Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii waliofanikiwa kimataifa wawe tayari kuwapa wengine ‘connection’ — Bayo

Rapper na msanii wa dancehall, Bayo amekiri kuwa muziki wa Tanzania umefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika jukwaa la kimataifa lakini ametaka wasanii waliotangulia kuwa tayari kuwaonesha njia wasanii wengine pia. Bayo ambaye pia ni mfanyakazi wa taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na masuala ya vijana visiwani Zanzibar amesema kwa kufanya hivyo Tanzania itakuwa na wawakilishi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Vanessa Mdee Afunguka Sababu ya Kung’ara Kimataifa Kuliko Wasanii Wengine wa Kike wa Kibongo

Vanessa-Afrima

Staa wa Bongo Fleva,Vanessa Mdee ‘V Money’ amefunguka sababu za kung’ara kwa mziki wake na kubahatika kupata tuzo kadhaa za Kimataifa kuliko wasanii wengine wa kike wa Kibongo.

“Ujue kuna tuzo zingine zinatofautiana kuna zingine wapo wasanii wa Kitanzania ambao tuzo fulani wametajwa, na zingine hawakubahatika kuwepo,ukweli ni kuwa wale wanaoandaa tuzo pia wanaangalia ni msanii gani anafahamika zaidi kutoka nchi fulani yaani msanii anakuwa anajiuza mwenyewe zaidi Kimataifa,’’Alisema Vanessa...

 

9 years ago

Bongo5

Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena

Z Anto na Babu TaleBaada ya meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale kutangaza kutamani kufanya kazi na Z Anto, msanii huyo naye amesema yupo tayari kurudi kundini. Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, Z Anto amesema ana uwezo wa kufanya kazi na Tip Top Connection kama wataafikiana. “Mimi sina tatizo na Tale na hatujawahi kukoseana […]

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba aulezea 2015 kama mwaka aliotengeneza connection za kimataifa

chameleone and Barnaba

Pamoja na changamoto kadhaa, mwaka 2015 umekuwa na mafanikio kwa Barnaba ikiwa pamoja na kufanikisha kurekodi wimbo na msanii wa Uganda, Jose Chameleone.

chameleone and Barnaba

Barnaba amesema mwaka huu amefanikiwa kujenga msingi nzuri wa muziki wake kwenda kimataifa ambao utampa mafanikio mwakani.

“Huu ni mwaka mzuri, nimefanya vizuri kwa kiasi chake, pia mafanikio yangu makubwa yapo kwenye kutengeneza connection za kwenda kimataifa zaidi,” ameiambia Bongo5.

“Nina matumaini mwaka 2016 Barnaba atakuwa Barnaba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Best Records kuwapa semina wasanii wa muziki

MKURUGENZI wa studio ya Best Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Benjamin Nzogu, amesema wanakusudia kuanza kutoa semina kwa wasanii wote wanaofika kurekodi nyimbo zao kwao, hasa kwa wale wanaoonekana...

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana aenda Afrika Kusini kutafuta connection za kimataifa na kuongeza ujuzi kwa Justin Campos (picha)

Hanscana na campos-5

Muongozaji na mtayarishaji wa video Hanscana yuko nchini Afrika Kusini, alikoenda kwaajili ya kuongeza ujuzi pamoja na kutafuta connection za kuwezesha kazi zake zifike kwenye vituo vya runinga vya kimataifa.

Hanscana na campos-5
Hanscana akiwa an Justin Campos na mkewe Candice

Wiki hii Hanscana amekuwa akipost picha mbalimbali Instagram akiwa na director Justin Campos na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wa kampuni ya Gorilla Films.

Hanscana amepiga story na Bongo 5 na ametueleza...

 

10 years ago

Michuzi

BASATA LAWATAKA WASANII KUWA TAYARI KUKOSOLEWA

Na Mwandishi Wetu 
 Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa wito kwa wasanii kuacha tabia ya kulewa umaarufu na kuchukia pale wanapokosolewa kwani kazi yoyote ya Sanaa lazima ikosolewe ili iwe bora na yenye kuvutia. 
 Wito huo umetolewa mapema wiki hii na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Godfrey Lebejo Mngereza wakati akizungumza kwenye Jukwaa la Sanaa la BASATA linalofanyika kwa mwezi mara mbili siku ya Jumatatu kwenye Ukumbi wa Baraza hilo ulioko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es...

 

10 years ago

Bongo5

Diddy kutengeneza ngoma za Kanye West na wasanii wengine

Diddy ameamua kurudi tena kufanya kile anachokipenda zaidi – utayarishaji wa muziki. Rapper huyo tajiri amesema atafanya hivyo kwa kipindi cha miezi 12 peke yake kabla ya kuendelea na mambo mengine. Miongoni mwa wasanii ambao atashiriki kutengeneza ngoma ni Kanye West. “Yes the rumors are true. It’s been a long time since I had been […]

 

10 years ago

Bongo5

TID: Sipati tu support lakini mimi ni msanii wa kimataifa tayari

Muimbaji wa ‘Kiuno’, TID amesema tangu siku nyingi yeye ni msanii wa kimataifa ingawa amekuwa hapewi support anayostahili kupata. Akiongea na Bongo5, muimbaji huyo ambaye hivi karibuni alirekodi wimbo na msanii wa Afrika Kusini, Tumi, amesema kile wanachokifanya wasanii wapya wanaotaka kwenda international kwa sasa, yeye alikifanya miaka mingi iliyopita. “Unajua kama kufanya muziki international […]

 

10 years ago

Bongo5

Afande Sele aeleza atakavyokuwa tofauti na wasanii wengine walioingia bungeni

Afande Sele amesema akiingia bungeni hawezi kuwasahau wasanii wenzake kama walivyosahauliwa na wasanii wabunge waliotangulia kuingia mjengoni. Rapper atawania kiti cha ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi cha ya chama cha ACT na ameiambia Bongo5 kuwa akiingia bungeni wasanii watarajie mambo makubwa kutoka kwake. “Lengo langu kubwa kwa wasanii ni kupigania haki za […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani