BASATA YAPIGA MARUFUKU DISKO TOTO NA UKIUKAJI WA SHERIA ZA UENDESHAJI KUMBI ZA SANAA NA BURUDANI KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU YA EID-EL-FITR
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa na burudani nchini linawakumbusha wamiliki na waendeshaji wa kumbi za burudani kufuata sheria, kanuni na taratibu walizopewa kwenye vibali vyao vya uendeshaji wa kumbi.Wanaelekezwa kuhakikisha wanakuwa na vibali halali vya uendeshaji wa kumbi zao, kuzingatia muda wa matumizi ya kumbi, kuepuka kelele zinazosumbua kwenye maeneo maalum hasa makazi ya watu na kuhakikisha ulinzi na usalama wa maisha ya watu.Aidha,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIqzvKYnnppcQi0HSDtwkA1zBq8o050c2PmplFfcsMOQBrQQgx-o0wfwfOpDt28tqEKTWJTCvA6dJSmTM88ByCF9/basataLOGO.jpg?width=300)
BASATA YAPIGA MARUFUKU DISKO TOTO NA UKIUKAJI WA SHERIA ZA UENDESHAJI KUMBI ZA BURUDANI KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU YA PASAKA
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Wadau wa sanaa, kumbi, watakiwa kujisajili Basata
KAIMU Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mungeleza amewataka wasanii na wadau wote wanaojihusisha na shughuli za sanaa kujisajili kwa baraza hilo kupata vibali vya kuendesha...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Marufuku ya disko toto?? Walionaswa na pembe za ndovu? Panga la Rais Magufuli? Stori+Audio
Kwenye stori kubwa leo December 23 2015 kuna hizi kubwa zilizoguswa na uchambuzi wa redioni Clouds FM. Kamanda Kova ametangaza kupiga marufuku disco toto siku za sikukuu, atangaza Jeshi la Polisi Dar linawashikilia watu wawili kwa tuhuma na kukutwa na vipande zaidi ya 150 vya pembe za ndovu… Kuna stori pia kuhusu Polisi mmoja kutoroka […]
The post Marufuku ya disko toto?? Walionaswa na pembe za ndovu? Panga la Rais Magufuli? Stori+Audio appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cWdjAwLnL10/VM4WY_Wp6YI/AAAAAAAHAps/gRWwjYyKDmM/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
BASATA YAANZISHA MFUMO WA KUHIFADHI TAARIFA ZA KUMBI ZA BURUDANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-cWdjAwLnL10/VM4WY_Wp6YI/AAAAAAAHAps/gRWwjYyKDmM/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhMGPNoWFjg/VM4Wd37LleI/AAAAAAAHAp0/lAuS9GKkaWE/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gJ99xVrjqDk/VmSs0U14G-I/AAAAAAAIKio/K5aNM11zuY8/s72-c/20151205_200103.jpg)
J&M VIRGO WASHUSHA MALI MPYA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MSIMU WA SIKUKUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-gJ99xVrjqDk/VmSs0U14G-I/AAAAAAAIKio/K5aNM11zuY8/s1600/20151205_200103.jpg)
FIKA ILI UWEZE KUJIPATIA VIWALO VYA KIJANJA,POCHI BABKUBWA,MOKA...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s72-c/New%2BPicture.png)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU, MAADILI HUSUSAN KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s320/New%2BPicture.png)
Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi kulenga katika kuigawa jamii na kufifisha...
10 years ago
Mwananchi18 Jul
Waislamu washerehekea Sikukuu ya Eid el Fitr leo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3I5VIFWew04/U9P5iAawnVI/AAAAAAAF6qA/-uFS2C0WHzU/s72-c/adverasenso.jpg)
UJUMBE WA SIKUKUU YA EID-EL-FITR KUTOKA JESHI LA POLISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-3I5VIFWew04/U9P5iAawnVI/AAAAAAAF6qA/-uFS2C0WHzU/s1600/adverasenso.jpg)
Tunapoelekea kipindi hiki cha kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr, Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi wote kuwa makini na kusheherekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu pasipo vitendo ama viashiria vyovyote vya uvunjifu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bauPTYoYrdc/U9OI7E3t6HI/AAAAAAAF6h8/tSmNfSsA9e4/s72-c/image061.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KUELEKEA SIKUKUU YA EID-EL-FITR
![](http://1.bp.blogspot.com/-bauPTYoYrdc/U9OI7E3t6HI/AAAAAAAF6h8/tSmNfSsA9e4/s1600/image061.jpg)
Tunapoelekea kipindi hiki cha kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr, Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi wote kuwa makini na kusheherekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu pasipo vitendo ama viashiria vyovyote vya uvunjifu wa...