Barnaba aulezea 2015 kama mwaka aliotengeneza connection za kimataifa
Pamoja na changamoto kadhaa, mwaka 2015 umekuwa na mafanikio kwa Barnaba ikiwa pamoja na kufanikisha kurekodi wimbo na msanii wa Uganda, Jose Chameleone.
Barnaba amesema mwaka huu amefanikiwa kujenga msingi nzuri wa muziki wake kwenda kimataifa ambao utampa mafanikio mwakani.
“Huu ni mwaka mzuri, nimefanya vizuri kwa kiasi chake, pia mafanikio yangu makubwa yapo kwenye kutengeneza connection za kwenda kimataifa zaidi,” ameiambia Bongo5.
“Nina matumaini mwaka 2016 Barnaba atakuwa Barnaba...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Sep
Wasanii walioiweka Tanzania kwenye ramani ya kimataifa mwaka 2015
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Mama Kikwete apewa tuzo ya kimataifa ya mwaka 2015 ya Kiongozi bora Mwanamke
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete akipokea TUZO maalum ya “ CWL International Women of Excellency Award for Leadership” kutoka kwa Profesa Joseph Adaikalam, Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Chuo Kukuu cha Binary kilichoko nchini Malaysia kwa kutambua na kuthamini mchango wake katika maendeleo ya wanawake nchini Tanzania na Afrika tarehe 24.7.2015. Aliyesimama (kushoto) ni Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Dkt. Aziz Mlima, akifuatiwa na Profesa Bulochana Nair na Kulia ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GNPHxMPWE-1dzhobYIOvoCAlb4qJ-7Arrtk45jR31kwuJW8gtsl9LRhcYMTNa6GH0uQ6t*ZX2eyzFnx77Moh9JEimb6pzXIe/BUNGE1.jpg?width=650)
BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KWA MWAKA 2014/2015 YAPITISHWA NA BUNGE
9 years ago
Bongo530 Oct
Wasanii waliofanikiwa kimataifa wawe tayari kuwapa wengine ‘connection’ — Bayo
9 years ago
Bongo502 Dec
Rolling Stone waitaja ‘To Pimp a Butterfly’ ya Kendrick Lamar kama album bora mwaka 2015
![kendrick-i-hat](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kendrick-i-hat-300x194.jpg)
Jarida la Rolling Stone limetoa orodha ya album bora 50 za mwaka huu.
To Pimp a Butterfly ya Kendrick Lamar imekamata nafasi ya kwanza.
ROLLING STONE BEST ALBUMS OF 2015
1. Kendrick Lamar – To Pimp a Butterfly
2. Adele – 25
3. Drake – If You’re Reading This It’s Too Late
4. D’Angelo and the Vanguard – Black Messiah
5. The Weeknd – Beauty Behind the Madness
6. Courtney Barnett – Sometimes I Sit and Think, and Sometimes I Just Sit
7. Jason Isbell – Something More Than Free
8. Various Artists...
10 years ago
VijimamboJESHI LA MAGEREZA LAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KATIKA UTENGENEZAJI WA SAMANI MAONESHO YA 39 YA BIASHARA KIMATAIFA, "SABASABA", MWAKA 2015
Na; Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza
Jeshi la Magereza limeibuka Mshindi wa kwanza kwa upande wa Utengenezaji bidhaa za Samani kwenye Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea Jijini, Dar es Salaam Maarufu "SABASABA" kwa Mwaka huu 2015.
Akizungumzia ushindi huo Kamishna...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7_t3ee1Lgmo/VhTVaToJ2xI/AAAAAAAEAD4/Rwqe2dOm-Hs/s72-c/IMG_4085.jpg)
MIKUTANO YA MWAKA YA KUNDI LA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKA LA FEDHA LA KIMATAIFA YAANZA RASMI NCHINI LIMA LEO TAREHE 5/10/2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-7_t3ee1Lgmo/VhTVaToJ2xI/AAAAAAAEAD4/Rwqe2dOm-Hs/s640/IMG_4085.jpg)
Mikutano ya mwaka ya Bodi ya Magavana ya Shirika la fedha la Kimataifa na kundi la Benki ya Dunia kwa mwaka 2015...
9 years ago
Bongo525 Nov
Hanscana aenda Afrika Kusini kutafuta connection za kimataifa na kuongeza ujuzi kwa Justin Campos (picha)
![Hanscana na campos-5](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Hanscana-na-campos-5-300x194.jpg)
Muongozaji na mtayarishaji wa video Hanscana yuko nchini Afrika Kusini, alikoenda kwaajili ya kuongeza ujuzi pamoja na kutafuta connection za kuwezesha kazi zake zifike kwenye vituo vya runinga vya kimataifa.
Hanscana akiwa an Justin Campos na mkewe Candice
Wiki hii Hanscana amekuwa akipost picha mbalimbali Instagram akiwa na director Justin Campos na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wa kampuni ya Gorilla Films.
Hanscana amepiga story na Bongo 5 na ametueleza...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pR0EbYF9Tr8/U4TjMK8kOKI/AAAAAAAFlkQ/gpiGf_9dzfY/s72-c/unnamedz.jpg)
Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa na Bunge leo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pR0EbYF9Tr8/U4TjMK8kOKI/AAAAAAAFlkQ/gpiGf_9dzfY/s1600/unnamedz.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HzodgmT7qIY/U4TjLLZxyUI/AAAAAAAFlkY/9wknZ6iJIt0/s1600/unnamedx.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NaIk3n2z3nI/U4TjJ28V_gI/AAAAAAAFlj4/frVF5CtNY6Y/s1600/unnamedc.jpg)