Miradi ya kuzalisha nishati yaanzishwa
Gharama ya nishati barani Afrika inakisiwa kuwa ghali zaidi kuliko mabara mengine duniani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s72-c/unnamed+(11).jpg)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI APOKEA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uxO7FD_O4cg/UwNZxxwF44I/AAAAAAAFNzU/kwfQPBPWDR0/s1600/unnamed+(12).jpg)
9 years ago
MichuziZIARA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI KWENYE KITUO CHA KUZALISHA UMEME KWA NGUVU YA MAJI, MTERA
Akielezea hali halisi aliyoiona kituoni hapo, Profesa Muhongo alisema kwa wakati huu kituo hicho cha Mtera hakizalishi umeme wa kiasi chochote huku akitaja sababu kuwa ni upungufu wa maji uliosababishwa na matumizi mabaya ya maji ya Bwawa hilo.
Profesa Muhongo alisema njia bora ya utatuzi wa upungufu wa maji kwenye bwawa hilo...
10 years ago
MichuziNishati na Madini watakiwa kuboresha tathmini ya mapendekezo ya miradi
Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini wametakiwa kuboresha ufanyaji wa tathmini ya mapendekezo ya miradi (project proposal) ya Wizara kwa uwazi kwani ina mchango mkubwa katika kufanikisha utekelezaji wa miradi hiyo.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Rasilimaliwatu kutoka Wizara ya Nishati na Madini Lusius Mwenda, alipokuwa akifunga awamu ya kwanza ya mafunzo ya jinsi ya kuandaa mapendekezo ya miradi, sera pamoja na utekelezaji wake...
10 years ago
Michuzi12 Nov
Nishati na Madini yatakiwa kushirikisha jamii kwenye uanzishaji wa miradi
![](https://4.bp.blogspot.com/-BTn4IkY7wZk/VGMr6viqWQI/AAAAAAAGwrM/jQEYSd7Rcxw/s640/unnamed%2B(75).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-mv2_knHo_oQ/VGMr6hFc-lI/AAAAAAAGwrI/7w--im67WYo/s640/unnamed%2B(76).jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-WXFkJLY5V-c/VGMr6nonL3I/AAAAAAAGwrQ/nbBWzmniLVw/s640/unnamed%2B(77).jpg)
Na Greyson Mwase, Bagamoyo
Wataalamu wa...
9 years ago
Michuzi20 Dec
OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA VITUO VYA KUZALISHA UMEME VYA KIDATU NA KIHANSI
![SONY DSC](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/kid3.jpg)
![SONY DSC](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/kid4.jpg)
9 years ago
Press20 Dec
TUME YA MIPANGO OFISI YA RAIS YAKAGUA MIRADI YA VITUO VYA KUZALISHA UMEME VYA KIDATU NA KIHANSI
Bibi. Florence Mwanri, Kaimu Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango (aliyevaa nguo nyeusi) akiangalia na kupata maelezo kutoka kwa Injinia wa kituo Bw. Rajabu Kindunda (wa tatu kulia) kuhusu Bwawa la Kidatu ambalo maji hukusanywa kutoka mto Rufiji kabla ya kutumika kwa ajili ya kuzalisha umeme. Wengine pamoja nae ni wataalamu kutoka Tume ya Mipango na TANESCO.
Bibi. Florence Mwanri, Kaimu Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango (aliyevaa nguo nyeusi) akiangalia eneo la...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA PETROGAS YAENDESHA MAFUNZO YA UANDAAJI WA MAPENDEKEZO YA MIRADI KWA WATAALAMU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA SIMIYU KUKAGUA MIRADI YA UMEME NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI