Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Studio yaanzishwa kuwabeba chipukizi

KAMPUNI ya Rubi Record inayojihusisha kurekodi audio na video za nyimbo, imezinduliwa hivi karibuni eneo la Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuwainua wasanii wachanga. Akizungumza jijini Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Serikali kuwabeba wanaofeli kidato cha pili, la nne

Wakati wanafunzi wa kidato cha pili wakianza mitihani jana, Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza kwamba wanafunzi watakaofeli mtihani huo hawatorudia darasa, bali wataandaliwa utaratibu maalumu wa masomo ya jioni ili kuwawezesha kitaaluma.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kodi ya kugharamia AU yaanzishwa

Mkutano wa siku mbili wa viongozi wa nchi za Umoja wa Afrika, umependekeza kuanzisha kodi ili kugharimia shirika hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AWATAKA VIONGOZI WA CCM KUTENDA HAKI NA KUACHA KUWABEBA WAGOMBEA WASIO NA SIFA


 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kaskazini Ali Makame akitoa salaam za ufunguzi wa mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye vya Skuli ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Wananchi wakifurahia mkutano wa Kinana.
 Mbunge wa Viti Maluum Kidawa Hamisi akitoa hotuba na elimu kwa waliohudhuria mkutano kwenye viwanja vya Skuli, Nungwi.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Nungwi wilaya ya Kaskazini A kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika...

 

9 years ago

Mwananchi

Machinjio haramu yaanzishwa Dodoma

Uongozi wa Kiwanda cha Nyama Dodoma, umedai kuwa kuna machinjio haramu yasiyofuata taratibu za afya yanayoingiza nyama katika mabucha na kuwauzia wateja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Miradi ya kuzalisha nishati yaanzishwa

Gharama ya nishati barani Afrika inakisiwa kuwa ghali zaidi kuliko mabara mengine duniani

 

10 years ago

BBCSwahili

Sheria ya ndoa za jinsia moja yaanzishwa

Kinara mkuu wa chama cha upinzani cha Labour nchini Australia, ameanzisha sheria inayokubalia ndoa ya wapenzi wa jinsia moja,

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA KUUNDA MABASI YA ABIRIA YAANZISHWA KIBAHA



Muonekano wa moja ya mabasi yaliyoundwa na Kampuni ya BM Motors iliyopo Kibaha mkoani Pwani kama linavyoonekana likiwa tayari kuanza kutumika .

………………………………………………………………………………………………………….

Na Mwandishi Wetu

Kampuni ya BM Motors iliyopo Kibaha mkoani Pwani, imeingia kwenye orodha ya kampuni zinazounda na kutengeneza mabasi ya abiria hapa nchini.

Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Bw. Jonas Nyagawa amesema, karakana hiyo iliyojengwa eneo la Zegereni katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani