunge wa jimbo la Singida mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Antiphas Mughwai Lissu, ameonyesha hofu kubwa kwamba uchaguzi huo hautakuwa huru na wa haki, kwa madai kuwa Jeshi la Polisi limeandaliwa kuhakikisha...
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Wenger athibitisha kusajili mchezaji ndani ya siku 10 zijazo, jina la mchezaji anayesajiliwa lipo hapa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal wanatarajia kufanya usajili mpya katika kikosi chao ndani ya siku 10, kocha Arsene Wenger (pichani) kathibitisha.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Newcastle ambao Arsenal iliibuka na ushindi wa goli 1 kwa bila, Wenger alisema anategemea kusajili mchezaji mpya ndani ya siku 10 zinazokuja.
“Ninatumai ndani ya siku 10 zijazo tunaweza kufanya jambo,” Wenger aliwaambia waandishi...
9 years ago
MichuziMCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Kodi ya kugharamia AU yaanzishwa
10 years ago
Habarileo26 Jan
Serikali yatakiwa kugharamia ukusanyaji takwimu
ASASI inayoshughulika na Mambo ya Takwimu (OSSO) imeonya kuwa kitendo cha Serikali kutegemea fedha za wahisani kuwezesha ukusanyaji wa takwimu za ndani ya nchi ni hatari kwa taifa, kwani kunawapa fursa wahisani hao kujua mipango yote ya nchi.
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Watumia milioni 400/- kugharamia miradi ya kijamii
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua kituo cha kisasa cha polisi kata ya Mang’onyi wilaya ya Ikungi kilichojengwa na kampuni ya utafiti na uchimbaji madini ya Shanta kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni 244 milioni.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa kijiji cha Mang’onyi wilaya ya Ikungi kama sehemu ya uzinduzi wa mradi wa maji uliogharamiwa na kampuni ya utafiti na uchimbaji madini ya Shanta kwa gharama ya zaidi ya shilingi 126.8...