Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barcelona kumkatia rufaa Arda Turan

arda-turan (1)CATALOUNIA, HISPANIA

KLABU ya Barcelona inajiandaa kutuma maombi kwenye Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) ya kumtumia kiungo wake, Arda Turan, ili kuziba pengo la Rafinha, aliyeumia.

Barca haina uwezo wa kumtumia Turan waliyemsajili msimu huu kutoka Atlético Madrid, mpaka Januari mwakani kutokana na kifungo walichopewa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kwa kukiuka kanuni za usajili za wachezaji vijana.

“Kitengo cha sheria kimethibitisha kuwa Fifa hawajajibu barua yao...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mbeya City kumkatia rufaa Nyoso

Suala la kufungiwa nahodha wa Mbeya City, Juma Nyoso limechukua sura mpya baada ya klabu hiyo kuwasilisha nia ya kukata rufaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Turan:Barca yamsajili kiungo wa Atletico

Mabingwa wa Ulaya na Uhispania, Barcelona wamemsajili kiungo cha kati wa wapinzani wao Atletico Madrid Arda Turan raia wa Uturuki

 

5 years ago

CHADEMA Blog

Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko

Mahakama ya Rufani leo imeketi kusikiliza hoja za wakata rufaa (Jamhuri) na wakatiwa rufaa (utetezi) kwenye maombi ya rufaa namba 344  yaliyopo Mahakama Kuu kuhusu kufutiwa dhamana kwa washtakiwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (Mb) na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko. Upande wa Jamhuri umeiomba Mahakama ya Rufaa kuamuru maombi hayo 344 yatupiliwe mbali na Mahakama Kuu kwa sababu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani