Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BASATA YAPIGA MARUFUKU DISKO TOTO NA UKIUKAJI WA SHERIA ZA UENDESHAJI KUMBI ZA BURUDANI KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU YA PASAKA

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa na burudani nchini linawakumbusha wamiliki na waendeshaji wa kumbi za burudani kufuata sheria, kanuni na taratibu walizopewa kwenye vibali vyao vya uendeshaji wa kumbi. Wanaelekezwa kuhakikisha wanakuwa na vibali halali vya uendeshaji wa kumbi zao, kuzingatia muda wa utumizi wa kumbi, kuepuka kelele zinazosumbua kwenye maeneo maalum hasa makazi ya watu na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BASATA YAPIGA MARUFUKU DISKO TOTO NA UKIUKAJI WA SHERIA ZA UENDESHAJI KUMBI ZA SANAA NA BURUDANI KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU YA EID-EL-FITR



download (9)Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa na burudani nchini linawakumbusha wamiliki na waendeshaji wa kumbi za burudani kufuata sheria, kanuni na taratibu walizopewa kwenye vibali vyao vya uendeshaji wa kumbi.Wanaelekezwa kuhakikisha wanakuwa na vibali halali vya uendeshaji wa kumbi zao, kuzingatia muda wa matumizi ya kumbi, kuepuka kelele zinazosumbua kwenye maeneo maalum hasa makazi ya watu na kuhakikisha ulinzi na usalama wa maisha ya watu.Aidha,...

 

9 years ago

MillardAyo

Marufuku ya disko toto?? Walionaswa na pembe za ndovu? Panga la Rais Magufuli? Stori+Audio

Kwenye stori kubwa leo December 23 2015 kuna hizi kubwa zilizoguswa na uchambuzi wa redioni Clouds FM. Kamanda Kova ametangaza kupiga marufuku disco toto siku za sikukuu, atangaza Jeshi la Polisi Dar linawashikilia watu wawili kwa tuhuma na kukutwa na vipande zaidi ya 150 vya pembe za ndovu… Kuna stori pia kuhusu Polisi mmoja kutoroka […]

The post Marufuku ya disko toto?? Walionaswa na pembe za ndovu? Panga la Rais Magufuli? Stori+Audio appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

BASATA YAANZISHA MFUMO WA KUHIFADHI TAARIFA ZA KUMBI ZA BURUDANI

Mtaalam wa TEHAMA kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Bw. Rajab Sollo akiwaonesha watendaji wa Baraza hilo (Hawako pichani) kuhusu namna mfumo wa kanzidata ya kuhifadhi kumbi za Starehe na Burudani unavyofanya kazi kwenye mafunzo ya siku mbili yaliyofanyika mwishoni mwa wiki hii makao ya BASATA yaliyo Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam. Mtaalam wa IT kutoka BASATA Bwana Sollo (anayeonekana kwa mbele) akitoa mafunzo kwa watendaji wa BASATA kuhusu kanzidata ya kuhifadhi kumbi za...

 

9 years ago

Michuzi

J&M VIRGO WASHUSHA MALI MPYA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MSIMU WA SIKUKUU

 DUKA LA J&M VIRGO LIMEKUTELEA MALI MPYA NA ZA UHAKIKA KABISA KWAKO WEWE MTANZANIA MWENYE KUPENDA KUTOKA KIJANJA KATIKA MSIMU HUU WA SIKUKUU ZA KRISMAS NA MWAKA MPYA, MZIGO UMESHUKA JUZI TU TOKA MAJUU ILI UWEZE KUNG'AA KATIKA KIPINDI HIKI, WATEMBELEE  J&M VIRGO WENYE UHODARI WA KUUZA VIWALO VYA NGUVU NA VYA KISASA KATIKA DUKA LAO LILILOPO PALE MIKOCHENI KWA WARIOBA, JENGO LA C&G PLAZA GHOROFA YA KWANZA,  JIJI LA DAR ES SALAAM.
FIKA ILI UWEZE KUJIPATIA VIWALO VYA KIJANJA,POCHI BABKUBWA,MOKA...

 

9 years ago

Michuzi

BASATA YAONYA LUGHA CHAFU, MAADILI HUSUSAN KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

KATIKA siku za hivi karibuni kumeibuka wimbi la wasanii kuvunja maadili, kukaidi adhabu na kutumia lugha chafu kwa makusudi katika kazi za Sanaa hususan muziki hali ambayo imezua malalamiko, masikitiko na hofu kwa jamii ambayo ni walaji wa kazi za Sanaa.
Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi kulenga katika kuigawa jamii na kufifisha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wadau wa sanaa, kumbi, watakiwa kujisajili Basata

KAIMU Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mungeleza amewataka wasanii na wadau wote wanaojihusisha na shughuli za sanaa kujisajili kwa baraza hilo kupata vibali vya kuendesha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kunani vyoo kumbi za burudani Dar ?

SEHEMU inayoitwa choo ni sehemu muhimu kwa maisha ya kila siku ya binadamu na ndiyo maana kuna usemi kuwa, nyumba bila choo haijakamilika. Lakini, maana halisi ya choo ni zaidi...

 

10 years ago

Mwananchi

Hiki ni kipindi cha wachezaji kunyanyaswa

Hiki ni kipindi cha usajili, utasikia mchezaji fulani anatakiwa na klabu fulani, mchezaji fulani anaachwa na klabu fulani, wachezaji fulani mikataba yao imekwisha yaani huwa ni kipindi cha wasiwasi mkubwa kwa baadhi ya wachezaji na pia ni kipindi kizuri kwa baadhi ya wachezaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani