Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kodi ya kugharamia AU yaanzishwa

Mkutano wa siku mbili wa viongozi wa nchi za Umoja wa Afrika, umependekeza kuanzisha kodi ili kugharimia shirika hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Studio yaanzishwa kuwabeba chipukizi

KAMPUNI ya Rubi Record inayojihusisha kurekodi audio na video za nyimbo, imezinduliwa hivi karibuni eneo la Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuwainua wasanii wachanga. Akizungumza jijini Dar...

 

9 years ago

Mwananchi

Machinjio haramu yaanzishwa Dodoma

Uongozi wa Kiwanda cha Nyama Dodoma, umedai kuwa kuna machinjio haramu yasiyofuata taratibu za afya yanayoingiza nyama katika mabucha na kuwauzia wateja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Miradi ya kuzalisha nishati yaanzishwa

Gharama ya nishati barani Afrika inakisiwa kuwa ghali zaidi kuliko mabara mengine duniani

 

10 years ago

BBCSwahili

Sheria ya ndoa za jinsia moja yaanzishwa

Kinara mkuu wa chama cha upinzani cha Labour nchini Australia, ameanzisha sheria inayokubalia ndoa ya wapenzi wa jinsia moja,

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA KUUNDA MABASI YA ABIRIA YAANZISHWA KIBAHA



Muonekano wa moja ya mabasi yaliyoundwa na Kampuni ya BM Motors iliyopo Kibaha mkoani Pwani kama linavyoonekana likiwa tayari kuanza kutumika .

………………………………………………………………………………………………………….

Na Mwandishi Wetu

Kampuni ya BM Motors iliyopo Kibaha mkoani Pwani, imeingia kwenye orodha ya kampuni zinazounda na kutengeneza mabasi ya abiria hapa nchini.

Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Bw. Jonas Nyagawa amesema, karakana hiyo iliyojengwa eneo la Zegereni katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani...

 

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Michuzi

PROGRAMU MPYA YA ‘PANDA MITI KIBIASHARA’ YAANZISHWA NCHINI

Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi ya Finland imeanzisha Programu ya’Panda Miti Kibishara’ (Private Forestry Programme). Programu hiyo yenye makao makuu Njombe inayo madhumuni ya kuwahamasisha wananchi kupanda miti kwa kuzingatia kuwa miti ni zao la biashara.
Ingawaje Programu hiyo imeshiriki kwa mara ya kwanza katika maonyesho ya Sabasaba ilikuwa kati ya sehemu zilizowavutia watu wengi ndani banda la Maliasili na Utalii. Wananchi walotembelea...

 

10 years ago

GPL

TOVUTI MPYA YA HABARI ZA KIELIMU TANZANIA YAANZISHWA‏

Shule Zetu.or.Tz by moblog…

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yatakiwa kugharamia ukusanyaji takwimu

ASASI inayoshughulika na Mambo ya Takwimu (OSSO) imeonya kuwa kitendo cha Serikali kutegemea fedha za wahisani kuwezesha ukusanyaji wa takwimu za ndani ya nchi ni hatari kwa taifa, kwani kunawapa fursa wahisani hao kujua mipango yote ya nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani