BARABARA YAANGUKA NCHINI BRAZIL KWENYE MJI MWENYEJI WA MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-1JnkzfDt6yA/U7X52RwxOQI/AAAAAAAAPLw/21wxOTse9k8/s72-c/la-world-cup-overpass-collapse-gallery-2014070-003.jpg)
Mtu mmoja amethibitishwa kufariki Dunia na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa vibaya baada ya moja ya Barabara iliyokuwa kwenye matengenezo kukatika katika mji wa Belo Horezonte karibu na eneo lenye shughuli nyingi la Lagoa da Pampulha,nchini Brazil. Barabara hiyo ipo kilometa 3 kutoka Mineirao Stadium,uwanja uliotumika kwa mechi mbali mbali za kombe la dunia na utatumika kwenye nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014. Barabara hii ilikuwa ni moja ya kiungo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM13 Jun
11 years ago
GPL11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-T9LcgqpCilA/U6fspCnnbVI/AAAAAAAFsZg/gJl835QuLqA/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oPEFhmaRetwTPqWQGPD6DxPGax96PavkLNqsPMGFGvBPkbgQjsDgWgjOrr*O-LFkM-mzEZXPoAchGxOeJnDEQHk/KOMBELADUNIA.png)
11 years ago
Michuzi17 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YgFp4I6jcxA/U0FjCX99qxI/AAAAAAAFY1E/XqaPgNY6YTw/s72-c/watoto+wa+mitaani.jpg)
JUST IN: TIMU YA WATOTO WA MITAANI YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA NCHINI BRAZIL
![](http://2.bp.blogspot.com/-YgFp4I6jcxA/U0FjCX99qxI/AAAAAAAFY1E/XqaPgNY6YTw/s1600/watoto+wa+mitaani.jpg)
Hadi mapumziko Tanzania ilikuwa mbele kwa mabao 4-0. Bao pekee la Marekani katika mchezo huo ambayo hadi nusu fainali ilikuwa haijafungwa lilifungwa dakika za mwisho.
Kwa matokeo hayo, Tanzania inacheza nusu fainali na Burundi....
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6MzBg2tyzQg/U5iQKtVwiCI/AAAAAAAFpyg/7KKrijsDOyg/s72-c/unnamed+(1).png)
11 years ago
GPL![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2014/06/242.jpg?resize=618%2C153)
MATOKEO NA WAFUNGAJI WA MECHI ZOTE ZA KOMBE LA DUNIA LA MWAKA 2014 NCHINI BRAZIL
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DXP3cusISYc/U2xt7F97b-I/AAAAAAAFgbE/33OpcSBU4-w/s1600/unnamed.jpg)
TBC yaanza mchakato wa kuwapata washindi watano wa kwenda kuangalia michezo ya Kombe la Dunia nchini Brazil