TID: Sipati tu support lakini mimi ni msanii wa kimataifa tayari
Muimbaji wa ‘Kiuno’, TID amesema tangu siku nyingi yeye ni msanii wa kimataifa ingawa amekuwa hapewi support anayostahili kupata. Akiongea na Bongo5, muimbaji huyo ambaye hivi karibuni alirekodi wimbo na msanii wa Afrika Kusini, Tumi, amesema kile wanachokifanya wasanii wapya wanaotaka kwenda international kwa sasa, yeye alikifanya miaka mingi iliyopita. “Unajua kama kufanya muziki international […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies08 Sep
Kajala:Nipo Kimya Lakini Mimi Ni Team Magufuli!
ALESELEMA! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amefunguka kuwa kutoonekana kwake kwenye ushabiki wa vyama na wagombea kama wasanii wengine si kwamba hana ushabiki lakini moyoni mwake yupo Team ya Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kajala aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa pamoja na mbwembwe za watu kujiweka wazi kuhusu chama na wagombea wanaowakubali, yeye mambo yake ni kimyakimya kama alivyo mgombea wake wa urais kupitia chama hicho.
“Nimekuwa kimya kwa muda mrefu...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zcg5CJIee4-405Sr*quixWJoC5i*UD5GH8g2aBq6GQG7ZQdTAi5ne5KLskVF3*COyWdcqsV5XUIKZZLliJCR8UqN-kdMMGcZ/KajalaMasanja.jpg?width=650)
KAJALA NIPO KIMYA LAKINI MIMI NI TEAM MAGUFULI!
10 years ago
Bongo Movies20 Mar
Ray:Mimi si Msanii wa Mlipuko
Staa wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray the Greatest’ amefunguka kwa kusema kuwa sinema zake si kuangalia filamu gani imeingia sokoni na kufanya vizuri kwa staili fulani na yeye akakurupuka na kutengeneza filamu kwa mlipuko.
“Mara nyingi wapenzi wa sanaa si rahisi wanapenda nini? Lakini ninawajua wapenzi wa filamu zangu hivyo inakuwa vigumu sana kujiingiza katika filamu za mlipuko, baada ya filamu moja kufanya vizuri, basi kila mtu anatoka na staili hiyo hiyo,”anasema Ray.
“Tumeshuhudia...
10 years ago
Bongo Movies04 Mar
Nisha: Mimi ni Msanii Wa Filamu,Ila Napenda Muziki
Mwigizaji wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema japo kuwa anafanya sanaa ya uigizaji ila anapenda sana kuwa mwanamuziki.
Nisha aliyasema hayo hivi majuzi alipokuwa kwenye studio za THT pamoja na mastaa wengine wakirekoni wimbo maalumu wa maombolezo ya msiba wa marehemu Captain John Komba.
Kila la kheri Nisha kama kweli unakipaji,...nitafurahi kama ukija kivingine, uwe tofauti na kina shilole na H mama.
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
Bongo518 Nov
Jose Chameleone: Sijamuomba collabo Diamond, mimi si msanii mchanga (Exclusive Audio)
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
Picha za msanii T.I alipowasili nchini tayari kutumbuiza Serengeti Fiesta 2014
Msanii wa kimataifa wa muziki wa Hip pop, Clifford Harris, T I akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa JK Nyerere, tayari kwa onyesho na Serengeti Fiesta 2014, linalofanyika leo Leaders Club jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Ndoto zangu ni kuwa msanii wa kimataifa
9 years ago
Bongo530 Oct
Wasanii waliofanikiwa kimataifa wawe tayari kuwapa wengine ‘connection’ — Bayo
10 years ago
Bongo523 Sep
T.I ndiye msanii wa kimataifa atakayetumbuiza kwenye Fiesta ya Dar