Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally achaguliwa kuwa Kaimu Mufti.
Uteuzi huo unatokana na kifo cha Mufti Issa Shaaban Bin Simba siku saba zilizopita.
Akizungumza jana na waandishi wa habari, katibu mkuu wa Bakwata, Suleiman Lolila alisema uchaguzi wa kumpata kaimu mufti ulifanywa kwa siku saba tangu kufariki kwa Mufti Simba.
Mufti Simba alifariki dunia Juni 15, mwaka huu katika hospitali ya TMJ jijini...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir atembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, awapongeza wataalamu
Na Mwandishi Maalum – Dar es Salaam .
MUFTI Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir ameitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwapongeza wataalamu wake kwa kuendelea kutoa huduma bora kwa Watanzania, licha ya kuwapo janga la ugonjwa wa Corona.
Sambamba na hilo, Mufti Zubeir amewajulia hali wagonjwa na kuwaombea dua kwa Mwenyezi Mungu ili hali zao zizidi kuimarika baada ya kufanyiwa matibabu dhidi ya matatizo ya moyo yaliyokuwa yakiwakabili.
Akizungumza na waandishi wa...
MUFTI Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir ameitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwapongeza wataalamu wake kwa kuendelea kutoa huduma bora kwa Watanzania, licha ya kuwapo janga la ugonjwa wa Corona.
Sambamba na hilo, Mufti Zubeir amewajulia hali wagonjwa na kuwaombea dua kwa Mwenyezi Mungu ili hali zao zizidi kuimarika baada ya kufanyiwa matibabu dhidi ya matatizo ya moyo yaliyokuwa yakiwakabili.
Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
GPLSHEIKH ABUBAKARI BIN ALLY ATEULIWA KAIMU MUFTI
Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa nje ya ofisi ya Bakwata baada ya kumalizika uteuzi huo. Mkuu wa Islamic Social Services Development Center, Sheikh Hassan Chizenga, akihojiwa na wanahabari.…
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yX2dtDJZiTo/VfOUbhygfhI/AAAAAAAH4IQ/SH3sMLDY0dk/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
HAFLA YA KUMKARIBISHA RASMI BAKWATA MUFTI MKUU MPYA WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBERI BIN ALLY
![](http://3.bp.blogspot.com/-yX2dtDJZiTo/VfOUbhygfhI/AAAAAAAH4IQ/SH3sMLDY0dk/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8enGlbnI53k/VfOUblTUsuI/AAAAAAAH4IU/fq4Xkvz4R0E/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uaedae571gQ/VfF9oEACFCI/AAAAAAABHVc/SLmk12WOQEU/s72-c/aAA.jpg)
BAKWATA YAMCHAGUA SHEKHE ABOUBAKAR ZUBEIR BIN ALLY KUWA MUFTI WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uaedae571gQ/VfF9oEACFCI/AAAAAAABHVc/SLmk12WOQEU/s640/aAA.jpg)
Shekhe Mkuu wa Tanzania ambaye pia ni Mufti wa Tanzania, Aboubakar Zubeir Bin Ally amewataka Watanzania kumwomba Mungu ili awapatie kiongozi bora katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Shekhe Zubeir aliyasema hayo jana kwenye mkutano mkuu wa Bakwata uliompitisha kuwa Mufti wa Tanzania kwa kura za wajumbe wote 310 baada ya mtu aliyeingia naye katika ushindani huo kujitoa.
Katika kinyang’anyiro hicho Shekhe Aboubakar alikuwa na wenzake watatu ambao ni Shekhe Khamis Mtupa, Shekhe Hassan Kiburwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/kBQWtQ8YVu4/default.jpg)
9 years ago
IPPmedia12 Sep
Abubakar Zubeiry bin Ally elected Chief Sheikh
IPPmedia
IPPmedia
Tanzania�s Mufti (Chief Sheikh) Abubakar Zubeiry bin Ally thanks Bakwata General Assembly members shortly after they had voted him into power in election held in Dodoma yesterday. The Muslim Council of Tanzania (Bakwata) yesterday picked Abubakari ...
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Rais Kikwete akutana na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-UaDSWw6qtos/VYqv7xegzlI/AAAAAAAHjYs/P59uA2iKgX8/s640/mu1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu jijini Dar es salaam jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) Sheikh Suleiman Lolila Ikulu jijini Dar es salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ppo4NP4gzxY/VYqwAAfPQpI/AAAAAAAHjY4/aaPGwIqvK8M/s640/mu3.jpg)
![mu4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/mu4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UaDSWw6qtos/VYqv7xegzlI/AAAAAAAHjYs/P59uA2iKgX8/s72-c/mu1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA KAIMU MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBEIRY IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-UaDSWw6qtos/VYqv7xegzlI/AAAAAAAHjYs/P59uA2iKgX8/s640/mu1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-k22NMyMN0D0/VYqv_T19zcI/AAAAAAAHjY0/vvTMir3B-1E/s640/mu2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ppo4NP4gzxY/VYqwAAfPQpI/AAAAAAAHjY4/aaPGwIqvK8M/s640/mu3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PUl0ToNAdDM/VYqwCqgPRoI/AAAAAAAHjZE/TgPYB9-cVzw/s640/mu4.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--YEBoxR6qBI/VfF1b5SYo9I/AAAAAAAH3z8/SoxdcM_YDnI/s72-c/IMG-20150910-WA0030.jpg)
SHEIKH ABUBAKARY ZUBER ACHAGULIWA KUWA MUFTI WA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/--YEBoxR6qBI/VfF1b5SYo9I/AAAAAAAH3z8/SoxdcM_YDnI/s640/IMG-20150910-WA0030.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania