Baraza la maulamaa la BAKWATA lamteua Sheikh Abubakhari Zubeir kuwa kaimu Mufti Mkuu
![](http://img.youtube.com/vi/kBQWtQ8YVu4/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM23 Jun
Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally achaguliwa kuwa Kaimu Mufti.
Uteuzi huo unatokana na kifo cha Mufti Issa Shaaban Bin Simba siku saba zilizopita.
Akizungumza jana na waandishi wa habari, katibu mkuu wa Bakwata, Suleiman Lolila alisema uchaguzi wa kumpata kaimu mufti ulifanywa kwa siku saba tangu kufariki kwa Mufti Simba.
Mufti Simba alifariki dunia Juni 15, mwaka huu katika hospitali ya TMJ jijini...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uaedae571gQ/VfF9oEACFCI/AAAAAAABHVc/SLmk12WOQEU/s72-c/aAA.jpg)
BAKWATA YAMCHAGUA SHEKHE ABOUBAKAR ZUBEIR BIN ALLY KUWA MUFTI WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uaedae571gQ/VfF9oEACFCI/AAAAAAABHVc/SLmk12WOQEU/s640/aAA.jpg)
Shekhe Mkuu wa Tanzania ambaye pia ni Mufti wa Tanzania, Aboubakar Zubeir Bin Ally amewataka Watanzania kumwomba Mungu ili awapatie kiongozi bora katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Shekhe Zubeir aliyasema hayo jana kwenye mkutano mkuu wa Bakwata uliompitisha kuwa Mufti wa Tanzania kwa kura za wajumbe wote 310 baada ya mtu aliyeingia naye katika ushindani huo kujitoa.
Katika kinyang’anyiro hicho Shekhe Aboubakar alikuwa na wenzake watatu ambao ni Shekhe Khamis Mtupa, Shekhe Hassan Kiburwa...
5 years ago
MichuziMufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir atembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, awapongeza wataalamu
Na Mwandishi Maalum – Dar es Salaam .
MUFTI Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir ameitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwapongeza wataalamu wake kwa kuendelea kutoa huduma bora kwa Watanzania, licha ya kuwapo janga la ugonjwa wa Corona.
Sambamba na hilo, Mufti Zubeir amewajulia hali wagonjwa na kuwaombea dua kwa Mwenyezi Mungu ili hali zao zizidi kuimarika baada ya kufanyiwa matibabu dhidi ya matatizo ya moyo yaliyokuwa yakiwakabili.
Akizungumza na waandishi wa...
MUFTI Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir ameitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwapongeza wataalamu wake kwa kuendelea kutoa huduma bora kwa Watanzania, licha ya kuwapo janga la ugonjwa wa Corona.
Sambamba na hilo, Mufti Zubeir amewajulia hali wagonjwa na kuwaombea dua kwa Mwenyezi Mungu ili hali zao zizidi kuimarika baada ya kufanyiwa matibabu dhidi ya matatizo ya moyo yaliyokuwa yakiwakabili.
Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OkkR6evK9Rk/VX7rn4sF-JI/AAAAAAAHfss/hR6YXhCRfO4/s72-c/index.jpg)
RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AMETUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA WAISLAMU WOTE NA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA SHEIKH MKUU WA TANZANIA MUFTI SHEIKH ISSA BIN SHAABAN SIMBA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://2.bp.blogspot.com/-OkkR6evK9Rk/VX7rn4sF-JI/AAAAAAAHfss/hR6YXhCRfO4/s1600/index.jpg)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote nchini na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)) kufuatia kifo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yX2dtDJZiTo/VfOUbhygfhI/AAAAAAAH4IQ/SH3sMLDY0dk/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
HAFLA YA KUMKARIBISHA RASMI BAKWATA MUFTI MKUU MPYA WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBERI BIN ALLY
![](http://3.bp.blogspot.com/-yX2dtDJZiTo/VfOUbhygfhI/AAAAAAAH4IQ/SH3sMLDY0dk/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8enGlbnI53k/VfOUblTUsuI/AAAAAAAH4IU/fq4Xkvz4R0E/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Rais Kikwete akutana na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-UaDSWw6qtos/VYqv7xegzlI/AAAAAAAHjYs/P59uA2iKgX8/s640/mu1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu jijini Dar es salaam jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) Sheikh Suleiman Lolila Ikulu jijini Dar es salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ppo4NP4gzxY/VYqwAAfPQpI/AAAAAAAHjY4/aaPGwIqvK8M/s640/mu3.jpg)
![mu4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/mu4.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Sheikh-Abubakar-Zuberi-bin-Ally.jpg)
SHEIKH ABUBAKARY ZUBEIR NDIYE MUFTI MPYA WA TANZANIA
Mufti mpya wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeir. WAJUMBE 310 wa Baraza Kuu la Waislamu nchini (Bakwata), leo wakiwa mkoani Dodoma wamemchagua Sheikh Abubakary Zubeir kuwa Mufti wa Tanzania akiziba nafasi iliyoachwa na hayati Issa Shaaban bin Simba. Kabla ya uchaguzi huo, Sheikh Abubakary Zubeir, alikuwa Kaimu Mufti wa Tanzania kwa kipindi cha mpito baada ya kifo cha Sheikh Mkuu, Issa Shaaban bin Simba. Awali Sheikh Zubeir alikuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UaDSWw6qtos/VYqv7xegzlI/AAAAAAAHjYs/P59uA2iKgX8/s72-c/mu1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA KAIMU MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBEIRY IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-UaDSWw6qtos/VYqv7xegzlI/AAAAAAAHjYs/P59uA2iKgX8/s640/mu1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-k22NMyMN0D0/VYqv_T19zcI/AAAAAAAHjY0/vvTMir3B-1E/s640/mu2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ppo4NP4gzxY/VYqwAAfPQpI/AAAAAAAHjY4/aaPGwIqvK8M/s640/mu3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PUl0ToNAdDM/VYqwCqgPRoI/AAAAAAAHjZE/TgPYB9-cVzw/s640/mu4.jpg)
10 years ago
GPLSHEIKH ABUBAKARI BIN ALLY ATEULIWA KAIMU MUFTI
Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa nje ya ofisi ya Bakwata baada ya kumalizika uteuzi huo. Mkuu wa Islamic Social Services Development Center, Sheikh Hassan Chizenga, akihojiwa na wanahabari.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania